Mfanano wa kitabia kati ya Wasukuma na Wapemba

Mfanano wa kitabia kati ya Wasukuma na Wapemba

Hapo kwenye uchawi nakataaa we mpemba hana mpinzani....
Mpemba mpaka umchokoze ndio utamjua yeye nani,au aroge kufanikisha jambo lake gumu lipate wepesi,ila bhangosha bhabha wanaloga sana kujifurahisha
 
Nimeishi Pemba na nimeishi Simiyu hiki ndio nilikigundua,hawa watu kuna vitu vingi wanashare,hataukienda Zanzibar kuna wasukuma na wanyamwezi wengi japo usukumani wapemba ni wachache,Zamani pale mwanza kulikuwa na mgahawa maarufu kama Chakechake,wananzengo mnaukumbuka?

Twende sasa

1. Kuoa na kuolewa mapema
Kukuta binti wa miaka 15 kaolewa na kijana wa miaka 20 kaoa ni kawaida, kwa jamii zingine hicho kitu hakipo.

2. Mimba za utotoni
Uchagani ukimjaza mwanafunzi mimba au binti chini yamiska 18 awe anasoma au hasomi kimbia haraka miaka 30 inakusubiri, hali ni tofauti usukumani na upembani. Clinic kuna mabinti wanaenda kujifungua na miaka 14 na hakuna shida.

3. Kuoa wake wengi

Kwa pemba dini inaruhusu ila usukumani uwekafiri muislam au mkristo wake wengi ni jadi yao.

4. Kuzaa watoto wengi
Hizo pande bado watu wanazaa watoto 12 kama wana wa israel.

5. Ulozi
Watu wanaroga sana pande hizo Mpemba na majini msukuma kuruka na ungo, ila kwa ndumba msukuma yuko juu kidogo kwa mpemba.

Cha kushangaza Kanda ya Ziwa ina single mamas maarufu kama wasimbe wengi kuliko kuliko pemba, kukuta nyumba ina wasimbe wawili au watatu ni kawaida sana. Pemba ukiacha mke leo ikipita eda anaolewa fasta, usukumani ukiachwa kuolewa tena ngumu sana.

Itaendelra......
Makafiri ndiyo wakristo?
 
Hizo ni tabia za jamii ambazo hazijaelimika. Walikosa exposure mapema.
Wapemba ndio jamii yenye exposure kuliko jamii yoyote Tanzania, ndio walianza mapema kutoka nje ya Nchi wamejaa kibao Nchi za kiarabu na common wealth kama Uingereza, Canada etc.

Hata hapa kwetu maeneo yenye biashara kama Kkoo wao ndio wame dominate, wao.

Hata ukienda Congo lubumbashi huko utawakuta Wapemba na Malori yao ya michanga, kifupi jamaa ni opportunists vibaya mno.
 
Nimeishi Pemba na nimeishi Simiyu hiki ndio nilikigundua,hawa watu kuna vitu vingi wanashare,hataukienda Zanzibar kuna wasukuma na wanyamwezi wengi japo usukumani wapemba ni wachache,Zamani pale mwanza kulikuwa na mgahawa maarufu kama Chakechake,wananzengo mnaukumbuka?

Twende sasa

1. Kuoa na kuolewa mapema
Kukuta binti wa miaka 15 kaolewa na kijana wa miaka 20 kaoa ni kawaida, kwa jamii zingine hicho kitu hakipo.

2. Mimba za utotoni
Uchagani ukimjaza mwanafunzi mimba au binti chini yamiska 18 awe anasoma au hasomi kimbia haraka miaka 30 inakusubiri, hali ni tofauti usukumani na upembani. Clinic kuna mabinti wanaenda kujifungua na miaka 14 na hakuna shida.

3. Kuoa wake wengi

Kwa pemba dini inaruhusu ila usukumani uwekafiri muislam au mkristo wake wengi ni jadi yao.

4. Kuzaa watoto wengi
Hizo pande bado watu wanazaa watoto 12 kama wana wa israel.

5. Ulozi
Watu wanaroga sana pande hizo Mpemba na majini msukuma kuruka na ungo, ila kwa ndumba msukuma yuko juu kidogo kwa mpemba.

Cha kushangaza Kanda ya Ziwa ina single mamas maarufu kama wasimbe wengi kuliko kuliko pemba, kukuta nyumba ina wasimbe wawili au watatu ni kawaida sana. Pemba ukiacha mke leo ikipita eda anaolewa fasta, usukumani ukiachwa kuolewa tena ngumu sana.

Itaendelra......
Kuhusu kumfunga alie mtia mimba mwanao haina mantiki bora amuoe tu hili amlee mwanae

Kuhusu kuoa wake wengi makabila mengine yaoa mke 1 huku mitaa wanavimada kibao

Kuhusu kuzaa watoto wengi Mungu akuweka idadi ya watoto ila makabila mengi ya tz yanapenda sana sitarehe hasa wanawake ndio maana awataki kuzaa watoto wengi

Kuhusu ulozi hilo ni kweli lakini makabila yote yana walozi ila yanazidiana tu
 
Sifa ya kuwahi kuzaa ktk umri mdogo iko Karatu na Mbulu, inaonyesha hutembei na ukitembea unafika tu mahala unalala guest house na asbh unaondoka kurudi ulikotoka


Namba5 la ulozi limeenea karibu Africa yote na siyo nchi hii tu, achana na usukumani ulipo palenga, ni Africa yote.. wewe utakua ni mtoto mtoto hujaona mengi
Raha mtoa mada atutajie kabila lake tulinganishe tabia na hayo alio yataja kama atakubali kutaja kibla lake niko hapa kijiweni na kunywa kahawa namgoja
 
Hapo kwenye uchawi nakataaa we mpemba hana mpinzani....
Mpemba mpaka umchokoze ndio utamjua yeye nani,au aroge kufanikisha jambo lake gumu lipate wepesi,ila bhangosha bhabha wanaloga sana kujifurahisha
Kwenye ulozi Wasukuma hawana mshindani Tanzania.
Wachawi wa Pemba, Tanga na Sumbawanga waungane bado hawataufikia moto wa Wasukuma.
 
Robo tatu ya watu ni wachafu kwa njia moja au nyingine kitendo cha mwanamke kuwa na mikucha kama bata iwe bandia au ya asili ni uchafu kuvaa mawigi ni uchafu tu
Ya watu au wanawake??
Maana umetaja sifa ambazo mara nyingi ama zote anazo mwanamke.
 
Wapemba ndio jamii yenye exposure kuliko jamii yoyote Tanzania, ndio walianza mapema kutoka nje ya Nchi wamejaa kibao Nchi za kiarabu na common wealth kama Uingereza, Canada etc.

Hata hapa kwetu maeneo yenye biashara kama Kkoo wao ndio wame dominate, wao.

Hata ukienda Congo lubumbashi huko utawakuta Wapemba na Malori yao ya michanga, kifupi jamaa ni opportunists vibaya mno.
Hili nalikataa.
Unazungumzia wapemba ama waarabu walioloweya Pemba??
Kama ingelikua wapemba wana exposure Pemba isingekua masikini wa kutupwa kama ilivyo sasa.
Unlike wasukuma wa Mwanza na Shinyanga hujitahidi kujenga miji yao kama ilivyo wanyakyusa Mbeya.
 
Kampe mimba binti wa huko baikoko halafu ikataekama hujaota busha,Tanga ya milimani,Lushoto na Korogwe bado wana muamko wa elimu jichanganye
Tanga ukitia mimba asahivi ni mwendo wa ndoa za jamvi/mkeka.
Nimeliona sana hili mwanzange na mashewa.
 
Mpemba mpaka umchokoze ndio utamjua yeye nani,au aroge kufanikisha jambo lake gumu lipate wepesi,ila bhangosha bhabha wanaloga sana kujifurahisha
Umegeuza hiyo mzee.
Wapemba wanaroga hovyo kama hawana akili nzuri.
Nimekaa Bububu Zantel pale kulikua na wapemba wa tumbatu aisee so poa.
Hadi kikombe wanakurogea,mbaya zaidi wanapenda sana kutishia wenzao majini.
 
Back
Top Bottom