Mesut Ozil ametangaza rasmi kustaafu mpira wa miguu

Mesut Ozil ametangaza rasmi kustaafu mpira wa miguu

Adebayo aliondoka ovyo Arsenal
Tena sana, unakumbuka ile game Kati ya Arsenal na Man City Adebayor aliposhinda goli dhidi ya Arsenal alikimbia kutoka golini mpaka upande wa mashabiki wa Arsenal na kuwakejeri sana.
 
Hajawa posted popote pale si Arsenal tu. Nenda ya Madrid, UEFA, ESPN nk ila Ozil kila kona
Yaani katika mchezaji ambaye amemaliza career yake ya mpira kwa aibu ni Adebayor, hivi unakumbuka alivyokuwa akigombana na ndugu zake wakiume na wakike nchini kwao akisema yeye anatuma hela nyumbani alafu wao wanafanyia anasa, akawaambia hata watumia tena? Sasa mambo Kama hayo yakuyaweka wazi kwenye mitandao kweli?😄😄
 
Back
Top Bottom