Calm down Ben Mzima hadi sasa sema afya yake imedhoofu anapewa magazeti kama Mwananchi yuko fresh tuu mda ukitimia atarudi
Ushasikia mameya wa ccm wanatafuta kiki kwwenye matukio,? unamjua au kumsikia meya wa Temeke au meya wa Kigamboni? huyu kazidi sasa anatafuta kiki, mpaka basi, bora yake meya wa jiji Isaya MwitaMbona mameya na madiwani wa ccm hawakamatwi kama wa chadema? Polisi ni wana-ccm tofauti ni uniform tu.
Swali ziri mkuu afu utakuta MTU anashangilia vita vekivip wale waliotajwa katika ripoti ya acacia wameshakamatwa kwa mahojiano au ndo tusahau tena?
We hujaiona? Hiyo ndo demokrasia halisi siyo ile ya kupayuka ya lisuDemokrasia iko wap?
Hao waluomkamata ndio walitkiwa watoe sababu ya kumkamata, vinginevyo wanatupa sababu yaUnajuwa kakamatwa kwa sababu gani?
kwa hiyo unataka kutuambia nini mkuu.meya wa ccm waoga awajui kuhojiUshasikia mameya wa ccm wanatafuta kiki kwwenye matukio,? unamjua au kumsikia meya wa Temeke au meya wa Kigamboni? huyu kazidi sasa anatafuta kiki, mpaka basi, bora yake meya wa jiji Isaya Mwita
Kakamatwa kwasababu jina lake lipo kwenye ile ripoti ya pili ya makinikia, si unakumbuka mkuu aliagiza wote waliotajwa wakamatweUnajuwa kakamatwa kwa sababu gani?
Hivi huyu anatafuta kiki kuliko makondaUshasikia mameya wa ccm wanatafuta kiki kwwenye matukio,? unamjua au kumsikia meya wa Temeke au meya wa Kigamboni? huyu kazidi sasa anatafuta kiki, mpaka basi, bora yake meya wa jiji Isaya Mwita