Mbona hamueleweki? Kelele na hofu za nini kama mko imara? Kama wapinzani wenu hawajiwezi si ndiyo furaha kwenu na mtumie udhaifu wao kuwashinda bila kuwapigia kelele? Kuendelea kufanya hivyo ni kufunnua udhaifu wenu kwao na wanaweza kuutumia kuwanyuka.Tuliwaambia CCM ipo well organized watu wakaja na ngojera za nyomi la wavuta bangi , CCM kirumba imejaa watu wakaja na ngojera et watoto wamesombwa , hii mbinu ya Chadema kutokubali uimara wa CCM itawacost Sana , CCM wanajua vizur kabisa Chadema hawawez kurun show effectively cse wapo poor funded , ...
😂😂😂😂 acha kuchekesha wewe kilaza wa Lumumba!! Yaaani Tundu Lissu atafute kiki???Kwa kujifariji mnawezaa. Yaani anatia huruma, alidhani kwa zile kiki alizozifanya halafu akatimkia ugaibuni, alidhani akirudi atapindua meza fasta kwa kutumia kiki ya miujizaaa, sasa zote zimebumaaa.
Ni sawa mambo mazuri yanayofanywa na CCM yametapakaa kila kona, lakini ni kwa nini wanaogopa uchaguzi?.Narudia tena kuonya, CCM Kwa mambo Mazuri yaliyotapakaa karibu Kila Kona ya nchi yetu yaliyofanywa Chini ya Uongozi mahiri wa JPM, isingewezekana Kwa Chama, ama Kwa mtu yeyote maarufu kushinda uchaguzi huu never!
Na hata hivyo, bado ni mapema, waachane na Kampeni za Urais ili kuokoa hata hicho kidogo walichonacho mkononi, itawaletea heshima
Waweke nguvu kwenye ubunge wasije kuanguka kotekote, angalau kwenye ubunge wanaweza kuambulia wawili watatu........ Hivi
Walienguliwa kimabavu au hawajui kusoma na kuandika?Chama cha CCM kinachojinadi kupiwata kirahisi zaidi, kwenye uchaguzi kutokana na mazuri yaliyofanywa na serekali yake lakini kinaogopa kuingia kwenye sanduku halali la kura,kwa kupora fomu za wapinzani wake,kuwateka na kuwadhuru wa pinzani wake ili kipite bila kupingwa nayo ni maajabu ya CCM ambayo yanatakiwa yawekwe kwenye kumbukumbu kama historia kwa vizazi vijavyo kuwa kulikuwa na chama cha CCM chenye nguvu kilichokuwa kinafanya vizuri lakini kilikuwa hakiwezi kushindana na vyama pinzani, isipokuwa uwezo wake ulikuwa kwenye kutangazwa bila kupingwa.
mbona unajichanganya sana ndugu. Mara o asituchangishe pesa kwani tuko hoi. Unajiaibisha kuwa ccm haipaswi kuchaguliwa tena mana imewafanya wawe hoi kifecha. Pili unasema USAID siyo pesa ya mabeberu hivi we una akili kweli! Unajua malengo yake au wanatoa tu kwa sbb wanakupenda. Kama hii ndo akili ya uvccm basi nchi ina vilaza wengi sana na ccm inapaswa kupigwa chini kabisaaUchaguzi wa mwaka huu ulionyesha mapema kabisa kuwa CCM itashinda kwa urahisi sana. Hii ni kwa sababu kazi nzuri iliyofanyika ndani ya miaka minne ilikuwa ni kete tosha kwa CCM kutusua bila matatizo
Zimebaki siku 49 watanzania waende kupiga kura ili kuchagua wabunge, madiwani na rais wa JMT kakini mpaka siku ya leo inafika tayari Chadema wameshaonyesha kushindwa. Na hii ni kwa sababu wamenza kulialia kama watoto wadogo.
Kitendo cha mgombea urais wa CHADEMA kuanza kutoa sababu ambazo hazina msingi,hizi ni Dalili kuwa sasa jahazi linazama. Mfano kulialia kwa waandishi wa habari kuwa sasa hana pesa na inalazimu kutembeza bakuli hii ni dalili kuwa hali ni mbaya. Lakini kwa nini hakufanya tahimini kuwa Chama chake hakina fedha hivyo akakaa kando na kuacha kuingia kwenye mtanange ambao ni gharama kubwa kuuendesha? Lissu hakufanya tathimini kuwa kuna michango ya wabunge iliyokuwa itumike kwenye uchaguzi ilikwapuliwa na wamiliki wa Chadema? Maana hii ni aibu kutembeza bakuli wakati wananchi tuna hali ngumu.
Kusema kuwa CHADEMA wanachota pesa za serikali pia ni dalili kuwa huyu jamaa amekosa hoja za msingi. Hivi hajui kuwa Ccm wana asset ambazo zinawaingizia pesa lukuki ambazo wakizikusanya kwa miaka mitano zinaweza kuendesha kampeni kwa ufanisi mkubwa? Kutoa sababu eti Hayati Benjamin Mkapa alisema kuna watu walimdanganya na kukwapua pesa za Epa sio justification kuwa Ccm inachota pesa serikalini. Maana CCM ya mwaka 2005 sio hii ya leo.
Kuleta hoja eti CCM imepitisha mgombea ubunge wa Njombe ambae alikuwa na mashitaka ya ufisadi. Kwa hiyo Ccm haipambani na ufisadi huku nako ni kukosa hoja zenye mashiko na zisizo na msaada kwa CHADEMA . Mimi nafikili kama chama makini wangetuambia namna gani watamshinda huyu mgombea ubunge aliyekuwa na makosa ya ufisadi ili wachukue jimbo la Njombe kuliko kuanza kulalama juu ya kuteuliwa kwake kugombea. Pia ifahamike huyu mgombea baada ya kubainika amefanya makosa ya kusaidia Acaccia wasilipe kodi alikamatwa nakufunguliwa mashitaka na kisha kuhukumiwa kwa mujibu wa sheria. Na hukumu yake haijamuondolea sifa ya kuwa mgombea ubunge. Kwa hiyo ni wazi kuwa serikali ya CCM ilichukua hatua stahiki, kusema kwamba haipambani na ufisadi ni uongo na kukosa hoja.
Kujibu hoja ya kuwa anatumiwa na mabeberu kizembe hivyo pia imeonyesha ni wazi kuwa anapata misaada toka kwa mabeberu. Maana huwezi kusema kuwa kisa Usaid au JICA wakitoa misaada tayari tumepata msaada toka kwa mabeberu. Maana dhana nzima ya ubeberu huwa inakamilika pale misada ya taifa lenye uwezo linapotoa msaada ambao una lengo la kuinyonya nchi yetu kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni. Hili hajajibu vuzuri maana anakiri kuwa impliedly kuwa anapata misaada. Je hiyo misaada anaipata kwa mashariti gani huyu ndugu Lissu? Ili aje alinde faragha za watu wanaovunja sheria za nchi!
Kusingizia media za Tanzania hazifanyi coverage ya mikutano yake ni aibu na hii ndio imeonyesha sasa ameishiwa nguvu. Amesahau kilichotokea pale Zakheim? Lakini pamoja na hayo mimi naona vyombo vya habari karibu vyote vinaripoti mikutano yake.
Kusema rais anatumia madaraka yake kujipatia kura. Hili nalo linachanganya. Kwani Tundu Lissu hajui kuwa ukomo wa rais wa JMT ni mpaka aapishwe mwingine? Maana pale Nyehunge rais Magufuli alikuwa anatumia kofia yake ya urais kutekeleza majukumu yake,na kwa katiba ya JMT lipo wazi. Ila dalili zinaonyesha sasa maji yamefika shingoni na baada ya siku kumi itakuwa aibu kwa Chadema.
Umelewa lubisi? Kwani hujui kusoma?mbona unajichanganya sana ndugu. Mara o asituchangishe pesa kwani tuko hoi. Unajiaibisha kuwa ccm haipaswi kuchaguliwa tena mana imewafanya wawe hoi kifecha. Pili unasema USAID siyo pesa ya mabeberu hivi we una akili kweli! Unajua malengo yake au wanatoa tu kwa sbb wanakupenda. Kama hii ndo akili ya uvccm basi nchi ina vilaza wengi sana na ccm inapaswa kupigwa chini kabisaa
Haya nayo ni maajabu mengine ya CCM walionekana hawajui kusoma na kuandika ni wapinzani pekee yao,CCM wote walikuwa wanajua kusoma na kuandika, walioporwa fomu za uchaguzi ni wapinzani peke yao, CCM hakuna hata mmoja aliyeguswa.Walienguliwa kimabavu au hawajui kusoma na kuandika?
Uchaguzi wa Ccm mwaka huu Ccm ilikuwa tamu. Kila mtu alitaka agombee kupitia Ccm. Wapinzani walikuwa na magalasa tu. Hilo nalo limeleta shida kubwa.Haya nayo ni maajabu mengine ya CCM walionekana hawajui kusoma na kuandika ni wapinzani pekee yao,CCM wote walikuwa wanajua kusoma na kuandika, walioporwa fomu za uchaguzi ni wapinzani peke yao, CCM hakiuna hata mmoja aliyeguswa, waliotekwa na kushambuliwa ni wapinzani peke yao CCM hata mmoja hakuguswa.
Hahaha magalasha yanaogopwa na CCM isiyo kuwa ghalasha.Uchaguzi wa Ccm mwaka huu Ccm ilikuwa tamu. Kila mtu alitaka agombee kupitia Ccm. Wapinzani walikuwa na magalasa tu. Hilo nalo limeleta shida kubwa.
Inawezekana sana. Kampeni za chadema 2010 na 2015 zilikuwa na hamasa sana kulinganisha na hizi za Lisu mwaka huu.fedha haramu zimezuiwa, mwaka huu hakuna jinsi utakavyo penyeza fedha haramu lazima udakwe tu.
Tanzania sio shamba la bibi tena
Daudi mchambuzi una akili ya 36 GBNi kweli kabisa wanatapa-tapa sana hadi wameenda kumkokota Mama Maria Nyerere aje kuwaombea kura lakini akawadhalilisha jukwaani.
HujitambuiNi kweli kabisa wanatapa-tapa sana hadi wameenda kumkokota Mama Maria Nyerere aje kuwaombea kura lakini akawadhalilisha jukwaani.
Hata Nyerere alivyoenda Ulaya kudai uhuru hakuwa na pesa..babu zetu wa Dar es salaam walimchangia...Uchaguzi wa mwaka huu ulionyesha mapema kabisa kuwa CCM itashinda kwa urahisi sana. Hii ni kwa sababu kazi nzuri iliyofanyika ndani ya miaka minne ilikuwa ni kete tosha kwa CCM kutusua bila matatizo
Zimebaki siku 49 watanzania waende kupiga kura ili kuchagua wabunge, madiwani na rais wa JMT kakini mpaka siku ya leo inafika tayari Chadema wameshaonyesha kushindwa. Na hii ni kwa sababu wamenza kulialia kama watoto wadogo.
Kitendo cha mgombea urais wa CHADEMA kuanza kutoa sababu ambazo hazina msingi,hizi ni Dalili kuwa sasa jahazi linazama. Mfano kulialia kwa waandishi wa habari kuwa sasa hana pesa na inalazimu kutembeza bakuli hii ni dalili kuwa hali ni mbaya. Lakini kwa nini hakufanya tahimini kuwa Chama chake hakina fedha hivyo akakaa kando na kuacha kuingia kwenye mtanange ambao ni gharama kubwa kuuendesha? Lissu hakufanya tathimini kuwa kuna michango ya wabunge iliyokuwa itumike kwenye uchaguzi ilikwapuliwa na wamiliki wa Chadema? Maana hii ni aibu kutembeza bakuli wakati wananchi tuna hali ngumu.
Kusema kuwa CHADEMA wanachota pesa za serikali pia ni dalili kuwa huyu jamaa amekosa hoja za msingi. Hivi hajui kuwa Ccm wana asset ambazo zinawaingizia pesa lukuki ambazo wakizikusanya kwa miaka mitano zinaweza kuendesha kampeni kwa ufanisi mkubwa? Kutoa sababu eti Hayati Benjamin Mkapa alisema kuna watu walimdanganya na kukwapua pesa za Epa sio justification kuwa Ccm inachota pesa serikalini. Maana CCM ya mwaka 2005 sio hii ya leo.
Kuleta hoja eti CCM imepitisha mgombea ubunge wa Njombe ambae alikuwa na mashitaka ya ufisadi. Kwa hiyo Ccm haipambani na ufisadi huku nako ni kukosa hoja zenye mashiko na zisizo na msaada kwa CHADEMA . Mimi nafikili kama chama makini wangetuambia namna gani watamshinda huyu mgombea ubunge aliyekuwa na makosa ya ufisadi ili wachukue jimbo la Njombe kuliko kuanza kulalama juu ya kuteuliwa kwake kugombea. Pia ifahamike huyu mgombea baada ya kubainika amefanya makosa ya kusaidia Acaccia wasilipe kodi alikamatwa nakufunguliwa mashitaka na kisha kuhukumiwa kwa mujibu wa sheria. Na hukumu yake haijamuondolea sifa ya kuwa mgombea ubunge. Kwa hiyo ni wazi kuwa serikali ya CCM ilichukua hatua stahiki, kusema kwamba haipambani na ufisadi ni uongo na kukosa hoja.
Kujibu hoja ya kuwa anatumiwa na mabeberu kizembe hivyo pia imeonyesha ni wazi kuwa anapata misaada toka kwa mabeberu. Maana huwezi kusema kuwa kisa Usaid au JICA wakitoa misaada tayari tumepata msaada toka kwa mabeberu. Maana dhana nzima ya ubeberu huwa inakamilika pale misada ya taifa lenye uwezo linapotoa msaada ambao una lengo la kuinyonya nchi yetu kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni. Hili hajajibu vuzuri maana anakiri kuwa impliedly kuwa anapata misaada. Je hiyo misaada anaipata kwa mashariti gani huyu ndugu Lissu? Ili aje alinde faragha za watu wanaovunja sheria za nchi!
Kusingizia media za Tanzania hazifanyi coverage ya mikutano yake ni aibu na hii ndio imeonyesha sasa ameishiwa nguvu. Amesahau kilichotokea pale Zakheim? Lakini pamoja na hayo mimi naona vyombo vya habari karibu vyote vinaripoti mikutano yake.
Kusema rais anatumia madaraka yake kujipatia kura. Hili nalo linachanganya. Kwani Tundu Lissu hajui kuwa ukomo wa rais wa JMT ni mpaka aapishwe mwingine? Maana pale Nyehunge rais Magufuli alikuwa anatumia kofia yake ya urais kutekeleza majukumu yake,na kwa katiba ya JMT lipo wazi. Ila dalili zinaonyesha sasa maji yamefika shingoni na baada ya siku kumi itakuwa aibu kwa Chadema.