Uchaguzi 2020 Mfa maji haachi kutapatapa! CHADEMA maji shingoni

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ acha kuchekesha wewe kilaza wa Lumumba!! Yaaani Tundu Lissu atafute kiki???
Sasa chadomo bila kiki kuna hojaa palee.
Lisu wenu zaidi ya kupayukapayuka, na kiuanaharakati, kuna mtu pale. Kiki zake zote zimebumaaa
 
Ni kweli kabisa wanatapa-tapa sana hadi wameenda kumkokota Mama Maria Nyerere aje kuwaombea kura lakini akawadhalilisha jukwaani.
Walimuomba na kifimbo cha baba wa taifa , akawanyima wakataka kukichukua kwa nguvu , ulimsikia Makongoro nimeacha kifimbo nipo na mama , walishindwa kukichukua.
 
Wakubwa wenu vichwa vimevimba kwa mchaka mchaka wa Lissu wewe unaropoka tu hapo,au hujaona push ups zimeanza tena.
 
Ni kweli kabisa wanatapa-tapa sana hadi wameenda kumkokota Mama Maria Nyerere aje kuwaombea kura lakini akawadhalilisha jukwaani.
Alifikiri uraisi ni kula myama choma na bia akiwa ana hudumiwa na mzungu huko uberigiji?
Mmemdanganya kwenye mitandao nae akavimba kichwa sasa joto linamuwakia.
Kama ameshindwa kumuuliza Mbowe wapi pesa za wabunge zipo, basi wacha akione cha moto.
 
Uchaguzi wa mwaka huu ulionyesha mapema kabisa kuwa CCM itashinda kwa urahisi sana. Hii ni kwa sababu kazi nzuri iliyofanyika ndani ya miaka minne ilikuwa ni kete tosha kwa CCM kutusua bila matatizo
Kamwe usimchukulie poa adui yako. Usifanye kosa hilo kabisa
 
Alifikiri uraisi ni kula myama choma na bia akiwa nhudumiwa na mzungu huko uberigili?
Mmemdanganya kwenye mitandao nae akavimba kichwa sasa joto linamuwakia.
Kama ameshindwa kumuuliza Mbowe wapi pesa za wabunge zipo, basi wacha akione cha moto.
mataga hapa tayari umeshapanic 🀣 🀣 🀣
 
Lis
Wakubwa wenu vichwa vimevimba kwa mchaka mchaka wa Lissu wewe unaropoka tu hapo,au hujaona push ups zimeanza tena.
Lisu anamchamchaka gani, ambao unaweza kuisumbua ccm? Hivi lisu inje ya kupayuka na kushudia kiki za miujiza na kuwatoza watu sadaka za lazima na kuwataka wanatanzania wampe uraisi kama kifuta machozi, anasera zipiii?? Au unataka tuanike kiki zenu zote hapa??
 
Dah uvccm humu hoja hakuna..yaani ni empty kichwani hawana critical reasoning mihemko na mahaba niue ya chama yamewajaa kichwani... Mpaka Muite maji mmma.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji18]
 
Chadema ilishajifia baada ya ccm kugeuzwa kuwa Magufuli.
 
Kitendo cha tume kuengua wagombea wa upinzani inaonyesha ccm hali mbaya
 
Huu uchaguzi una uhaba mkubwa wa mabango na bendera za kampeni hata za mwaka 1995 nyingi. Nadhani ni mambo ya funds. Just thinking aloud.
Mabango yote ya upinzani TRA wameambiwa walipie kodi, ya ccm bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…