Mfahamu Reinhard Bonnke: Mhubiri aliyetikisa dunia

Bonke alikuwa anatukusanya saana kwanza yale mavifaa yake akiyafunga tu na mataa yale daaah na ukifika unapigwa Injili iliyosimama
 
2028-1940=78

Hiyo 79 imetoka wapi
 
Sasa yeye alijaza nyomi bila hawa mitandao

Yaani aliweza kushawishi bila msaada wowote balaa
 
Nakumbuka alipokuja Kilimanjaro watubwalijaa sana uwanja wa Mashujaa na Injili ilihubiriwa na watu tulimpokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yetu. Long live Bonke
 
Mkuu mm nakumbuka pale Ngaramtoni Arusha mwaka 1997 au 1998 na Mbeya 2004 kama sikosei
Ilikuwa ni uwanja wa Arusha secondary! Ambapo ccm wameupora na kuwauzia wachina, siku hizi pamezungushiwa bati sijui Panafanyika uwizi gani huko ndani!
 
nilishuhudia mkutano wake Nairobi ,wakati maombi ya kuvunja nguvu za giza yakifanyika,kuna kichaa alikuwa akipita nyuma kabisa ya mkutano akiwa uchi mnyama kabisa,aliyechakaa miaka kibao,alianguka alipoamka alikuwa kapona akiomba asitiriwe na nguo.

Mwaka 2001 uwanja wa mashujaa alikuwa uwanjani ikanyesha mvua kubwa sana sana siku hiyo Bonke aliinyooshea kidole tu duu kwa dk 4 likawaka jua Kali sana
 
Maguful atakuwa kampiku maana wakati wa Kampen Raia walikuwa weng mnoo..
Haahahaaa
 
Heri lee, Jitahidi kuandika kwa mtiririko mzuri na kuna typing error nyingi sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…