Mfahamu "Mkandala Rufufu" mzee wa kukotola

Mfahamu "Mkandala Rufufu" mzee wa kukotola

Anaitwa.Kapteni Gaspa derki mkandala lufufu,, afu mbele Apo kuna maneno ya kihaya alipenda kuyaweka Mnaokumbuka Vyema Mtatukumbusha.

Baada ya kustaafu kazi ya Jeshi Lufufu aliamua kuanza kutafsiri picha (Movie) za kizungu nk. kwa kiswahili, jina lake likawa maarufu hapa nchini Tanzania huku akiwa mtu wa kwanza kabisa kuingiza maneno ya kiswahili kwenye mikanda ya video VHS.

Huyu muasisi wa MaDj wote unaowaona wanatamba hivi sasa alifariki Mwaka 2015 na kuzikwa Moshi Mkoani Kilimanjaro. Baba yake alikuwa mchaga na mama yake alikuwa mhaya.

Alikuwa akinogesha movie kwa maneno yake ambayo hatuyajui maana yake mpaka leo ila wapenzi watazamaji walimwelewa. [emoji2]

"""Eeeee Tujuane wale wote wa vibanda umiza kipindi kileee tulio kuwa tukirudi tunafikia kwenye kichapo na maji ya baridi juu. watoto wa getini mtupishe kidogo [emoji2][emoji2]"""

Unaikumbuka muvi ipi kutoka kwa huyu mkali....View attachment 2242541
Nakumbuka The Drunken master
 
Haya ni baadhi ya maneno yake ninayotakumbuka enzi anatafsiri

" akamweka kwenye kanyampasila"

"Na picha letu linaisha hapa, sterling wetu anapanda gari Aina ya chai maharage na kutekomea zake kusikojulikana"

Rufufu alikuwa anatafsiri picha Hadi kuna maneno ukisikia unajua kbs hii ni chai,Ila tulipokuwa na kujua kiingereza Kish atukazirudia zile picha tunakuja kugundua kwamba kweli zile tafsiri za rufufu zilikuwa ni chai[emoji28][emoji28]
Kanyampasiira hapo ni pale mtu kabanwa ready handed huna pa kuchomokea,kama alivyofanyiwa KOLO leo
 
Anaitwa.Kapteni Gaspa derki mkandala lufufu,, afu mbele Apo kuna maneno ya kihaya alipenda kuyaweka Mnaokumbuka Vyema Mtatukumbusha.

Baada ya kustaafu kazi ya Jeshi Lufufu aliamua kuanza kutafsiri picha (Movie) za kizungu nk. kwa kiswahili, jina lake likawa maarufu hapa nchini Tanzania huku akiwa mtu wa kwanza kabisa kuingiza maneno ya kiswahili kwenye mikanda ya video VHS.

Huyu muasisi wa MaDj wote unaowaona wanatamba hivi sasa alifariki Mwaka 2015 na kuzikwa Moshi Mkoani Kilimanjaro. Baba yake alikuwa mchaga na mama yake alikuwa mhaya.

Alikuwa akinogesha movie kwa maneno yake ambayo hatuyajui maana yake mpaka leo ila wapenzi watazamaji walimwelewa. [emoji2]

"""Eeeee Tujuane wale wote wa vibanda umiza kipindi kileee tulio kuwa tukirudi tunafikia kwenye kichapo na maji ya baridi juu. watoto wa getini mtupishe kidogo [emoji2][emoji2]"""

Unaikumbuka muvi ipi kutoka kwa huyu mkali....View attachment 2242541
[emoji23][emoji23][emoji23] kwenye movie za makomandoo wa marekani na wavietinam niliinjoy sana
 
Binafsi yangu ni movie zilizoongezewa manjonjo na huyu mzee tu nnazoweza kuziangalia, # G.O.T# Ni Lufuuuuufu Mukandala lukoma abambaijo
 
Alikuwa mwasisi na alihamasisha sana vijana wwngu kuanza kufanya kazi za kuingiza sauti kwenye picha. Alikuwa mzuri sana kwenye picha za kivita.
Juma khan alikuwa mzuri san kwenye picha za kihindi.

Kiufupi mkandala alijua sana kazi yake na alitumia maneno nje ya picha ili kunogesha na hata picha ambayo ilikuwa imepoa inachangamshwa na maneno yake.
Apumzike kwa aman
 
Mzee wa kamnyweso, makagari, akamchoma Uswadi, anataka kumtafuna uroro, Indaa!!!
Msimsahau Dj Afro Amigo.
Rufufu nimuongo alikua anaelezea matukio badala ya kutafsiri maneno.

Kwangu Dj Mack na Dj Afro ndio the best wanajua kingereza vizuri na hawachoshi kuwasikiliza
 
Alikuwa mwasisi na alihamasisha sana vijana wwngu kuanza kufanya kazi za kuingiza sauti kwenye picha. Alikuwa mzuri sana kwenye picha za kivita.
Juma khan alikuwa mzuri san kwenye picha za kihindi.

Kiufupi mkandala alijua sana kazi yake na alitumia maneno nje ya picha ili kunogesha na hata picha ambayo ilikuwa imepoa inachangamshwa na maneno yake.
Apumzike kwa aman
Apumzike kwa aman

[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Aliporudi kutoka vitani kagera miaka ya 79 aliamua kuacha jeshi hakustafu, tuliishi mbagala kwa makuka, nyumba yake kwa miaka ile ilikuwa ni miongoni mwa nyumba kali sn kwa makuka mbele alijenga fremu kadhaa za biashara, alikuwa kipenzi cha watu sn Huyu mzeee dah, mwenyezi mungu amuweke anapostahili
 
Mzee wa kamnyweso, makagari, akamchoma Uswadi, anataka kumtafuna uroro, Indaa!!!
Msimsahau Dj Afro Amigo.
Rufufu nimuongo alikua anaelezea matukio badala ya kutafsiri maneno.

Kwangu Dj Mack na Dj Afro ndio the best wanajua kingereza vizuri na hawachoshi kuwasikiliza
Hahaa
 
Aliporudi kutoka vitani kagera miaka ya 79 aliamua kuacha jeshi hakustafu, tuliishi mbagala kwa makuka, nyumba yake kwa miaka ile ilikuwa ni miongoni mwa nyumba kali sn kwa makuka mbele alijenga fremu kadhaa za biashara, alikuwa kipenzi cha watu sn Huyu mzeee dah, mwenyezi mungu amuweke anapostahili
Amen
 
Lufufu alikuwa anajua kiingereza vizuri kbsa.. Ila kipind kile technolojia ilikuwa ndogo.. Ilikuwa ni ngumu kuangalia movie na kutafsir hapo hapo..

So alichokuwa anafanya,anaangalia movie yote zaid ya mara moja.. Then anaikalili yote na kuanza kuitafsiri kwa maneno yake navimbanga vyake..

In short huyu mzee ndio kapiga ela sana enzi zile kwa maana VHS moja alikuwaana uza kwa 1500 hadi 2000... Sasa fikiria kwa kipind kile
 
Back
Top Bottom