jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Ifike mahali, serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani kupiga marufuku haya madini ya shetani. Watu wameanza kuabudiwa siku hizi, na doctrines zao ni nyota, fulani mchawi, etc kwanini wasifanye kama rwanda.
Tulia weweeeSasa hapa napata link kwa nini leo Stress Challenger ameadimika kumbe yuko bize kuandaa mapokezi...
Mnachekesha sana ..Tulia weweee
Kasoro zipo kila sehemu, hata kwenye utawala ya yule Nduli siyo wote walikuwa waovu kama JiwePWewe ulisema mama ameleta neema kuna haki sana siku hizi imekuwaje tena
USSR
Shenzimrembo kwani zumaradi ni dadako?nimekumis 😘😘😘😘
Ni TISSHuyu dada ana nguvu gani!?? Umaarufu na mzuka naona ndo umezidi..
Hii nchi hii aisee .!??😅😅😅😅😂😂
Devil worshipers.Shia hao wakisheherekea AshuraView attachment 2522163View attachment 2522164
Hizo ni mila za Kikafiri hazipo katika dini na wanachokifanya hao wapuuzi ni ujinga mkubwa tenawa wazi sana.Shia hao wakisheherekea AshuraView attachment 2522163View attachment 2522164
Hasa kesi za kubambikwaDuh kesi zinatesa Sana aise
HapanaSasa unamlinganisha huyu na yale magaidi ya uamsho?
Kama ana KADI ya CCM anaweza kuendelea Tena kwa kupewa na ulinzi kabisaHuduma itaendelea au imesitishwa?
Kwani dini gani una uhakika kabisa ni ya Mungu.Ifike mahali, serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani kupiga marufuku haya madini ya shetani. Watu wameanza kuabudiwa siku hizi, na doctrines zao ni nyota, fulani mchawi, etc kwanini wasifanye kama rwanda.
Tz kila mtu maarufu! Mara sheikh aliyetumbuliwa naye ana msafara, na huyu mfalme, Lissu, itakuja ya Lema!!Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.
Credit: East Africa Radio
View attachment 2521594
View attachment 2521604
Huyo alikuwa mahabusu au vakesheni!!Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.
Credit: East Africa Radio
View attachment 2521594
View attachment 2521604