Meya Manispaa ya Moshi amelikoroga, aunga mkono ushoga

Kaka mimi nimejaribu kuwaza kwa mapana, Kwani Pombe, Sigara, Mila, Dini na Desturi zetu zinaruhusu? ni suala la kujibu kama unafahamu, kama hufahamu pia sio tatizo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawana wanalolijua wanahemkwa tyuuh.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpe huyo vidonge vyake, had apagawe zaidi lol.
 
Ooooooh dear telling my kids it's right kutobolewa nyuma ni fine?? Ilianza kidogo ushoga,, right now in US wanafundishwa kuwa a Man can get pregnant,,, ushoga hauji solo,, unakuja na vtu vngne vng
Ndo uachwe km ulivyo, wee kuwa straight hakuna anayekuingilia lol, na mashoga waachwe km walivyo. Khaaaah
 
Huna unalolijua kaa kimyaaa tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawana majibu wanabaki kuhemkwa tyuuuuh, watoe majibu hapaa khaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ukae kimya nawee, unadhan watu wote wafia dini km wewe? Poleeeeeeh
 
Duh....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…