Nana brain
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 488
- 367
Wanasayansi bhana!!! Huwa mnajaribu sana kujifanya mnajua kuliko Mungu, mnafikiri ordinary sana wakati ukweli unakuwa wazi.kisayansi mdudu hana vocal ya kuweza kuongea,hi story ni sawa na yule jamaa alikua kapanda punda kisha eti akaona malaika kaziba njia,punda akagoma kwenda,jamaa akampiga mjeredi mpaka punda akauliza anapigwa kwa kosa gani,punda hawezi ongea kamwe,
Ndiye inasemekana aliasisi Iluminati ama iluminati ilikuwa originated katika ukoo wake, proof ya hiyo ni Solomon Seals, hizi ndo logo za Iluminati wanazotumia. Hapo ndo utagundua historia njema ya bangi na kwanini waliamua kuiharamisha bangi kwa manufaaa ya nani?
Humo utawakuta Sygenta, Bill Gates na project zao za GMO's. Godamn!!! My Dunia.
Umepataje picha zake wakati hata za mitume waliozaliwa miaka mingi baada yake zao hazipo?View attachment 310110View attachment 310111 Alikuwa na utajiri unaokadiriwa kufikia dollar za kimarekani trillion 2.1
Uyu jamaa naskia alifikia 350 billion dollars tu, na hakuwa na wake wengi kama mfalme Suleimankama kwa wanawake sawa,ila katika world record mansa kankan mussa wa mali ndio mwanadam aliyewahi kutokea duniani kuwa tajiri sana kuliko wote na hakuna mpaka sasa aliyewahi kuvunja record yake.google mkuu
Naona umekusudia Ku potoshaUkifuata Biblia inasema maneno mengi sio ya ukweli shauri yako na imani yako Biblia ina makosa zaidi ya Elfu 50 kuna mikono ya watu ndani ya biblia ndio maana haisemi maneno ya ukweli.
Licha ya kuwa na MALI nyingi pia alikuwa na BUSARA nyingi Sana.View attachment 310110View attachment 310111 Alikuwa na utajiri unaokadiriwa kufikia dollar za kimarekani trillion 2.1
si kweli tajiri mkuu of all times ni manka musa mkuuView attachment 310110View attachment 310111 Alikuwa na utajiri unaokadiriwa kufikia dollar za kimarekani trillion 2.1
ha ha haUmasikini wa fikra ndio umasikini mkubwa kuliko yote duniani- By JK Nyerere
Zakayo je utajiri wake; yule tajiri mfupi na mtoza ushuruMkuu Mansa Kankan Mussa ni tajiri wa kwanza katika kipindi cha baada ya Yesu. Wenyewe wanaita Anno Domino (AD)
Kabla ya hapo inawezekana kweli Mfalme Suleiman akashika rekodi hiyo
Wewe acha uongo unaujua utajiri wa sulemani wewe?!!!kama kwa wanawake sawa,ila katika world record mansa kankan mussa wa mali ndio mwanadam aliyewahi kutokea duniani kuwa tajiri sana kuliko wote na hakuna mpaka sasa aliyewahi kuvunja record yake.google mkuu
No. Siyo hivo. Miaka ile hamna vimada. alikuwa na wake halali ndo 700, na masuria 300, masuria ni wasaidizi wa wamama nyumbani. Kwa leo tunaweza kusema house girls. zamani zile kwa baba kumtumia house girl kwa namna ya baba na mama haikukatazwa maadam bibi yake (yaani) mama mwenye nyumba karidhia.Na alikua mzee wa totozi balaa...
Alikua na wanawake wa kihalali 300 na vimada 700, hata "ukiwashugulikia" kila mmoja kwa siku hauwamalizi ndani ya mwaka mmoja