Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Unampangia mkuu??
Ni kweli mkuu. Mungu atusaidie sana kutuelekeza wapi panakweli.! Mie najiulizaga kwanini mambo kama haya yanatokea kama yapo kinyume naye kwanini aruhusu watu wake waangamie kama anatupenda kweli? Ilipaswa unapotokea ujinga au upotoshaji wowote juu yake angewawajibisha ili watu wamheshimu lakini Mungu anaangalia tu [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]