Mfanano wa kitabia kati ya Wasukuma na Wapemba

Mfanano wa kitabia kati ya Wasukuma na Wapemba

Ili kuwe na miundombinu lazima kuwe na sababu ya kuweka hiyo miundombinu kaka.
Hata hiyo Morogoro ambayo sasa hivi ni miongoni mwa mikoa inayokua jwa kasi hawakulimbikiziwa tu miundombinu ndio watu wakajaa kaka.
Kuna vitu vilivutia watu na ongezeko la watu likavutia uanzishwaji wa miundombinu wezeshi kwaajili ya hao watu.
Mfano sisi Tanga, Hatujawahi toka top 10 pato la tafia na sometime tupo top 5, tuna maviwanda makubwa makubwa toka enzi na enzi mpaka leo yana lipa mamaia ya mabilioni ya kodi, ila bajeti ya manispaa hapa mjini utasikia ni 70B, hela zinazozalishwa na mkoa zinaendeleza mikoa mingine, hio barabara ya horohoro mpaka kujengwa ilikua ni mbinde na ni barabara kubwa ilikua, ukienda Pangani ndio unaweza ukalia barabara mbovu kupita maelezo sehemu ambayo unaelekea kwenye mbuga, hotel kubwa za kitalii.

Kaskazini yote Tanga ndio inaongoza kuichangia Pato la Taifa ila barabara zinazojengwa Moshi vijinini na ukicompare na Tanga ni mbingu na Ardhi.

Nchi hii kuna watu wanazalisha pato la Taifa lakini wanachozalisha hakitumiki kuwanufaisha wao,

same kwa hao Wapemba, Tunapoongelea pato kubwa la Zanzibar huwezi kuacha kuongelea karafuu, Mikarafuu mingi ipo Pemba kuliko Unguja, Mikarafuu wa Pemba unafika hadi mita 15 na ukishapanda unavuna kwa miaka hadi 50, ni cash generating machine,

Hili pato la Zanzibar kwa jumla na karafuu mauzo ya nje
Screenshot_20240308-172054_Pixel Launcher.png


Mfano hapo 2021
-Jumla ya Pato ni dola milioni 72
-Pato la karafuu ni dola milioni 46

Hapo ina maana kama asilimia 60 ya pato la Taifa mauzi ya njehutokana na karafuu ambayo kwa kiasi kikubwa hutoka Pemba, Wapemba hawaruhusiwi kuuza hii kaarufu bali serikali ya mapinduzi ndio inauza, kwa lugha nyengine serikali ya mapinduzi kwa kiasi kikubwa pato lake inatoka Pemba.

Je ni sawa Pemba kunyimwa miundombinu kwenye hili pato ambalo kwa kiasi kikubwa no wao wamelitengeneza?
 
Aya huwenda ni kweli nisipinge maana hata wazaramo wapo wanaomiliki maghorofa kariakoo.
Ila ndio biashara zao hizo out of that ngumu kumeza.
Cha kujiuliza kwanini wasingeunda hizi biashara Pemba tumbatu wakaiendeleza Pemba?
Watu wanabisha bila kujua Wapemba kabla ya uhuru walisha ishike dar kitambo kibiashara mfano biashara ya nafaka Wapemba wamewekeza sana wakifuatiwa na wasukuma hata majumba wanayo mengi sana
 
Ila cha ajabu kwakuwa wewe ni mkristo au kafiri always wanakuona wewe ni mchafu au kama najisi hivi
 
Mfano sisi Tanga, Hatujawahi toka top 10 pato la tafia na sometime tupo top 5, tuna maviwanda makubwa makubwa toka enzi na enzi mpaka leo yana lipa mamaia ya mabilioni ya kodi, ila bajeti ya manispaa hapa mjini utasikia ni 70B, hela zinazozalishwa na mkoa zinaendeleza mikoa mingine, hio barabara ya horohoro mpaka kujengwa ilikua ni mbinde na ni barabara kubwa ilikua, ukienda Pangani ndio unaweza ukalia barabara mbovu kupita maelezo sehemu ambayo unaelekea kwenye mbuga, hotel kubwa za kitalii.

Kaskazini yote Tanga ndio inaongoza kuichangia Pato la Taifa ila barabara zinazojengwa Moshi vijinini na ukicompare na Tanga ni mbingu na Ardhi.

Nchi hii kuna watu wanazalisha pato la Taifa lakini wanachozalisha hakitumiki kuwanufaisha wao,

same kwa hao Wapemba, Tunapoongelea pato kubwa la Zanzibar huwezi kuacha kuongelea karafuu, Mikarafuu mingi ipo Pemba kuliko Unguja, Mikarafuu wa Pemba unafika hadi mita 15 na ukishapanda unavuna kwa miaka hadi 50, ni cash generating machine,

Hili pato la Zanzibar kwa jumla na karafuu mauzo ya nje
View attachment 2928373

Mfano hapo 2021
-Jumla ya Pato ni dola milioni 72
-Pato la karafuu ni dola milioni 46

Hapo ina maana kama asilimia 60 ya pato la Taifa mauzi ya njehutokana na karafuu ambayo kwa kiasi kikubwa hutoka Pemba, Wapemba hawaruhusiwi kuuza hii kaarufu bali serikali ya mapinduzi ndio inauza, kwa lugha nyengine serikali ya mapinduzi kwa kiasi kikubwa pato lake inatoka Pemba.

Je ni sawa Pemba kunyimwa miundombinu kwenye hili pato ambalo kwa kiasi kikubwa no wao wamelitengeneza?
Basi shida kubwa ni local government na wabunge hawawakilishi wananchi vizuri.
Maana huko Mwanza na Arusha na Kilimanjaro viongozi wake wako sharp sana aisee niwasifie.
 
Raha mtoa mada atutajie kabila lake tulinganishe tabia na hayo alio yataja kama atakubali kutaja kibla lake niko hapa kijiweni na kunywa kahawa namgoja
Hicho ni kimtu kiongo tu,yaani ni mtu muongo kuliko watu wote hapa East Africa na ukanda mzima wa jangwa la Sahara
 
Kampebmimba mwanafunzi au bint mdgo tanga milimani. Utaona kitakachokukuta.

Nina classmate alipangiwa Lukozi akakapa mimba katoto ka 17 aliona si hakaendi shule? Akakaweka ndani. Mbona alikimbia kazi. Nilitokea kumpenda sana yule kaka kumbe anapenda vitoto

Mwingine alipotea katika hali isiyoelewwka baada ya kumimba mwanafunzi
Vina joto na zinabana ila zingine mpk mwagia ndani ya nyimbo ya Maua Sama uvute hisia kali
 
Back
Top Bottom