bassarere
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 294
- 554
am sure hujawahi kucheza mpira ila ni shabiki wa mpira ambaye mambo ya mpira yakuumiza sana na hasa matukio ya yanga;Golikipa anatia kinyaa golikipa alijiandaa kuizawadia Yanga goli. Golikipa goli gani la kiboya namna ile ni dalili amefumba macho .
hii tuuma yako kwa mnata ni rushwa if unaona izo dalili nenda TAKUKURU