30.10 2022 Mfalme Zumaridi Anaweka Jiwe La Msingi AirportJiongeze mkuu....tunaenda China kwa mwaliko🤣🤣🤣
Njasama🤣🤣Rudi masomoni Havana
Kwani kapata dhamana yupo nje? Mungu chiniyajuwa foolish.Duh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.
Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?
Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.
Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
hahahaha,kwamba kn wazee wa kanisa na MZEE MWENYEWE WA KANISALini mawewahi kuongoza kanisa..kanisa linawenyewe tangu kitambo yeye ni mchungaji kivuli tu.
Na yeye anatetea tumbo lake hapo halipo kupitia sadaka zenu waumini.
#MaendeleoHayanaChama
Hahahaha,code moja matata sana hii.mkuuDuh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.
Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?
Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.
Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
Mfalme zumarid kanisa lilisha mshinda ni vile tu ni ngumu ku declare hilo na tatizo kubwa la mfalme zumarudi kanyimwa kauli ya kimamlaka ya kikanisa na pia akiwa kwenye mahubiri ni kama bado haamin kama kanisa lipo chini ya utumishi wakeDuh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.
Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?
Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.
Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
Mkuu huwa najitahidi kutoa code mfano uzi wa yoga nilienda nao sawa kabisa lakini leo nimechemka kabisa nimekuja kuelewa kupitia hii coment kweli noma!!Itoe kwenye kanisa iweke katika picha ya siasa na uongozi wa nchi ya Cuba.
Wiki ijayo anakwenda China. Mtatiju.Duh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.
Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?
Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.
Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
Wiki ijayo anakwenda China. Mtatiju.
Na asingekuwa wa hovyo kama hivi.Wakristo mna chokochoko sana, mmeshazoea mfumo kristo na utawala wa Kikatili ndio roho zenu kwatu kabisa.
Naona hapa tatizo ni dini yake, angeitwa Elizabeth kila siku mko naye parokiani ndio mngejisikia raha mustarehe.
Utu kwa washkaji wao ila jamii kubwa inalia. Ndio maana leo hii unaona watu wa awamu ileee wanarudi kama wote.Mfumo kristo umewalevya, Mimi ni mkristo tena mkatoliki pure.
Anapotawala Mkristo tena uzuri wote watatu walikuwa wakatoliki na wote wameshakufa huwa mambo ni tofauti na wanaongoza kwa roho mbaya.
Ila akiingia mwislamu na kwa dhati kabisa wameonesha wana utu na ubinadamu lakini mashambulizi ndio hulipuka na waraka mbalimbali za kichungaji hutolewa kwenye awamu hizo.
Kwa damage iliyofanywa na Mkatoliki mwenzetu hii nchi IPO kwenye mikono Salama na iko chini ya Rais sahihi kwa wakati sahihi.
Huu mfumo Kristo ni Sumu unapaswa kupigwa vita na kila anayeipenda nchi hii.
Bora hawa kuliko mashetani wa Sukuma gang.Utu kwa washkaji wao ila jamii kubwa inalia. Ndio maana leo hii unaona watu wa awamu ileee wanarudi kama wote.
kuchukua upakoWiki ijayo anakwenda China. Mtatiju.
Mimi nipo hapa hapa kwa Mpalange napambana na Dawasco.Wewe utaenda lini?