META imezifunga kurasa zote za Mange Kimambi

hata hivyo alishapoteza mvuto. sasaivi Maria sarungi ndio dada wa taifa. wameona anatengeneza mpunga bila wao kufaidika. na hata x watamfurumua tu.
 
Ndoa ipi? Yule mzungu wake alishatoka mbio, ule mdomo nani atauweza? Labda mume mzaramo.
 
mimi tangu amekuwa mwana mipasho na muumini wa picha za utupu hata simuelewi wamfungie milele
 
Safi...
 
shida ya mange anajiamini mno wakati hajashika mpini. watu siku hizi wamehamia kwa maria sarungi, hana connections yeye ni siasa tu.
 
Duh!kizimkazi anamkono marefu sana.Meta Kawapigia simu kama anavyowapigia mahakimu namna ya kuamua kesi? Hatari sana hii nchi
Walimfungia account moja ya Instagram akawapeleka mahakamani akawashinda na kuamriwa wamlipe $1200 na gharama za kesi.
Sasa wamekasirika wamemfungia account zake zote,lakini mahakama za Marekani sio za Professor Juma safari hii anawapeleka kwenye mahakama kubwa zaidi na faini kubwa na amri ya kumfungulia.
Hakuna mkono wa CCM wala Samia au TISS hapo.
 
Wasagaji wamemchongea baada ya kuwaumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…