FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,692
- 4,442
Mimi mtu akishazama kwa Mungu, asilimia kubwa ya anayoongea nayaweka kwenye kapu fulani la ujinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna mtu analazimishwa kwenda kwa huyo Zumaridi?
Shida hapo ni ujinga wa watu weusi kufuata kila upepo unaopita.
Ningekuwa mwenye mamlaka hapa nchini nisingelimsumbua huyo mama zumaridi, ila hao wafuasi wake ningewapa kichapo cha mbwa koko.
Zumaridi ni case study tu,hata hao wengine wanaochafua dini wanastahili kichapo.Na kwanini usiwape wanaokwenda kwa madhehebu mengine? Au kwakuwa yameletwa na meli?
KARIBU MKUUntarudi
Dunia inaenda kasi sanaKwa hiyo uzombi ukiwatoka wanajifunza neno kama kawaida! shida sana..
Angekuwa mzungu au mwarabu huenda mngeamini. Walau naye kaanzisha dhehebu la waafrika maana waafrika tu ndiyo tulikana madhehebu yetu na kuanza kufuata ya weupe na ndiyo maana ni bara maskini kuliko yote. Waindi wana madhehebu yao, waarabu pia, wachina, wazungu sisi ni wazee wa kucopy na tunajifanya tunaujua Ukristo na Uislam kuliko hata waanzilishi.
Go Zumaridi japo mimi siwezi kuwa muumini wako
Ingekuwa vizuri hiki kichapo kianzie kwa wale wanaoabudu ng'ombe.Kwani kuna mtu analazimishwa kwenda kwa huyo Zumaridi?
Shida hapo ni ujinga wa watu weusi kufuata kila upepo unaopita.
Ningekuwa mwenye mamlaka hapa nchini nisingelimsumbua huyo mama zumaridi, ila hao wafuasi wake ningewapa kichapo cha mbwa koko.
Unatafuta ugomvi na kachooriii?Ingekuwa vizuri hiki kichapo kianzie kwa wale wanaoabudu ng'ombe.
Daaah! watakuwa wanafanya utapeli kwa maslahi gani mkuuNa .mwamposa tapeli mnamuachaje ?
Kabla hamjaanza na kina zumaridi ,malizaneni kwanza na kina mwamposa ,gwajima,rwakatale, kakobe, na wanaojiita manabii na mitume humu dar na mikoani ,