Kwamba Abili na Caini waligombania papuchi?Mkuu nikubali tu leo umenifunza kitu kipya sijawahi kukisikia kabisa kuwa ugomvi wa cain na abel ulianzia kwa sketi!!! Duh you're a real great thinker ahsante kwa elimu hii adimu mkuu
Kosa walillolifanya hawa malaika ni kutaka haki za ndoa walitaka nao wafanywe kama alivyofanywa binadamu yaani Mungu alipomuumba binadamu Aliwaambia malaika wote wapige goti na kusujudu kuwa huyu ndiye Mwana Wa Mungu. Wale malaika pamoja na Shetani waliasi maana wao walikataa wakimwita adam ni udongo nao ni nari.Mkuu mitale na midimu mie bado nashikilia msimamo kuwa kila inapotajwa wana wa Mungu tuisome kwa context husika sio general sababu kati ya hizo maana 3 unakuta kila mwandishi alimaanisha yake ila kuhusu mwanzo 6 hao wana wa mungu walikua ni wanadamu au Malaika nafkiri tuangalie muktadha alafu linganisha na huu mstari
Yuda 1:6
6 Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu.
7 Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kando-kando, waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele.
Je kwanni mwandishi hapa alinganishe uasherati wa sodoma na gomora kama hao MALAIKA??
Neno KAMA VILE .......KWA JINSI MOJA NA HAWA yanaleta maswali zaidi kwanni uzinzi ndio ulinganishwe na wale malaika?? Ina maana hawa malaika walikuwa wanalala na wanawake ingawa sio asili yao??? Embu tuwekane sawa mkuu
Barikiwa
Hoja yangu sio nebukadneza nasema neno lilitomuka kwenye biblia ya kiebrania ni MOJA yaani bene elohim? Ila limeelezwa kama mwana wa Mungu kwenye mstari wa 23 na baadae ikaelezwa kama malaika kwenye 28 hoja hapa ni kwamba LINA MAANA MOJA kwa muktadha wa kitabu cha daniel na ndio maana limeelezwa kma substitute ya malaika na mwana wa Mungu
Hivyo usiangalie alichosema nebukadneza ila angalia muandishi wa kitabu ambaye alikuwa na ufaham wa dini na alijua tofauti ya mwanadamu na malaika ila bado alitumia NENO moja tu kwenye verse 23 na 28
amina mkuu.Mkuu mitale na midimu mie bado nashikilia msimamo kuwa kila inapotajwa wana wa Mungu tuisome kwa context husika sio general sababu kati ya hizo maana 3 unakuta kila mwandishi alimaanisha yake ila kuhusu mwanzo 6 hao wana wa mungu walikua ni wanadamu au Malaika nafkiri tuangalie muktadha alafu linganisha na huu mstari
Yuda 1:6
6 Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu.
7 Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kando-kando, waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele.
Je kwanni mwandishi hapa alinganishe uasherati wa sodoma na gomora kama hao MALAIKA??
Neno KAMA VILE .......KWA JINSI MOJA NA HAWA yanaleta maswali zaidi kwanni uzinzi ndio ulinganishwe na wale malaika?? Ina maana hawa malaika walikuwa wanalala na wanawake ingawa sio asili yao??? Embu tuwekane sawa mkuu
Barikiwa
Kuna sehemu nilisoma kuwa walikufa kwenye gharika ila roho zao hakuziua. Ili dunia ijayo ijue na ione kazi zake.zitto junior. Kuna vitu tumefichwa lakini ukweli ni kuwa Mungu alimuumba mwanadamu kukiwa kuna maisha ya viumbe kama binadamu tayali.
Na sijui kwanini Mungu aliamua kutupunguzia maisha wakati viumbe wake waliotutangulia ndio wametufanya tuingie katika majaribu ya kutuhadaa
Ushahidi wa viumbe waliokuwepo kwa mjibu wa Biblia
5 kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.
Mwanzo 3 :5
Hapa Mungu anatufananisha na viumbe waliotangulia hapa kuna kitu ukitafakari unapata jibu la kuwepo maisha yaliyoendelea
3 Bwana akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
Mwanzo 6 :3
Kwanini Mungu atupunguzie umri ili hali yeye ndiye katuumbia vitu vya kutupotosha?
Kwanini Mungu asingetupeleka sayari nyingine tuanze maisha yetu yasiyo na mchanganyiko wowote?
Kwanini Mungu asinge tupeleka hata kwenye nyota (jua) proxima century mbali na hapa tukawa mbali na wanefili?
Maana wanefili bado wanaishi ila Mungu kawapunguzia uwezo wa nguvu lakini ndiyo jamii zenye ushawishi na nguvu kiuchumi kuindesha Dunia ndio wazungu wenye macho njano.
Kwa picha hii ni uthibitisho tosha kuwa wapo ila hawana nguvu za mwili ila wamebaki kiakili
Ili hii mada iishe lazima tutaje sifa kuu za hawa viumbe watatuamina mkuu.
muktadha unahusika sana ktk kupata maana isiyojikanganya.
Yuda kabla hajaandika 7,kuhusu ufanano wa uzinifu wa sodoma na uzinifu unaodhaniwa kuwa wa malaika wachafu.
Mstari wa sita unaweza kuweka record sawa. "AMEWAWEKA KATIKA VIFUNGO VYA MILELE CHINI YA GIZA KWA HUKUMU YA SIKU ILE KUU"
Kama waliwekwa katika vifungo, napata tabu kuamini kama waliweza kutoroka na kuzini na wanadamu.
pia Authoritative statement ya Yesu kuwa viumbe hao hawafanyi tendo la ndo. Pia neno wana wa Mungu kuwatwaa, ni neno hilohilo lililotumika wanadamu wanapotwaana kupata watoto. nashawishika kuamini walikuwa ni wanadamu na inaleta maana zaidi ya kuwa mapepo au malaika. Pia nikiamini Yesu Alihusika ktk uumbaji (Pasipo mimi hakikufanyika kitu). anafahamu hilo kuliko sisi.
Assumption kwamba Uzinzi umelinganishwa na maraika, hata hosea alipoambiwa akamuoe Gomeri (mwanamke wa uzinzi) Mungu alifafanua Kumuacha yeye na kugeukia vitu vingine pia ni UZINZI.
lakini nakubaliana kuwa Kitabu Cha ENOCH ambacho si cha kibibilia kinaweka wazi moja kwa moja kuwa malaika wanafanya mapenzi na wanadamu. Na Imani nyingi nje ya bibilia inaamini hayo.
maoni mkuu.
UMEONGEA BONGE LA POINT!.Kuna sehemu nilisoma kuwa walikufa kwenye gharika ila roho zao hakuziua. Ili dunia ijayo ijue na ione kazi zake.
Na ndio hawa wanaotawala dunia now
Siri ya maisha?Duuh!.
Wasitoe Siri!
Kwa coment ya huyo jamaa nazidi kuelewa zaidi na je? Tumeelewana wana wa Mungu ni akina nani na wana wa binadamu ni kina nani??UMEONGEA BONGE LA POINT!.
Hilo jambo nimelizungumza katika comments za nyuma!.
SAHIHI KIONGOZI!.
Heee?Siyo kila mzungu anajua Siri ya ulimwengu!.
Kuna kikundi cha WATU wachache!.
Also SUPER NATURAL!.
Yupo Na kusudi maalumu!
So ipo siku mtafunuliwa yale ambayo mlikuwa hamyafahamu
Na tutafunuliwa lini mkuu?...mda unaenda huu!Siyo kila mzungu anajua Siri ya ulimwengu!.
Kuna kikundi cha WATU wachache!.
Also SUPER NATURAL!.
Yupo Na kusudi maalumu!
So ipo siku mtafunuliwa yale ambayo mlikuwa hamyafahamu
Ile ni moja wapo ya familia zenye!.Na tutafunuliwa lini mkuu?...mda unaenda huu!
Nasikia rocafella ile familia inaujua ukweli wote!
nimekupata vizuri mkuu, hasa kwenye hitimisho pametulia zaidi.Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu, hapa kuna mkanganyiko mkubwa sana sana.
Lakini tukiangalia kihistoria tutakuja gundua vitu viwili hapa:
Mosi, hoja ya kwamba wana wa Mungu walikuwa ni wana wa Seth na Tabaka fulani lenye nguvu ni theolojia ya Ukristo wa sasa. Ina maana kwamba imekuja baada ya huu Ukristo wetu kuzaliwa na haikuwepo huko kale. Hoja ambayo ilikuwepo huko kale ni hii ya B'Nai Elohim kuwa wana wa Mungu Malaika hata wanahistoria wakubwa wa kale wa Kiyahudi kama Flavuius Josephus amendika hayo kuhusu Malaika na wanadamu kuingiliana. Huyu ni mwandishi ambaye wanathiolojia wengi wanamtumia kama Authority.
Pili, hapo kwenye lugha za Biblia lazima tutofatishe kabisa.
Agano la Kale liliandikwa kwa Kihebrania na Agano jipya Kigiriki na Baadae Kilatini. Binafsi huwa navyosoma Biblia huwa natumia King James Version yenye Strong Concordance ya Kihebrania na Kigiriki. Nimesoma nikaja kugundua kuna baadhi ya maneno yaliyosawa kwenye lugha ya Kiingereza ndani ya biblia moja ni tofauti kabisa na huleta maada tofauti katika lugha zao asili za Kigiriki na Kihebrania. Kama neno "Prayer" ni kuomba lakini kigiriki na Kihebrania yanakuwa na tofauti zake kidogo. Ndiyo maana katika usoma Biblia kuna Verse to Verse reading, Amplified Meaning and Contextual Meaning.
Lazima uzitumie zote hizi ili kuweza kupata maana halisi ya neno. Sasa siku hizi shida inakuja ni kwamba watu wengi tunasoma bila kuwa na ufahamu wa Uchambuzi na hapa tunapata sana shida...Kwasababu mbali na mistari ya Biblia ni lazima mwanatheolojia yoyote ajue ni kipindi gani ule mstari uliandikwa na kwasababu gani uliandikwa.
Yote tisa,
Hizi ni nadharia tu Mkuu, tuzisome na tuzichambue bila kuvuka mipaka na kupotosha NENO TAKATIFU LA MUNGU.
Ndiyo maana Mtume Paulo aliwahi kuwaonya Wakristo kwamba wajiepushe sana na simulizi za Wayahudi zisizo na msingi kama zile za Masadukayo kusema hakuna Kiama.
Mmh!.......Heee?
Huyo supernatural ndo anatuficha ukweli mkuu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Duuh!.
Karibu lakini ni hapa hapa jukwaani!.
Nje ya hapo hapana aseeeh
Huko tulishamaliza kiongozi!.Wana wa Mungu ni uzao wa adam...seth.....na kuendelea
Wana wa wanadamu...ni uzao wa Cain ...na kuendelea
Gharika likakipoteza kizazi cha Cain chote sababu Nuhu alikuwa bloodline ya Seth(adam)
Then ikaja BUT BUT BUT why KAANANI alaaniwe badala HAM????
Vipi kuhusu wake wa watoto wa nuhu hasa wa Ham....je alikuwa na damu ya Cain ( au alikuwa tayari ana mimba ya mtu wa uzao wa cain ambaye sio Ham)??????
Mc Tilly Chizenga.
Malaika hawana maumbo wala wanefili si malaika
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile;tena ,baada ya hayo ,wana wa Mungu walipoingia kwa binti za binadamu,wakazaa nao wana;hao ndiyo waliokuwa watu hodari zamani ,watu wenye sifa.
Mwanzo 6 :4
Mkuu Malcom you inspire me a lot dah hata sijui nikupe tuzo gani kwa kazi yako iliotukuka humu jukwaaniNakubaliana kabisa na wewe Mkuu, hapa kuna mkanganyiko mkubwa sana sana.
Lakini tukiangalia kihistoria tutakuja gundua vitu viwili hapa:
Mosi, hoja ya kwamba wana wa Mungu walikuwa ni wana wa Seth na Tabaka fulani lenye nguvu ni theolojia ya Ukristo wa sasa. Ina maana kwamba imekuja baada ya huu Ukristo wetu kuzaliwa na haikuwepo huko kale. Hoja ambayo ilikuwepo huko kale ni hii ya B'Nai Elohim kuwa wana wa Mungu Malaika hata wanahistoria wakubwa wa kale wa Kiyahudi kama Flavuius Josephus amendika hayo kuhusu Malaika na wanadamu kuingiliana. Huyu ni mwandishi ambaye wanathiolojia wengi wanamtumia kama Authority.
Pili, hapo kwenye lugha za Biblia lazima tutofatishe kabisa.
Agano la Kale liliandikwa kwa Kihebrania na Agano jipya Kigiriki na Baadae Kilatini. Binafsi huwa navyosoma Biblia huwa natumia King James Version yenye Strong Concordance ya Kihebrania na Kigiriki. Nimesoma nikaja kugundua kuna baadhi ya maneno yaliyosawa kwenye lugha ya Kiingereza ndani ya biblia moja ni tofauti kabisa na huleta maada tofauti katika lugha zao asili za Kigiriki na Kihebrania. Kama neno "Prayer" ni kuomba lakini kigiriki na Kihebrania yanakuwa na tofauti zake kidogo. Ndiyo maana katika usoma Biblia kuna Verse to Verse reading, Amplified Meaning and Contextual Meaning.
Lazima uzitumie zote hizi ili kuweza kupata maana halisi ya neno. Sasa siku hizi shida inakuja ni kwamba watu wengi tunasoma bila kuwa na ufahamu wa Uchambuzi na hapa tunapata sana shida...Kwasababu mbali na mistari ya Biblia ni lazima mwanatheolojia yoyote ajue ni kipindi gani ule mstari uliandikwa na kwasababu gani uliandikwa.
Yote tisa,
Hizi ni nadharia tu Mkuu, tuzisome na tuzichambue bila kuvuka mipaka na kupotosha NENO TAKATIFU LA MUNGU.
Ndiyo maana Mtume Paulo aliwahi kuwaonya Wakristo kwamba wajiepushe sana na simulizi za Wayahudi zisizo na msingi kama zile za Masadukayo kusema hakuna Kiama.
Mkuu si umesema niulize hapa? Sina jinsiMmh!.......