Mesut Ozil ametangaza rasmi kustaafu mpira wa miguu

Mesut Ozil ametangaza rasmi kustaafu mpira wa miguu

Hivi huyu jamaa ni wapi alikuwa mkali katika ubora wa juu wakati anakipiga na Real Madrid au Arsenal?
Ozil akiwa Real Madrid alikuwa na Ronaldo, Di Maria na Benzema wachezaji ambao daima walikuwa mbele yake. Matamanio ya wachezaji hao watatu kupata matokeo mazuri ni ono la kila shabiki wa mpira na hakika walifunga kutokana na ubora wa kiungo Ozil. Kwa upande wa Arsenal na falsafa za Arsene Wenger za kumiliki mpira kwa kiasi kikubwa Ozil akiwa mbele ya Mikel Arteta na Aaron Ramsey alikuwa akionekana wa kawaida kwasababu akiwa nyuma, upande wa kushoto Saint Cazorla na kulia Walcott mbele kabisa Geroud hakuona mtu ambaye yuko tayari hata kuvunjika miguu ili aingie kwenye box. So naweza kuconclude kuwa Ozil wa Real Madrid alikuwa bora zaidi ya Ozil wa Arsenal.
 
Ikiwa ulikuwa unafuatilia La Liga vizuri ungekubali Özil wa Madrid alikuwa kwenye ubora wa hali ya juu hata alipokuwa UCL
Mimi Madrid nimekuja kuikubari kipindi kile yupo Ronaldo alipoondoka na mimi nikaondoka nikarudi alipokuja Kareem Benzema mzee wa kuwachakaza Liverpool ndio hadi sasa naifuatilia ingawa juzi kapigwa na Barca

Ozil nilimfuatilia sana pindi yupo Arsenal
 
Ozil akiwa Real Madrid alikuwa na Ronaldo, Di Maria na Benzema wachezaji ambao daima walikuwa mbele yake. Matamanio ya wachezaji hao watatu kupata matokeo mazuri ni ono la kila shabiki wa mpira na hakika walifunga kutokana na ubora wa kiungo Ozil. Kwa upande wa Arsenal na falsafa za Arsene Wenger za kumiliki mpira kwa kiasi kikubwa Ozil akiwa mbele ya Mikel Arteta na Aaron Ramsey alikuwa akionekana wa kawaida kwasababu akiwa nyuma, upande wa kushoto Saint Cazorla na kulia Walcott mbele kabisa Geroud hakuona mtu ambaye yuko tayari hata kuvunjika miguu ili aingie kwenye box. So naweza kuconclude kuwa Ozil wa Real Madrid alikuwa bora zaidi ya Ozil wa Arsenal.
💯🤝
 
Ozil akiwa Real Madrid alikuwa na Ronaldo, Di Maria na Benzema wachezaji ambao daima walikuwa mbele yake. Matamanio ya wachezaji hao watatu kupata matokeo mazuri ni ono la kila shabiki wa mpira na hakika walifunga kutokana na ubora wa kiungo Ozil. Kwa upande wa Arsenal na falsafa za Arsene Wenger za kumiliki mpira kwa kiasi kikubwa Ozil akiwa mbele ya Mikel Arteta na Aaron Ramsey alikuwa akionekana wa kawaida kwasababu akiwa nyuma, upande wa kushoto Saint Cazorla na kulia Walcott mbele kabisa Geroud hakuona mtu ambaye yuko tayari hata kuvunjika miguu ili aingie kwenye box. So naweza kuconclude kuwa Ozil wa Real Madrid alikuwa bora zaidi ya Ozil wa Arsenal.
Hata Mimi nimekubari
 
Hivi kununuliwa kwa Isco na Gareth Bale ndio kulisababisha kuuzwa kwa Ozil kwenda Arsenal akiwa kwenye kiwango bora Kama kile na assists za kutosha?
Mzee wa kupambania ,
stow away ,
raraa reree
Sidhani kama usajili wa hao watu ulichangia moja kwa moja ninachokumbuka ni suala na mshahara
Alikuwa anataka nyongeza ya mshahara madrid wakagoma ndipo mzee wenger akauingia
 
Hivi kununuliwa kwa Isco na Gareth Bale ndio kulisababisha kuuzwa kwa Ozil kwenda Arsenal akiwa kwenye kiwango bora Kama kile na assists za kutosha?
Mzee wa kupambania ,
stow away ,
raraa reree
Ujio wa Isco ulikuwa ni tishio kwa Özil

Baada ya kuondoka kwa Mourinho RMA walimsajili kocha mpya Ancelotti na Özil hakuwa kwenye mipango ya kocha mpya kwa sababu ya aina ya mfumo aliokuja nao

Raisi wa RMA Florentino Pérez alipoona tayari wana Isco akaona isiwe taabu acha amuuze Özil ili abalance vitabu amsajili Gareth Bale

Kwa hiyo kuondoka kwa Özil kumechangiwa na
(1)Ujio wa Isco
(2)Usajili wa Ancelotti na mfumo mpya
(3)Ujio wa Gareth Bale
(4)Yote hayo juu matatu yakapata baraka za raisi Peréz
 
Back
Top Bottom