Zamunda mkorofi sana huyoIla huu utaratibu wa kumfunga mtu kabla hajapatikana na hatia ya kufungwa nao sio kabisa. Siwezi kumtetea huyo Zumaridi ila najiuliza tu, ni lazima awe huko ndani siku zote?! Naona loop holes za watu kutumia sheria zilizopo kufanyiziana.
Viandikie barua hivyo vyama na kuvihoji wapi vilipo, hapa unapoteza muda tu.Zumaridi anateswa sababu ni mwanamke. Kuna wahubiri wangapi wanafanya mambo ya ajabu miaka na miaka na hawachukuliwi hatua? Vyama vya kutetea haki za wanawake viko wapi?
Binti yako Careen nani, andika full name.Mfme HV nilwaza tu ikiwa huyu Ni bint wangu careen ndio awe anafanya shughuki hz za kukusanya watu na kusafirisha watu kinyume na sheria mban nitaona aibu Kama mzaz
TuliaViandikie barua hivyo vyama na kuvihoji wapi vilipo, hapa unapoteza muda tu.
Kuwadindia police kumkamata bila kufuata utaratibu,yaani kuvamiwa na bila wito,au notice ya kutakiwa kuripoti police.Bifu gani, hebu twambie tujue wote.
Degree za human trafficking pale hazipo.Suala siyo ana mali nyingi, suala ni kuwa kesi ya kusafirosha binadamu haina dhamana kama umesoma na kuelewa huu uzi hapo juu.
Human trafficking haina thamani,labda kwa civilized countryAlikataa kudhaminiwa. wacha aone moto!
Kuna yule alojirekodi kakalia chupa, sikuona wanaharakati uchwara wakikemea ila nadhani ingekua mwanaume ndio kairusha. Nchi ingetikisikaZumaridi anateswa sababu ni mwanamke. Kuna wahubiri wangapi wanafanya mambo ya ajabu miaka na miaka na hawachukuliwi hatua? Vyama vya kutetea haki za wanawake viko wapi?
Yule yupo level ya juu, kwenye ulimwengu wa white magicKweli kabisa mkuu jamaa anapeta tu huko
ndio maana hajaonesha sura yakeAtakua amekua mweusi sana dohh
Unafanya utani na "mfalme" weye?😂😂😂😂😂Nendeni mkamtoe basi huyo mfalme jike wenu. Hatujawahi kusikia duniani mwanamke anaitwa mfalme.Naona mwisho wa dunia haupo mbali.
Hii kesi atashinda mchana kweupeee.....Human trafficking si wakawakamate waganga wa kienyeji watapata watu wengi tu wamejaa vilingeni, waache dabo standard.
Zumaridi siyo mhubiri. Anajiita Mungu. Mwache apate ufahamu kidogo.Zumaridi anateswa sababu ni mwanamke. Kuna wahubiri wangapi wanafanya mambo ya ajabu miaka na miaka na hawachukuliwi hatua? Vyama vya kutetea haki za wanawake viko wapi?
Mkuu unahangaika kumjibu kerubi anaewewesekaZumaridi siyo mhubiri. Anajiita Mungu. Mwache apate ufahamu kidogo.