Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Yaya toure na Samuel etoo mpaka leo wanamchukia Pep.Swala sio kuvumilia bali kuonesha chuki juu ya makocha au mameneja pale wanapokuwa hawana mipango na wachezaji. Kuuzwa au kupelekwa mkopo klabu nyingine hiyo ni kawaida katika ulimwengu wa soka.