MFAHAMU:-Manongu Mzungu anaeimba nyimbo za kisukuma

MFAHAMU:-Manongu Mzungu anaeimba nyimbo za kisukuma

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Jf wasaalam 🙏

Sina hakika Wala kumbukumbu kama huyu msanii mzungu anayeimba nyimbo za kisukuma Kwa ufasaha alishawahi ongelewa humu. Kama Bado soma hapa.

Anaitwa Manongu mzaliwa wa Sweden, amezaliwa huko na kukulia huko.

Alipata nafasi ya kutembela Tanzania kama mtalii. Alipenda sana Tamaduni za Africa Kwa hapa Tanzania.

Mbali na hapo aliitembelea BUJORA Mwanza Kwa ajiri ya kutazama makumbusho ya wasukuma.

Alishangaa kuona wasukuma Tamaduni zao ni nzuri zaidi na kuvutiwa kujifunza lugha ya kisukuma.

Safari yake ya mziki ilianza pale alipomaliza kujifunza lugha ya kisukuma na kurudi nchini kwao.

Alianza uhamasishaji katika ktk Nchi Yao Kwa kutangaza Tamaduni za kisukuma.

Manongu alijikuta amebobea katika uimbaji.

Na nyimbo yake ya kwanza Ni "Ungwana ndololo uyo" (mtoto mdogo huyu) Link yake👇👇
View: https://youtu.be/Wxp0cDhPtlo

Wimbo huu ulimpa umaarufu Hadi kupewa mwaliko na waziri wa Sanaa na michezo hapa Tz.

Baada ya hapo Manongu akaachia nyimbo nyingine iitwayo "kangilijaga makanuka"(Harakisha makanuka)
Link yake hii hapa👇👇

View: https://youtu.be/OQfcgumCv_k

Wimbo huu ulizidi kumpa umaarufu mara dufu kupitia Hadi ya kisukuma na watu wengi walianza kumfuatilia zaidi nchini na Nje ya Nchi.

Baada yapo aliachi nyimbo nyingine Tena iitwayo "Ngwana wi samva"(Mtoto wa mizimu)
Link yake hii hapa👇👇

View: https://youtu.be/xZ5mKLZ3wWk

Nchini Sweden alianzisha kundi liitwalo sukama Dance liinalojihusisha na nyimbo za kisukuma dance,Mila,Desturi na Tamaduni za kisukuma.

Pia Manongu aliamua kuoa mwanamke wa kisukuma na kubahatika kupata mtoto mmoja.

Fuatilia zaidi YouTube channel yake https://youtube.

com/c/MANONGUSukumadancein Sweden
 

Attachments

  • img_2_1722185959996.jpg
    img_2_1722185959996.jpg
    65.6 KB · Views: 6
Kwani,dini ni nini?Ulivyoandika ni kama unataka kutueleza kwamba dini ni imani na kusadiki uislamu na ukristo pekee.Je,uislamu na ukristo ndiyo dini pekee duniani?
Dini ni tool ya kucontrol masses kwa faida za kisiasa, kiuchumi n.k.
Kwa Tanzania, ukisema 'dini', zaidi ya 90% ( kwa makadirio) watawazia uislamu na ukristo.
 
Wasukumu wana dunia yao , kuna wasanii wanabamba huko huku mikoani hawajulikani ..Ukimpeleka Diamond hawana time nae kabisa .
Kipind cha mavuno Kahama kuna wasanii wanapiga show , wanapiga pesa balaa ni matajiri huko .
Tembea uone sio unakaa kaa tu hapo Buguruni huku usukumani mpaka vibibi vinamjua Diamond na Wema Sepetu mpaka kijibwa cha Wema Sepetu vibibi vinakisimulia huku usukumani kwa hio usiseme kwamba Diamond akija show hawana time nae Ogopa mpaka fuko la Shangazi kaja lina picha ya Diamond wasukuma wananunua, hizo simulizi zenu za uongo ziishie hapo hapo Buguruni Rozana
 
Character na yote yanayomuhusu yanamilikiwa na dini za kikristo. Hivyo huwezi mtenganisha na dini.

The fact kwamba umemjua kupitia dini za kikoloni inadhihirisha huwezi mtenganisha Yesu na ukoloni.
HAPANA YESU PIA ALIJITENGA NA MAFARISAYO WATU WA DINI TENA NDIO WALIO KUWA WANAMSHITAKI MPAKA MWISHO AKASULUBIWA MSALABANI IWEJE USEME YESU ANADINI

WAKATI YEYE TU ALIJITENGA KABISA NA DINI TENA ALIYOTOKEA AMBAYO NI YA MUSA.

AU UNAMSOMA YESU JUU JUU TU
 
HAPANA YESU PIA ALIJITENGA NA MAFARISAYO WATU WA DINI TENA NDIO WALIO KUWA WANAMSHITAKI MPAKA MWISHO AKASULUBIWA MSALABANI IWEJE USEME YESU ANADINI

WAKATI YEYE TU ALIJITENGA KABISA NA DINI TENA ALIYOTOKEA AMBAYO NI YA MUSA.

AU UNAMSOMA YESU JUU JUU TU
Nisome vizuri. Sijasema Yesu ana dini.
Nimesema mambo yote yanayomuhusu na character yake inamilikiwa na dini.
Sasa utamtenganishaje na dini?
 
Back
Top Bottom