Huu Ndio upumbav wa kufatilia mpira livescoreHaha Ronaldo kaamua akomae na hela za waarabu😄
Hivi Ibra yuko wapi Marekani ama?
Kuna tetesi Messi anataka kurudi BarçaHaha Ronaldo kaamua akomae na hela za waarabu😄
Hivi Ibra yuko wapi Marekani ama?
Ac Milan anaecheza km striker jamaa ana 41 Ila anakwambia ndio kwanza anapasha yaan hajamaliza mpaka 50 labda atafikilia ku-retireHaha Ronaldo kaamua akomae na hela za waarabu😄
Hivi Ibra yuko wapi Marekani ama?
Messi anaenda arabuni hio ishavuja PSG sijui kuna nini juzi wamegongwa na Rennes aibuKuna tetesi Messi anataka kurudi Barça
Arsenal alikua anakiwasha sana OzilHivi huyu jamaa ni wapi alikuwa mkali katika ubora wa juu wakati anakipiga na Real Madrid au Arsenal?
Kama Ronaldo anaenda kupiga oil moneyMessi anaenda arabuni hio ishavuja PSG sijui kuna nini juzi wamegongwa na Rennes aibu
Sema kipindi kile yuko na Di María pale Madrid walikuwa sio poaArsenal alikua anakiwasha sana Ozil
MadridHivi huyu jamaa ni wapi alikuwa mkali katika ubora wa juu wakati anakipiga na Real Madrid au Arsenal?
Retired...what?😂Name: Mesut Ozil
Age: 34
Occupation: Retired
Nakubaliana na wewe Özil wa Madrid alikuwa boraMadrid
Huyu ndiyo wale wanaobeti ni hawana mpamgo kujua mchezaji fulani yuko wapi coz kwenye betting hamna hiyo kitu 😆!.Huu Ndio upumbav wa kufatilia mpira livescore
Mimi kipindi nipo Arsenal nilikua namuona anakiwasha sana kipindi Cha Mzee WengerSema kipindi kile yuko na Di Maria pale Madrid walikUwa sio poa