Mfalme Zumaridi kama umeshindwa kuongoza kanisa, pisha mchungaji mwingine

Sasa mimi nawezaje kuwaambia kwaya wapunguze sauti ya vyombo?
Kuna kamati za usimamizi lakini ni kama zimelala.
Kamati ya mawasiliano ndio imelala kabisaaaaaa, nasikia ile kwaya nyingine leo imepandisha tena sauti ya muziki wao
Tcra iko kimya Tigo wakipandisha bei vifurushi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka hapa nimeshafunguliwa niseme tu Haleluyaaaa
 
Biblia - katiba
Kanisa kaskazini- Kenya πŸ‡°πŸ‡ͺ
Makanisa kusini- Malawi πŸ‡²πŸ‡Ό na πŸ‡ΏπŸ‡² Zambia
 
Tatizo Makerubi.
 
Huyu sio mchungaji sahihi,
Huyu ni msimamizi wa kanisa la misukule.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ umeiandika kitalaam sana, kidogo nitoke kapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…