Mfahamu Clara Luvanga mchezaji wa Yanga na timu ya taifa ya Wanawake chini ya Miaka 17

Mfahamu Clara Luvanga mchezaji wa Yanga na timu ya taifa ya Wanawake chini ya Miaka 17

Kitendo alichofanyiwa mshambuliaji wa Yanga Princess na timu ya Taifa ya Tanzania U17 (Seregenti Girls) Clara Luvanga na maafisa wa Cameroon cha kumkagua njisia yake sio kitu cha kiugwana bali ni udhalilishaji, Unyanyasaji na Ubaguzi wa hali ya juu.

-Some time mpira wa Afrika una mambo ya ajabu ajabu sana yaani wale maafisa mpaka wanataka kulazimisha kumkagua mtu uwanjani hivi hii ni haki kweli? Nigeria ina wachezaji wengi wenye maumbo ya kiume kwa nini wao hawajakaguliwa jinsia zao.

-Pongezi nyingi ziende kwa maafisa wa Tanzania ambao waliambatana na timu pamoja na bechi la ufundi la Serengeti Girls kwa kumjenga kisaikolojia Clara pamoja na udhalilishaji aliofanyiwa akawafunga magoli matatu pekee yake kwenye ushindi wa magoli 4-1.

Walikosea ,wangekuwa na mashaka naye baada ya mechi wangeandika malalamiko CAF. Ila nina mashaka mashindano yanavyoendelea timu zingine zitalalamika ,Viongozi wa timu na maafisa wanatakiwa wawe na msimamo mkali asidhalilishwe.
 
Cameroon tukiwatoa tu tunaenda kombe la dunia kwa hiyo watataka kutumia mbinu za nje ya uwanja angalau wabahatishe. Ikumbukwe tunaongoza 4-1
 
Uzi huu bila picha ni takataka
1653320207552.png
 
Walikosea ,wangekuwa na mashaka naye baada ya mechi wangeandika malalamiko CAF. Ila nina mashaka mashindano yanavyoendelea timu zingine zitalalamika ,Viongozi wa timu na maafisa wanatakiwa wawe na msimamo mkali asidhalilishwe.
burundi na botswana wote walilalamika huko india world cup pia atalalamikiwa tu
 
Kwa hiyo walifanikiwa kumkagua hapohapo uwanjani?

Walichungulia kilichomo kwenye bukta au ukaguzi wa aina gani?

Hii issue haipo Africa pekee na si kwenye mpira tu,hata Semenya alifanyiwa hikihiki tofauti itakuwa ni aina ya vipimo tu yule walijikita na hormones.
 
Kwa hiyo walifanikiwa kumkagua hapohapo uwanjani?

Walichungulia kilichomo kwenye bukta au ukaguzi wa aina gani?

Hii issue haipo Africa pekee na si kwenye mpira tu,hata Semenya alifanyiwa hikihiki tofauti itakuwa ni aina ya vipimo tu yule walijikita na hormones.
hormones sidhani waliangalia tu kam ana papuchi..wakipima hormones huyu watakuta zimezidi ila siku hizi wanariadha waliobadili jinsia wanaruhusia kucompete kama wanawake sembuse huyu wa kuzaliwa?
 
Back
Top Bottom