Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Mkuu nikubali tu leo umenifunza kitu kipya sijawahi kukisikia kabisa kuwa ugomvi wa cain na abel ulianzia kwa sketi!!! Duh you're a real great thinker ahsante kwa elimu hii adimu mkuu
Kwamba Abili na Caini waligombania papuchi?

Mbona biblia haisemi hivyo?
 
Kosa walillolifanya hawa malaika ni kutaka haki za ndoa walitaka nao wafanywe kama alivyofanywa binadamu yaani Mungu alipomuumba binadamu Aliwaambia malaika wote wapige goti na kusujudu kuwa huyu ndiye Mwana Wa Mungu. Wale malaika pamoja na Shetani waliasi maana wao walikataa wakimwita adam ni udongo nao ni nari.

Bado kuna ushahidi kuwa malaika sio wana wa Mungu bali wana wa Mungu ni kile kizazi tiifu cha Adam
 
amina mkuu.
muktadha unahusika sana ktk kupata maana isiyojikanganya.
Yuda kabla hajaandika 7,kuhusu ufanano wa uzinifu wa sodoma na uzinifu unaodhaniwa kuwa wa malaika wachafu.
Mstari wa sita unaweza kuweka record sawa. "AMEWAWEKA KATIKA VIFUNGO VYA MILELE CHINI YA GIZA KWA HUKUMU YA SIKU ILE KUU"

Kama waliwekwa katika vifungo, napata tabu kuamini kama waliweza kutoroka na kuzini na wanadamu.
pia Authoritative statement ya Yesu kuwa viumbe hao hawafanyi tendo la ndo. Pia neno wana wa Mungu kuwatwaa, ni neno hilohilo lililotumika wanadamu wanapotwaana kupata watoto. nashawishika kuamini walikuwa ni wanadamu na inaleta maana zaidi ya kuwa mapepo au malaika. Pia nikiamini Yesu Alihusika ktk uumbaji (Pasipo mimi hakikufanyika kitu). anafahamu hilo kuliko sisi.

Assumption kwamba Uzinzi umelinganishwa na maraika, hata hosea alipoambiwa akamuoe Gomeri (mwanamke wa uzinzi) Mungu alifafanua Kumuacha yeye na kugeukia vitu vingine pia ni UZINZI.


lakini nakubaliana kuwa Kitabu Cha ENOCH ambacho si cha kibibilia kinaweka wazi moja kwa moja kuwa malaika wanafanya mapenzi na wanadamu. Na Imani nyingi nje ya bibilia inaamini hayo.


maoni mkuu.
 
Kuna sehemu nilisoma kuwa walikufa kwenye gharika ila roho zao hakuziua. Ili dunia ijayo ijue na ione kazi zake.
Na ndio hawa wanaotawala dunia now
 
Ili hii mada iishe lazima tutaje sifa kuu za hawa viumbe watatu
1Wana wa Mungu
2Wana wa binadamu
3Malaika.

Tukijua sifa za hawa viumbe ubishi utaisha na ukweli tutaujua na Tutakuwa tumejifunza jambo la kudumu.
 
Siyo kila mzungu anajua Siri ya ulimwengu!.
Kuna kikundi cha WATU wachache!.
Also SUPER NATURAL!.
Yupo Na kusudi maalumu!
So ipo siku mtafunuliwa yale ambayo mlikuwa hamyafahamu
Heee?

Huyo supernatural ndo anatuficha ukweli mkuu?
 
Siyo kila mzungu anajua Siri ya ulimwengu!.
Kuna kikundi cha WATU wachache!.
Also SUPER NATURAL!.
Yupo Na kusudi maalumu!
So ipo siku mtafunuliwa yale ambayo mlikuwa hamyafahamu
Na tutafunuliwa lini mkuu?...mda unaenda huu!

Nasikia rocafella ile familia inaujua ukweli wote!
 
Wana wa Mungu ni uzao wa adam...seth.....na kuendelea
Wana wa wanadamu...ni uzao wa Cain ...na kuendelea
Gharika likakipoteza kizazi cha Cain chote sababu Nuhu alikuwa bloodline ya Seth(adam)
Then ikaja BUT BUT BUT why KAANANI alaaniwe badala HAM????
Vipi kuhusu wake wa watoto wa nuhu hasa wa Ham....je alikuwa na damu ya Cain ( au alikuwa tayari ana mimba ya mtu wa uzao wa cain ambaye sio Ham)??????
 
nimekupata vizuri mkuu, hasa kwenye hitimisho pametulia zaidi.
ninaking james yangu hapa yenyewe hata chakula inaita nyama (meat).
sina reference za kigiriki na kiebrania, zaidi huwa natafuta kwenye websites zinazotoa ufafanuzi wa neno kwa neno.
Taadhali ni muhimu katika kujadili huku ukiwa na backup ya ukweli. Binafsi naamini Bibilia ina ULTIMATE AUTHORITY kwenye maisha yangu ya Imani, chochote nje ni assumption kama zinaumana na bibilia naziamini kama zinapingana bibilia inabaki kama mamlaka kuu.
Natambua kuna maandishi mengi nje ya bibilia ambayo yanapewa hadhi sawa na bibilia lkn contents zinakinzana na bibilia. nimejiwekea wigo wa bibilia pekee.

Kuhusu suala la Tuiache bibilia ijitafsiri kusema wale ni malaika au sio malaika inaweza ikawa na impact ndogo katika imani. Lkn nadhalia ya wale kuwa malaika mkuu inafungulia mafuriko ya mafundisho tata kuaminika.
1: Itakutaka uamini kitabu cha Enoch &co ambacho kina contradictions kibao.
2:Bibilia inasema mwanadamu nimekuumba punde kidogo ya malaika, akiwepo nephili ambaye ni hybrid wa malaika maana yake atakuwa na intermediate ability, hivyo kama ambavyo majini na mapepo hayakufa katika mafuriko kuna uwezekano akawepo huyo mdau OGU kukwepa hiyo adhabu ya Mungu. Hii inahafifisha uwezo wa Mungu kuwa wanadamu hao wanaweza kukwepa adhabu ya Mungu kiujanjaujanja.
3:Itabidi tukubaliane na hadithi zilizopo uswahilini kuwa flani alizaa na jini.
4:Itabidi tutlie mashaka authoritative statement ya yesu kuwa Malaika hawazai, wala hawana hizo habari.
5:Itatutaka tujiulize hilo zoezi la mapenzi ya malaika na wanadamu lilikwamia wapi, maana baada ya gharika majin na malaika walikuwepo, na hao wanadamu wapo hivyo hadi kesho tunaweza kudate malaika na majini. Tutaipa mzigo bibilia kutoa majibu ambayo tayari yapo kwenye vitabu vinavyopingana na bibilia.

mtazamo kiongozi.
 
Huko tulishamaliza kiongozi!.
Soma books of Enoch utaelewa.
 

asante mkuu,lakini hakuna sehemu nimesema wanefili ni malaika wala hakuna sehemu nimesema malaika wana maumbo!nilimhoji jamaa aliyesema wanefili ni uzao wa binadamu na malaika ndio nikamuuliza ukubwa huo wa wanefili umesababishwa na "maumbo" makubwa ya malaika ili akijibu nimbananishe kwenye engo ya kwamba malaika ni roho tu!!!
 
Mkuu Malcom you inspire me a lot dah hata sijui nikupe tuzo gani kwa kazi yako iliotukuka humu jukwaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…