Mungu wetu ni Mungu wa uhuru asiyeingilia uchaguzi wetu binafsi ametupa uwezo wa sisi kuamua mambo yetu binafsi, alichofanya ni kutoa muongozo kupitia neno lake ili tufahamu lipi jema na lipi ni baya lakini halazimishi utende yoyote kati ya hayo
Hawa nao huachwa ili kama vile ambavyo alimuacha shetani aendelee kuwepo pamoja na kuwa ndiye muanzilishi wa dhambi ili kuonyesha siyo dikteta anayetaka tu watu wafuate anachokitaka so hawa wataendelea kuwepo ila alishanena hbr zao ktk sura ya 24 ya Mathayo kuwa wataibuka manabii wa uongo siku za mwisho sisi tunaowaona leo ni kuwapima kama ni wa kweli au uongo maana anasema msiziamini kila Roho maana nyingine zinatoka kwa ibilisi