Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Impongo. Biblia soma kwa kuelwa
 
Hahahahaa safi sanaaa!
Nadhani ubishi umeisha!
Mlikuwa mnanibishia!.
Haya leta swali lingine!

japo bado naendelea kutafiti ukweli juu ya wana wa Mungu ni nani? hivyo siwezi kubali moja kwa moja.
swali ni

je hao ndio walijitwalia mabinti wa wanadamu?
 
japo bado naendelea kutafiti ukweli juu ya wana wa Mungu ni nani? hivyo siwezi kubali moja kwa moja.
swali ni

je hao ndio walijitwalia mabinti wa wanadamu?
Mkuu!
Ilikuwa hivi!
Malaika waasi chini ya azael walitua katika mlima flan hivi!.
Baada ya kuona bint za wanadamu
Wakawataman! Kumbuka Lucifer alikuwa Na Vita ya chini Na Mungu!.
 
Zitto junior Nakuthibitishia Malaika hawezi kuzaa na mtu na mbinu aliyoitumia Mungu kumleta Yesu Malaika haiwezi. Maana Mungu alitoa nafsi moja ambayo ndiyo yesu ili malaika afanye hivo ajiingize mwenyewe. sasa ataweza??
 
Mkuu huo uzao wao ni wakubwa kwa maumbo kama hao wa zamani au?
Mbona hatujawahi kuwaona?
 
zzt Junior hii unaizungumziaje?
Mkuu mwana wa Mungu inatafsiri tofauti kwa kila kifungu inapotajwa sasa kwa muktadha wa job na zaburi na daniel wana wa Mungu ni MALAIKA

Ila kwa mwanzo kwa uelewa wangu wana wa Mungu pale ni wana wa seth sababu ndio waliokuwa wasafi ila wanadamu ni uzao wa cain (kizazi cha nyoka) ila bado kuna wanaoweza kujengea hoja kuwa wana wa Mungu wanaotajwa kwenye zaburi kuwa walishangilia pamoja na nyota ya asbuhi siku dunia inaumbwa ndio hao hao wanaotajwa na mwanzo 6:4 hivyo hii mistari bado ni mjadala unless tuseme wana wa Mungu kwa kila kitabu ina maana tofauti ila tukizifungamanisha basi ndio inazaa mjadala kma hivi kuwa ipi ni ipi nachoona muhim tuangalie muktadha wa kitabu husika na tusifungamanishe kuwa definition ya mwana wa Mungu ni moja kwa biblia nzima nafkiri hii itasaidia kupunguza mkanganyiko huo

Cc impongo Mchawi Mkuu mitale na midimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…