MFAHAMU:-Manongu Mzungu anaeimba nyimbo za kisukuma

MFAHAMU:-Manongu Mzungu anaeimba nyimbo za kisukuma

Wasukumu wana dunia yao , kuna wasanii wanabamba huko huku mikoani hawajulikani ..Ukimpeleka Diamond hawana time nae kabisa .
Kipind cha mavuno Kahama kuna wasanii wanapiga show , wanapiga pesa balaa ni matajiri huko .
Sahihi majuzi niliwaona viunga vya kakola
 
S
Tembea uone sio unakaa kaa tu hapo Buguruni huku usukumani mpaka vibibi vinamjua Diamond na Wema Sepetu mpaka kijibwa cha Wema Sepetu vibibi vinakisimulia huku usukumani kwa hio usiseme kwamba Diamond akija show hawana time nae Ogopa mpaka fuko la Shangazi kaja lina picha ya Diamond wasukuma wananunua, hizo simulizi zenu za uongo ziishie hapo hapo Buguruni Rozana
Siyo kweli ungetaja tu vijana wa waliozaliwa 2000+ ningekukubalia hao wanamjua diamond na wengine. Asa bibi wa miaka60+ atacheza komasava ama amapiano yoyote jibu ni hamna.

Ukichukua radio za mchina hizi za Bluetooth 10 huenda mbili pekee utakuta Zina miziki ya bongo fleva na pengine wame mix na zakisukuma. Huo ndio ukweli Ukatae Leo kesho utaukubali tu.
 
Una hoja mkuu usikilizwe mara moja
Na zile Ngoma za kisukuma na makabila mengine , inafaa sasa zianze kufanyika nchi nzima. Yaani tuwe msimu wa kufurahia tamaduni zetu kama vile nchi ya Brazil na nchi za Carrebean wanavyokuwaga na carnivals.

Wanacheza Samba, wanamatch mitaani, wanavaa mavazi traditional, wanakula misosi ya kiutamaduni.
Mambo saafi kabisa.

Hapa Bongo Mambo hayo, utaambiwa ni ushetani.
Brainwashed individuals wa dini.
 
Na zile Ngoma za kisukuma na makabila mengine , inafaa sasa zianze kufanyika nchi nzima. Yaani tuwe msimu wa kufurahia tamaduni zetu kama vile nchi ya Brazil na nchi za Carrebean wanavyokuwaga na carnivals.
Nikweli mkuu sema Kuna baadhi wasanii wanatuaibisha sana uchezaji na uvaaji wao unakuwa ni matusi na si utamaduni Tena!
 
Mchungaji anasimama kanisani anakwambia kuangalia ama kusikiliza nyimbo za utamaduni ni dhambi😂😂
Tena anakutafutia na fungu kama mhuri wa kuthibitisha alicho kisema
Na zile Ngoma za kisukuma na makabila mengine , inafaa sasa zianze kufanyika nchi nzima. Yaani tuwe msimu wa kufurahia tamaduni zetu kama vile nchi ya Brazil na nchi za Carrebean wanavyokuwaga na carnivals.

Wanacheza Samba, wanamatch mitaani, wanavaa mavazi traditional, wanakula misosi ya kiutamaduni.
Mambo saafi kabisa.

Hapa Bongo Mambo hayo, utaambiwa ni ushetani.
Brainwashed individuals wa dini.
 
Jf wasaalam 🙏

Sina hakika Wala kumbukumbu kama huyu msanii mzungu anayeimba nyimbo za kisukuma Kwa ufasaha alishawahi ongelewa humu. Kama Bado soma hapa.

Anaitwa Manongu mzaliwa wa Sweden, amezaliwa huko na kukulia huko.

Alipata nafasi ya kutembela Tanzania kama mtalii. Alipenda sana Tamaduni za Africa Kwa hapa Tanzania.

Mbali na hapo aliitembelea BUJORA Mwanza Kwa ajiri ya kutazama makumbusho ya wasukuma.

Alishangaa kuona wasukuma Tamaduni zao ni nzuri zaidi na kuvutiwa kujifunza lugha ya kisukuma.

Safari yake ya mziki ilianza pale alipomaliza kujifunza lugha ya kisukuma na kurudi nchini kwao.

Alianza uhamasishaji katika ktk Nchi Yao Kwa kutangaza Tamaduni za kisukuma.

Manongu alijikuta amebobea katika uimbaji.

Na nyimbo yake ya kwanza Ni "Ungwana ndololo uyo" (mtoto mdogo huyu) Link yake👇👇
View: https://youtu.be/Wxp0cDhPtlo

Wimbo huu ulimpa umaarufu Hadi kupewa mwaliko na waziri wa Sanaa na michezo hapa Tz.

Baada ya hapo Manongu akaachia nyimbo nyingine iitwayo "kangilijaga makanuka"(Harakisha makanuka)
Link yake hii hapa👇👇

View: https://youtu.be/OQfcgumCv_k

Wimbo huu ulizidi kumpa umaarufu mara dufu kupitia Hadi ya kisukuma na watu wengi walianza kumfuatilia zaidi nchini na Nje ya Nchi.

Baada yapo aliachi nyimbo nyingine Tena iitwayo "Ngwana wi samva"(Mtoto wa mizimu)
Link yake hii hapa👇👇

View: https://youtu.be/xZ5mKLZ3wWk

Nchini Sweden alianzisha kundi liitwalo sukama Dance liinalojihusisha na nyimbo za kisukuma dance,Mila,Desturi na Tamaduni za kisukuma.

Pia Manongu aliamua kuoa mwanamke wa kisukuma na kubahatika kupata mtoto mmoja.

Fuatilia zaidi YouTube channel yake https://youtube.

com/c/MANONGUSukumadancein Sweden

Nikusahihishe kidogo huyu sio m-Sweden bali ni m-Danish

Huyu anatokea Copenhagen ambako ndiko alikuwa anatokea marehemu Padre Clememt mwanzilishi ya Makumbusho yaliyopo Bujora Mwanza

Mbali na hilo, Niels Bohr; mmoja wa wanaSayansi wakubwa sana wa Karne ya 20, alikuwa mwenyeji wa Copenhagen

Huyu Niels alikuwa ni rafiki yake na mwanasayansi mwingine mahiri Albert Einstein ambaye aliwahi kupewa Nobel Prize ya huu umeme wa solar mwaka 1921

Niels Bohr naye pia aliipata prize hiyo mwaka uliofuata wa 1922
 
Nikusahihishe kidogo huyu sio m-Sweden bali ni m-Danish

Huyu anatokea Copenhagen ambako ndiko alikuwa anatokea marehemu Padre Clememt mwanzilishi ya Makumbusho yaliyopo Bujora Mwanza

Mbali na hilo, Niels Bohr; mmoja wa wanaSayansi wakubwa sana wa Karne ya 20, alikuwa mwenyeji wa Copenhagen

Huyu Niels alikuwa ni rafiki yake na mwanasayansi mwingine mahiri Albert Einstein ambaye aliwahi kupewa Nobel Prize ya huu umeme wa solar mwaka 1921

Niels Bohr naye pia aliipata prize hiyo mwaka uliofuata wa 1922
Nimepokea mkuu. Na ahsantee sana. Binafisi nimefatilia tangu mwaka Jana kama una details zako na ulipo mtaja huyo father nakubaliana nawewe mkuu
 
Nilifika bujora museum Mwanza, ndo huko?
 
Nimepokea mkuu. Na ahsantee sana. Binafisi nimefatilia tangu mwaka Jana kama una details zako na ulipo mtaja huyo father nakubaliana nawewe mkuu
Wana kituo chao kingine cha sanaa pia huko Copenhagen na walishawapeleka wasukuma wako huko. Niliwahi kufika na kukaa huko kipindi fulani lakini kwa bahati mbaya nikasahau kwenda kuwatembelea
 
Back
Top Bottom