Mfalme Zumaridi kama umeshindwa kuongoza kanisa, pisha mchungaji mwingine

Kwani kapata dhamana yupo nje? Mungu chiniyajuwa foolish.
 
Lini mawewahi kuongoza kanisa..kanisa linawenyewe tangu kitambo yeye ni mchungaji kivuli tu.

Na yeye anatetea tumbo lake hapo halipo kupitia sadaka zenu waumini.

#MaendeleoHayanaChama
hahahaha,kwamba kn wazee wa kanisa na MZEE MWENYEWE WA KANISA
 
Hahahaha,code moja matata sana hii.mkuu
 
Mfalme zumarid kanisa lilisha mshinda ni vile tu ni ngumu ku declare hilo na tatizo kubwa la mfalme zumarudi kanyimwa kauli ya kimamlaka ya kikanisa na pia akiwa kwenye mahubiri ni kama bado haamin kama kanisa lipo chini ya utumishi wake

hivyo hata wazee wake wa kanisa wanamuona kama mshkaji wao tuu wakati yeye ndiye anaye ongoza hilo kanisa na ndiye mwenye upako wa kukemea mapepo na wenye mashetani hapo kanisani

mfalme zumaridi haeleweki kwa sasa tangu ameanza kutoa huduma katika kanisa hilo sasa sijui upako wake umeisha au ndio nguvu za kuchukua nigeria sasa zimeisha au wazee wake wa kanisa wamemzidi nguvu.
 
Wiki ijayo anakwenda China. Mtatiju.
 
KAZI tunayo kina Junior(Mchumi namba moja,Nepi,Marope na wengine )kazi ni kutupora tu ....Zumaridi anasema na hili nalo mkaliangalie
 

Attachments

  • FB_IMG_16669472208911510.jpg
    25.1 KB · Views: 2
Utu kwa washkaji wao ila jamii kubwa inalia. Ndio maana leo hii unaona watu wa awamu ileee wanarudi kama wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…