Mfalme Zumaridi, Mama huyu ni nani na kwanini Serikali imemuacha tu?

Mfalme Zumaridi, Mama huyu ni nani na kwanini Serikali imemuacha tu?

Unampangia mkuu??
Ni kweli mkuu. Mungu atusaidie sana kutuelekeza wapi panakweli.! Mie najiulizaga kwanini mambo kama haya yanatokea kama yapo kinyume naye kwanini aruhusu watu wake waangamie kama anatupenda kweli? Ilipaswa unapotokea ujinga au upotoshaji wowote juu yake angewawajibisha ili watu wamheshimu lakini Mungu anaangalia tu [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Mungu wetu ni Mungu wa uhuru asiyeingilia uchaguzi wetu binafsi ametupa uwezo wa sisi kuamua mambo yetu binafsi, alichofanya ni kutoa muongozo kupitia neno lake ili tufahamu lipi jema na lipi ni baya lakini halazimishi utende yoyote kati ya hayo

Hawa nao huachwa ili kama vile ambavyo alimuacha shetani aendelee kuwepo pamoja na kuwa ndiye muanzilishi wa dhambi ili kuonyesha siyo dikteta anayetaka tu watu wafuate anachokitaka so hawa wataendelea kuwepo ila alishanena hbr zao ktk sura ya 24 ya Mathayo kuwa wataibuka manabii wa uongo siku za mwisho sisi tunaowaona leo ni kuwapima kama ni wa kweli au uongo maana anasema msiziamini kila Roho maana nyingine zinatoka kwa ibilisi

Kumb 30
11 Ninachokuagiza leo sio kigumu sana kwako au usichokiweza.
12 Hakiko juu mbinguni, ili uulize, “Ni nani atakayepanda kwenda mbinguni kukileta na kututangazia ili tuweze kutii?”
13 Wala hakiko ng'ambo ya bahari, ili uulize, “Ni nani atakayevuka bahari kwenda kukichukua na kututangazia ili tupate kutii?”
14 La hasha! Lile neno liko karibu sana nawe; liko kinywani mwako na ndani ya moyo wako ili uweze kulitii.
15 Tazama, naweka mbele yako leo uzima na mafanikio, mauti na maangamizo.
16 Ninakuamuru leo kwamba umpende BWANA Mungu wako, utembee katika njia zake, na kutunza maagizo yake, amri na sheria zake; ndipo utakapoishi na kuongezeka, naye BWANA Mungu wako atakubariki katika nchi unayoiingia kuimiliki.
17 Lakini kama moyo wako ukigeukia mbali ukawa huna utii, kama umevutwa kuisujudia miungu mingine na kuiabudu, 18 nakutangazia leo hii kwamba hakika utaangamizwa. Hutaishi maisha marefu katika nchi unayovuka Yordani kuiingia na kuimiliki.
19 Leo ninaziita mbingu na nchi kama mashahidi dhidi yako kwamba nimeweka mbele yako uzima na mauti, baraka na laana. Basi sasa chagueni uzima, ili wewe na watoto wako mpate kuishi, 20na ili upate kumpenda BWANA Mungu wako, uisikilize sauti yake na kuambatana naye. Kwa kuwa BWANA ndiye uzima wako, na atakupa wingi wa siku ili upate kuishi katika nchi aliyoapa kuwapa baba zako Abrahamu, Isaki na Yakobo.
 
kufungiwa kwake natumai hakuna uhusiano na kwamba ni imani ya uongo.., sababu katika mambo ya imani huwezi kumwambia mtu imani hii ni kweli na ile si kweli..., hatuwezi kuanza kuchaguliana cha kuamini...
 
[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]hahahaha
 
Kila nikisoma natafuta mantiki sioni, ni hadithi hapana! Ni kauzi hapana? Ila kuandika unajua.
 
Aunge mkono juhudi za serikali ya awamu 5 kanisa lake litafunguliwa chap chap
 
wanaume wa mwanza sasa katika ubora wao[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

yaani mnajazana kanisani ili mpate zali la kudondokewa na huyo mungu wa kike anayejichubua kaiva kama mhogo wa kuchoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

wasukuma mnafeli wapiii,mwezenu bashite aliona ushubwada tuko naye huku kanenepa huyoo[emoji16][emoji16]
 
Duh.... Kwanza asili ya jina zumaridi ni nini?

Huyu mama ni kibaka kama vibaka wengine tu
 
Pamoja na kuhangaika kwetu kumjua mungu wa kweli kwa kutumia njia (dini), ni hekima na busara tukiziacha akili zetu huru na kujifunza mafundisho ya dini (njia) nyingine, huenda tukakutana na njia sahihi kabisa.
 
Huyo mfalme ana mume? Na kwa nini anajiita mfalme wakati ni mwanakmke.. Aisee
 
Back
Top Bottom