Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Zari yupo juu! Mzuriiiiiiii kuna mwingine nimeona hapo miguu imekomaa ina vigimbiiii.....
Mtoto Zarina ndo habari ya town. Sura kama malaika dah!
Weka picha yako hapa kama hufanani na Baboon.
jokate binamu comedy enzi hizo anagongwa na fa hadi akatoa mimba walikua wanamuita hvyooahahaha umenichekesha...kate kate ndo nani tena??
jokate binamu comedy enzi hizo anagongwa na fa hadi akatoa mimba walikua wanamuita hvyoo
demu mkali yule binamu, kiboko ya mwafulani maana mtoto kabarikiwa umalaya,uzuri hadi utajiri,nasikia ana stashahada ya cosmetology inabid na mimi nikasomee shahada ya gossipology aiseeh..n
kuna katetesi ka sembe behind huo utajiri,ye ivan mapesa katoa wapi au mtaji ulitoka kwenye sembe ha ha ha chezea watu tusopenda maendeleo ya watu lol...joke nauliza tu lakinimwenzangu nasikia mume wake ivan ndo source ya utajir wake, mwanzo alikuwa chakubimbi tu kama akina aunty ezekiel,sema jamaa ndo kamtoa na ivi kazaa nae watoto watatu bhas utajir wote umemwangukia zari, yule mwanamke ni shidaaa ana pesa hatariiii yan ni noumaaa
nimeskia ni Ivan alikuwa mumewe
jokate binamu comedy enzi hizo anagongwa na fa hadi akatoa mimba walikua wanamuita hvyoo
ivan ye kazitoa wapi?
huko kwa Ivan sijaskia bado wangu tuendelee kufuatilia udaku labda tutajua
Hihihihiiii uuuwiii upo deep
no doupt zitakuwa ni dirty money, but will u thubutu kuwa punda ili na wewe upange ma ranger na ma vogue uani kwako???ngoja tusubiri tunaezapewa mbinu za kuwa matajiri ha ha ha
tuna PHD za umbealogy wangu
hahahaaa kwanini upitwe na mwenye masterz ya cosmetology??? uliichukulia booklyin au???
ngoja tusubiri tunaezapewa mbinu za kuwa matajiri ha ha ha
ivan ye kazitoa wapi?
Ngoja aje Nyani na stress za box akutake uthibitishe.
wanapendezana ila sina hakika kama career ya platnumz haitakuwa affected na huu uhusiano in a negative way.
Haya mambo ya kuandamana kila sehemu sijui kama yanampa muda kufanya mazoezi na kutunga mashairi mazuri.
Kuna watu ukijihusisha nao ama utafirisika ama utarudi nyuma ni sawa na dallaz alivyojiingiza kwa jackline wolper akajkuta ana over kutumia.
Any way ela wanaitafta wao haina haja ya kuwapangia jinsi ya kuitumia.