Uchaguzi 2020 Mfa maji haachi kutapatapa! CHADEMA maji shingoni

fedha haramu zimezuiwa, mwaka huu hakuna jinsi utakavyo penyeza fedha haramu lazima udakwe tu.
Tanzania sio shamba la bibi tena
 
Mbona hamueleweki? Kelele na hofu za nini kama mko imara? Kama wapinzani wenu hawajiwezi si ndiyo furaha kwenu na mtumie udhaifu wao kuwashinda bila kuwapigia kelele? Kuendelea kufanya hivyo ni kufunnua udhaifu wenu kwao na wanaweza kuutumia kuwanyuka.
 
Narudia tena kuonya, CCM Kwa mambo Mazuri yaliyotapakaa karibu Kila Kona ya nchi yetu yaliyofanywa Chini ya Uongozi mahiri wa JPM, isingewezekana Kwa Chama, ama Kwa mtu yeyote maarufu kushinda uchaguzi huu never!

Na hata hivyo, bado ni mapema, waachane na Kampeni za Urais ili kuokoa hata hicho kidogo walichonacho mkononi, itawaletea heshima

Waweke nguvu kwenye ubunge wasije kuanguka kotekote, angalau kwenye ubunge wanaweza kuambulia wawili watatu........ Hivi
 
Kwa kujifariji mnawezaa. Yaani anatia huruma, alidhani kwa zile kiki alizozifanya halafu akatimkia ugaibuni, alidhani akirudi atapindua meza fasta kwa kutumia kiki ya miujizaaa, sasa zote zimebumaaa.
😂😂😂😂 acha kuchekesha wewe kilaza wa Lumumba!! Yaaani Tundu Lissu atafute kiki???
 
Chama cha CCM kinachojinadi kupita kirahisi zaidi, kwenye uchaguzi kutokana na mazuri yaliyofanywa na serekali yake lakini kinaogopa kuingia kwenye sanduku halali la kura,kwa kupora fomu za wapinzani wake,kuwateka na kuwadhuru wa pinzani wake ili kipite bila kupingwa nayo ni maajabu ya CCM ambayo yanatakiwa yawekwe kwenye kumbukumbu kama historia kwa vizazi vijavyo kuwa kulikuwa na chama cha CCM chenye nguvu kilichokuwa kinafanya vizuri lakini kilikuwa hakiwezi kushindana na vyama pinzani, isipokuwa uwezo wake ulikuwa kwenye kutangazwa bila kupingwa.
 
Ni sawa mambo mazuri yanayofanywa na CCM yametapakaa kila kona, lakini ni kwa nini wanaogopa uchaguzi?.
 
Walienguliwa kimabavu au hawajui kusoma na kuandika?
 
Mataga maji mtaita mmma huyu c yule shubaaakengemiti!
 
mbona unajichanganya sana ndugu. Mara o asituchangishe pesa kwani tuko hoi. Unajiaibisha kuwa ccm haipaswi kuchaguliwa tena mana imewafanya wawe hoi kifecha. Pili unasema USAID siyo pesa ya mabeberu hivi we una akili kweli! Unajua malengo yake au wanatoa tu kwa sbb wanakupenda. Kama hii ndo akili ya uvccm basi nchi ina vilaza wengi sana na ccm inapaswa kupigwa chini kabisaa
 
Umelewa lubisi? Kwani hujui kusoma?
 
Walienguliwa kimabavu au hawajui kusoma na kuandika?
Haya nayo ni maajabu mengine ya CCM walionekana hawajui kusoma na kuandika ni wapinzani pekee yao,CCM wote walikuwa wanajua kusoma na kuandika, walioporwa fomu za uchaguzi ni wapinzani peke yao, CCM hakuna hata mmoja aliyeguswa.
 
Uchaguzi wa Ccm mwaka huu Ccm ilikuwa tamu. Kila mtu alitaka agombee kupitia Ccm. Wapinzani walikuwa na magalasa tu. Hilo nalo limeleta shida kubwa.
 
Uchaguzi wa Ccm mwaka huu Ccm ilikuwa tamu. Kila mtu alitaka agombee kupitia Ccm. Wapinzani walikuwa na magalasa tu. Hilo nalo limeleta shida kubwa.
Hahaha magalasha yanaogopwa na CCM isiyo kuwa ghalasha.
 
fedha haramu zimezuiwa, mwaka huu hakuna jinsi utakavyo penyeza fedha haramu lazima udakwe tu.
Tanzania sio shamba la bibi tena
Inawezekana sana. Kampeni za chadema 2010 na 2015 zilikuwa na hamasa sana kulinganisha na hizi za Lisu mwaka huu.
 
Chadema ingekuwa inatapatapa mngejaza watoto mikutanoni ? Sasa Chadema na CCM Nani anatapatapa
 
Hata Nyerere alivyoenda Ulaya kudai uhuru hakuwa na pesa..babu zetu wa Dar es salaam walimchangia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…