Mfahamu Clara Luvanga mchezaji wa Yanga na timu ya taifa ya Wanawake chini ya Miaka 17

Walimkagua,wakathibitisha nayeye akawapiga tatu
 
Japo sishabikii kilichotokea ila tusiwe wanafiki. Hila swala hata mama alishaongelea.

Sijui inakuwaje waliowengi kutoka africa wamepoteza haiba ya kike.

 
Mwenye mada, rudia kuiangalia picha #1 kisha utudhibitishie kuwa ni -ke

Unaweza kujikuta kwa pilato!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]huku africa wote sura za baba yaani cha KWANZA hawana nyasa wa victoria na wakivaa hizo jezi yaani vifua hutofautisha na vya akina mayele
 
Mwenye mada, rudia kuiangalia picha #1 kisha utudhibitishie kuwa ni -ke

Unaweza kujikuta kwa pilato!
hv ktk tu hali ya kawaida umewekewa tu picha. Unaweza kuwa na maswali kuhusu jinsia yake. Si tayri jibu unalo. Ishu inapokuja ni unapoambiwa tofauti na ulichofikri awali.
 
Wapumbavu sana wale wacameroon

Kwa taarifa yao sasa wakija huku tutawaingiza juma nyoso na yondani ili wakague nyeti zao vizuri
 
Mimi binafsi siwalaumu maafisa wa CAF hata ningekuwa Mimi lazima ningesema akakaguliwe jinsia coz atakaguliwa Na mwanamke mwenzake
 
Na hawa ni wacameroon
 

Attachments

  • 0CB44554-2ECB-4490-A17E-F8DAE010B871.jpeg
    46.4 KB · Views: 26
  • C41C7A58-A187-44FA-8BE8-E73ACCB4F4C0.jpeg
    35.5 KB · Views: 26
  • A2CD769F-CC42-4046-95AB-6B73FB8C8BB5.jpeg
    33.9 KB · Views: 22
  • 8E08C0AC-9D2C-4CE8-86AF-D8F89C122835.jpeg
    33.6 KB · Views: 21
  • FEFCEA27-EDB2-469C-944B-9F0C7A81EF8D.jpeg
    59.9 KB · Views: 26
Hili ni dume kabisa au atakuwa nazo mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…