Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Ukija nitamalizia
Na impact zake zilikuaje!
Na jinsi ilivyokuwa mgawanyiko!
Kumbuka Hawa nephilism kuna wengine walikimbia Dunia! Wakaenda mbali!
Ndiyo baadhi tuna waita so called UFO's !
Mkuu hawa nephilism waliokimbia dunia wana uhusiano wowote na annunnaki?
 
Mkuu toka mwanzo nimeshasema mwanzo 6 ni watoto wa seth na cain hakuna mahala nimesema ni uzao wa malaika na wanadamu hiyo hoja ipo nje ya biblia sio ndani ya biblia

Ila mimi nauliza nje ya mwanzo 6 je malaika hawezi mzalisha mwanadamu?? Nmeuliza tu kma Roho mtakatifu alivyoweza kuweka roho ya Yesu kwenye tumbo la maria bila maria kulala na mwanaume je haiwezekani pia wakatunga mimba kwa wanadamu wengine hata bila ya ngono if at all hoja yako ni kuwa malaika hawana jinsia

Kama ni ngono nmeshahoji kma wale malaika waliomtembelea abraham na lotu waliweza kufanya kila kitu alichofanya mwanadamu maana walivaa mwili wakibinadam je hawawezi weza kulala na mwanamke kma wangeamua?? Na wangeweza ina maana malaika anaweza kufanya ngono si ndio maana yake??

Embu tuanzie hapo kwanza tuachane na mwanzo 6 maana nlishaeleza hapo juu kuwa WANA WA MUNGU ina maana tofauti kwenye kila kitabu hivyo tukijengea hoja hapo tutakesha humu maana zaburi daniel na Ayubu vinawataja wana wa Mungu ni viumbe vya mbinguni sio hapa
 
Fafanua annunaki kwa faida ya wengine
Hawa annunaski niliwasikia kwa mara ya kwanza kuwa walikujaga miaka mingi sana hapa duniani
huwa wanakuja na sayari yao na kuondoka kwa kila baada ya kipindi fulani.. Mara ya mwisho walikuja enzi za kina nuhu au babeli kama sijakosea
Hivi karibuni ilizushwa kuwa ile sayari ya nibiru ndio wao na wanasemekana wapo karibuni kuja tena duniani
Na ni viumbe ambao wapo advanced saana
 
Nishaelezea hapo juu kiongozi!
But ndiyo hao ambao waligawanyika!
Kumbuka kabla ya mafuriko kuna wengine walikimbia Dunia Na kuanzisha maisha yao huko mbali ya Dunia!
Waleee baadhi ya waliobaki waliangamizwa Na mafuriko!
Dunia Ina mengi ya kujifunza kiongozi!
 
Zitto junior Nakuthibitishia Malaika hawezi kuzaa na mtu na mbinu aliyoitumia Mungu kumleta Yesu Malaika haiwezi. Maana Mungu alitoa nafsi moja ambayo ndiyo yesu ili malaika afanye hivo ajiingize mwenyewe. sasa ataweza??
Ni kweli mkuu hakuna ushahidi wa malaika kuweza kuzaa na binadamu ila nlichouliza hakuna possibility?? Maana nmeshuhudia watu wakiingiliwa na maroho usiku na akiamka asbuhi anakuta katumika je ina maana hizo roho zina jinsia??

Kingine nachouliza mkuu maana nipo hapa kujifunza pia..... Je kma Nafsi moja ya Yesu ndio iliowekwa kwenye tumbo la bikira maria je kiongozi wa malaika walioasi Zammuzamim,azazel na semyaza je na huenda nao walipandikiza nafsi ya roho flani ndani ya vizazi vya wanawake kama alivyofanya Roho mtakatifu kwa bikira maria??

Embu nisaidie hapo
 
Hebu zitto sema utata wako upo wapi
Atlest tutoane tongotongo
 
Hawa wanefili ni matokeo ya malaika kuzaa na binadamu na inasemekana waliangamia na hawapo tena
Kwanini hawa malaika waliozaa na binadamu huwa hawashuki tena duniani na kuja kuzaa na mabinti wengine baada ya gharika hadi mpaka sasa?
Nini kimewazuia
Hakuna mahali wamesema Malaika walizaa na wanadamu ila wana wa Mungu walizaa na wanadamu tofautisha hapo
 
Leo ndio nmeamini mkuu kuna mengi sana unafahamu ila unaficha..... Unajua nmekuwa nikijiuliza hao viumbe wa nje walitoka wapi na nkilinganisha mambo makubwa yaliyofanywa wakati ule ilihali teknolojia ilikuwa hamna mfano ujenzi wa pyramid na mnara wa babeli naweza kubaliana na ww kwamba huenda baadhi ya ''kizazi cha nyoka'' walikimbilia sayari zingine kuepuka gharika na ndio hawa aliens wa leo!!!

Hata kuna michoro ya alien spaceships kwenye mapango kuanzia mexico mpaka japan hadi iraq inayoonyesha uwepo wa aliens takriban miaka 10,000 iliopita?? Je huenda nao ni wanefili mkuu??
 
Hebu zitto sema utata wako upo wapi
Atlest tutoane tongotongo
Hapana mie nakubali kuwa WANA WA MUNGU ni malaika kwenye baadhi ya mistari ya biblia lakini vilevile inamaanisha WANADAMU kwenye mistari mingine ya biblia sijui inakaa vzuri hii maana ukisoma daniel 23 na 28 biblia iko wazi kabisa inataja neno MALAIKA kwenye nafasi ya WANA WA MIUNGU hivo ikimaanisha wana wa Mungu ni malaika kuendana na kitabu cha daniel ila wakuu wengine kina mitale na midimu wanajengea hoja kupitia mistari mingine mingi tu inayoonyesha WANA WA MUNGU ni wale wanaomcha Mungu na kufanya mapenzi yake

So nikatoa conclusion kuwa kila mahala Wana wa Mungu inapotajwa tuangalie muktadha na sio JINA maana naamini kila mwandishi aliandika kwa muktadha tofauti ila all in all kwa mistari kadhaa ya biblia upo sahihi tu kuwa wana wa Mungu ni MALAIKA
 
Mkuu!
Kile kizazi kilisambaa Na kikaonekana kitakuja kuwa na madhara mkubwa ndiyo maana SUPER NATURAL ikaamua kukiangamiza!.
Kama unakumbuka Mungu alisema roho yake haitashindana Na kiumbe! Ikamladhimu life span apunguze!.
Pia KUHUSU mengineyo ya Hawa viumbe!.nitakuwa naelezea kwa mafumbo.!
 
Malaika walioasi walikuwa ni theluthi moja. Sijui kinachomutatiza ni wing wao au nini. Malaika hwajawahi kuzaana yaani wangeweza hii dunia isingekalika Wanefili ni Kizazi cha Kaini na wana wa Mungu ni kile kizazi cha Sethi na ndugu zake waliomkiri na kufata maagizo ya Mungu, Kumbuka Kaini Aliasi kwa kumuoa pacha wake. fatilia hata leo mapacha wa jinsia tofauti hawachezagi kibaba baba na kimama mama, maana ni kosa tangu Mwanzo. Ukifanya hivo lazima kitokee kizazi cha ajabu aidha walemavu au wadhaifu sana kwa sasa lakini. ila kipindi hicho walipofanya hivo kilitokea kizazi cha ajabu nadhani au niseme tu ndio wanefili sasa, nao walitokea katka kizazi cha kaini wana wa binadamu walitokea kizazi cha Wadogo zake Sethi na wana wa Mungu ndiyo kizazi cha Sethi maana hawa ndio wanatajwa hadi uzao wa Nuhu.
 
Sahihi
Lakin kumbuka biblia imeandikwa kwa mtindo wa mafumbo Na code maalumu!.
 
Wana wa mungu ni wa kina nani hao?
Narudia Tena wana wa Mungu ni kizazi cha Sethi wana wa binadamu ni kizazi cha ndugu wa Sethi na wanefili ni kizazi cha Kaini.

Wengine wanajua kabisa Adam alipata kuzaa watoto 40 mara 20 kila uzao pacha ni dume na jike.

Hata ugomvi wa kaini na Abili ilikuwa mke Abili alitaka kumuoa pacha wa kaini kaini akamwambia muoe dadako dadangu mzuri hivi, wakwako mbaya kila mtu aoe dada yake. na hapo ndio wakamwambia Adam, Adam akasema Abili uko sahihi kaini akahisi haki haijatendeka, Adam akasema basi tumuulize Mungu wakaomba wakanuia wakaweka sadaka kila mtu alitwaa katika kazi yake mfugaji aliweka mnyama na Mkulima aliweka mazao, Kwa kuwa Abili alikuwa sahihi Mungu akaitwaa sadaka Ya Abili utata ukaisha lakin kwa kuwa kaini hakuridhika na alichukia ndipo shetani akamjaza hasira na kumpa mbinu za kumuua ndugu yake kabla hajamuoa dadake, Kaini akatimiza Lengo la Shetani. Abili akafa ndipo Mungu akahamishia Baraka kwa Uzao uliofata yaan Sethi. sijui niongeze nini.
 
Eti Kipanga Boy Vipi mbona kila nikiandia Uzi zangu za Mahaba huwa hazionekani? Au nimetengwa kama Father Dr. Alex Malasusa na JF??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…