Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupanga ni kuchagua.Sio vibaya anastaafu vizuri Ila mzee wa kule uarabuni ana 38 cr7 Ila bado anakomaa kuzikusanya aachi mpaka 45 km Ibrahimovic
Uzuri wa kitu upo machoni mwa mtuOverated player,sijawahi kuona kipaji chake
Msomi kwanini unakua dramatic na mbona ujerumani wamejaa waturuki kibao tu na maisha yanaendelea bila ubaguzi,nenda Berlin ujionee waislamu waliojaa pale toka uturuki,arabuni na afrika na wenyeji wanajichanganya pamoja.Ubaguzi upo kote kunapokua na majority ya imani moja, mbona huzungumzii ubaguzi wa waislamu dhidi ya watu wengine wanapokwenda nchi za majority Muslims?????.Au hujawahi kuishi Niger,North Sudan,Qatar,Indonesia,Malaysia,Iraq and ect.....Ubaguzi wa kidini sio Europe tu dhidi ya waislamu,bali hata middle east upo dhidi ya wakrsto.Au haya mambo kuhusu hizi imani za walimwengu msomi huyajui unachangia kwa mihemuko ya kidini??.@ Santos..Safi sana amekomaa sana licha ya ubaguzi wa Europe dhidi ya waislamu
Kuna ile Mo Salsa alivaa nguo za Christmas na mti wa Christmas akaweka nyumbani kwake kilichomkuta hajarudia tenaMsomi kwanini unakua dramatic na mbona ujerumani wamejaa waturuki kibao tu na maisha yanaendelea.Ubaguzi upo kote kunapokua na majority ya imani moja, mbona huzungumzii ubaguzi wa waislamu dhidi ya watu wengine wanapokwenda nchi za majority Muslims?????.Au hujawahi kuishi Niger,North Sudan,Qatar,Indonesia,Malaysia,Iraq and ect.....Ubaguzi wa kidini sio Europe tu dhidi ya waislamu,bali hata middle east upo dhidi ya wakrsto.Au haya mambo kuhusu hizi imani za walimwengu msomi huyajui unachangia kwa mihemuko ya kidini??.@ Santos..
Overated player,sijawahi kuona kipaji chake
Baada ya miaka 9 tokea alipoondoka Arsenal, Adebayor akihojiwa na Television moja ya nchini Uturuki alipokuwa akichezea klabu ya Basaksehir alisema katika maisha yake ya mpira anampenda kocha mmoja tu ambaye ni Mourinho na wengine wote fake akionesha wazi jinsi anavyomchukia aliyekuwa meneja mkuu wa klab ya Arsenal, Arsene Wenger. Aliendelea kusema "Nilikuwa na misimu mitatu na nusu Bora nikiwa Arsenal kabla ya meneja mkuu Wenger kuanza kumuonesha mlango wa kuondoka kwenye klabu niliyoipenda na kwenda Manchester City".Jana Ozil katangaza kustafu mitandao yote imejaa video zake including page ya Arsenal, RM na UEFA.. Juzi Adebayor alitangaza kustafu pia ila wamemkaushia 😃
Amestaafu mapema kwasababu kubwa ya majeraha ya mara kwa mara anayokutana nayo mwenyewe ameainisha hilo.I partially agree with you, he was decent not an elite type of player kama ambavyo inaaminishwa. He lacked consistency pia nadhani ndo maana kastafu mapema pia.
Mkuu pamoja na Wamisri kumponda Mo Salah kuonesha kusupport sherehe ya Kikristo kwa kupiga picha akiwa na familia yake pembeni ya mti wa Christmas lakini mshambuliaji huyo wa Liverpool amekuwa akirudia kitendo hiko kila ifikapo Christmas Eve. Mwaka Jana ilikuwa ni mara ya piliKuna ile Mo Salsa alivaa nguo za Christmas na mti wa Christmas akaweka nyumbani kwake kilichomkuta hajarudia tena
Sasa ule ni ushamba wa kidini na ushamba wa kutojua utofauti wa binadamu kwa watu wasioelewa ndio hao wanaomulaumu yeye kusherekea krismasi.Mbona Riyadh Saudia watu krismas wanaalika waarabu wazawa wa pale wanasherekea pamoja.Mohammed Salah muelewa anajua nini maana ya maisha na utofauti wa imani,rangi au itikadi za kisiasa ni vitu vya kuheshimiana sababu watu wote hawawezi kua sawa duniani.Kuna ile Mo Salsa alivaa nguo za Christmas na mti wa Christmas akaweka nyumbani kwake kilichomkuta hajarudia tena
Na hela zilimpa kiburi.Unajua ukipata hela na kuitimiza malengo na kupata vikombe vyote muhimu kazi ngumu ngumu kama mpira unaona tabu,bora ustafuu tuAmestaafu mapema kwasababu kubwa ya majeraha ya mara kwa mara anayokutana nayo mwenyewe ameainisha hilo.
Mkuu kwahiyo adebayor na ozil walitakiwa kuvumilia kukaa benchi.Nae adebayor katangaza kustaafu mpira ila CR7 ameitwa tena kikosini urenoBaada ya miaka 9 tokea alipoondoka Arsenal, Adebayor akihojiwa na Television moja ya nchini Uturuki alipokuwa akichezea klabu ya Basaksehir alisema katika maisha yake ya mpira anampenda kocha mmoja tu ambaye ni Mourinho na wengine wote fake akionesha wazi jinsi anavyomchukia aliyekuwa meneja mkuu wa klab ya Arsenal, Arsene Wenger. Aliendelea kusema "Nilikuwa na misimu mitatu na nusu Bora nikiwa Arsenal kabla ya meneja mkuu Wenger kuanza kumuonesha mlango wa kuondoka kwenye klabu niliyoipenda na kwenda Manchester City".
Makocha wengi walitoa kauli nyingi juu ya nidhamu ya wachezaji inavyopaswa kuwa hata pale wanapokumbana na kasumba za kutoaminiwa tena katika mipango ya mameneja wapya wanaokutana nao katika klabu wanazozitumikia au wanazohamishiwa.
Nadhani hili ndilo lilikuwa Jambo lililompotezea CREDIBILITY mchezaji Adebayor na kujipotezea heshima mbele ya mashabiki na wataalamu wa mpira wa miguu.
Hata Zinedine Zidane alistaafu akiwa na 34 baada ya kutangazwa mcheezaji bora wa kombe la dunia 2006. So nakubaliana nawe mkuuNa hela zilimpa kiburi.Unajua ukipata hela na kuitimiza malengo na kupata vikombe vyote muhimu kazi ngumu ngumu kama mpira unaona tabu,bora ustafuu tu
Swala sio kuvumilia bali kuonesha chuki juu ya makocha au mameneja pale wanapokuwa hawana mipango na wachezaji. Kuuzwa au kupelekwa mkopo klabu nyingine hiyo ni kawaida katika ulimwengu wa soka.Mkuu kwahiyo adebayor na ozil walitakiwa kuvumilia kukaa benchi.Nae adebayor katangaza kustaafu mpira ila CR7 ameitwa tena kikosini ureno
CR7 na Ibra kadabra wa swedeni ni mifano ya kuigwa.Unakumbuka yaliyowakuta Ajibu na Bobani na Jerry Tegete na Ngasa hapa bongo baada ya kulewa sifa na kupata hela mbuziHata Zinedine Zidane alistaafu akiwa na 34 baada ya kutangazwa mcheezaji bora wa kombe la dunia 2006. So nakubaliana nawe mkuu
Ndio hivyo yeye anaishi dunia yake ingawa wavaa kobazi wanampiga spana sana hawataki asherehekee ChristmasMkuu pamoja na Wamisri kumponda Mo Salah kuonesha kusupport sherehe ya Kikristo kwa kupiga picha akiwa na familia yake pembeni ya mti wa Christmas lakini mshambuliaji huyo wa Liverpool amekuwa akirudia kitendo hiko kila ifikapo Christmas Eve. Mwaka Jana ilikuwa ni mara ya pili
Vipi kuhusu Yaya toure na Pep???Swala sio kuvumilia bali kuonesha chuki juu ya makocha au mameneja pale wanapokuwa hawana mipango na wachezaji. Kuuzwa au kupelekwa mkopo klabu nyingine hiyo ni kawaida katika ulimwengu wa soka.
Cr7 ana 38 huyu kibabu Kadabra ana 41 alafu anakuambia yaan ball bado sana hafikirii kusitaafu ingawa kashapitia majeraha kibao,CR7 na Ibra kadabra
Hawa ndio wapambanaji na sio miaka 34 unastaafu mpira.Cr7 ana 38 huyu kibabu Kadabra ana 41 alafu anakuambia yaan ball bado sana hafikirii kusitaafu ingawa kashapitia majeraha kibao,