Mkuu Ubishi tu Hapa uishe, siku ukija kujua utakumbuka maneno yangu, ila kwa macho yangu Nawafahamu Wapemba weusi tii, hao kina makame u aowasema hapa sio mmoja sio wawili wenye Maghorofa ya kutosha, kuna Mpemba namjua by average anajenga Maghorofa mawili ama matatu kkoo na haja anza leo ama jana zaidi ya miaka 20 sasa, mtaa wa Vijora kkoo ile ni Biashara ambayo exclusive wameianzisha wao kuanzia majengo, mpaka hao wamiliki wa fremu, maeneo ya Wanyama Hotel kuja nyamwezi mpaka shimoni, Anzia spea ile lumumba mpaka unakuja msimbazi, then nenda Agrey kwenye simu, nenda mpaka China Plaza, nenda mpaka shauri moyo na lindi kuja tena hadi Msimbazi wamejaa wao, spea na simu, na Wengi hawana mitaji ya kubabaisha.