Makafiri ndiyo wakristo?Nimeishi Pemba na nimeishi Simiyu hiki ndio nilikigundua,hawa watu kuna vitu vingi wanashare,hataukienda Zanzibar kuna wasukuma na wanyamwezi wengi japo usukumani wapemba ni wachache,Zamani pale mwanza kulikuwa na mgahawa maarufu kama Chakechake,wananzengo mnaukumbuka?
Twende sasa
1. Kuoa na kuolewa mapema
Kukuta binti wa miaka 15 kaolewa na kijana wa miaka 20 kaoa ni kawaida, kwa jamii zingine hicho kitu hakipo.
2. Mimba za utotoni
Uchagani ukimjaza mwanafunzi mimba au binti chini yamiska 18 awe anasoma au hasomi kimbia haraka miaka 30 inakusubiri, hali ni tofauti usukumani na upembani. Clinic kuna mabinti wanaenda kujifungua na miaka 14 na hakuna shida.
3. Kuoa wake wengi
Kwa pemba dini inaruhusu ila usukumani uwekafiri muislam au mkristo wake wengi ni jadi yao.
4. Kuzaa watoto wengi
Hizo pande bado watu wanazaa watoto 12 kama wana wa israel.
5. Ulozi
Watu wanaroga sana pande hizo Mpemba na majini msukuma kuruka na ungo, ila kwa ndumba msukuma yuko juu kidogo kwa mpemba.
Cha kushangaza Kanda ya Ziwa ina single mamas maarufu kama wasimbe wengi kuliko kuliko pemba, kukuta nyumba ina wasimbe wawili au watatu ni kawaida sana. Pemba ukiacha mke leo ikipita eda anaolewa fasta, usukumani ukiachwa kuolewa tena ngumu sana.
Itaendelra......
Tanga ipi unayosema? Hii hii ambayo wanafunzi kutwa jushinda jamvini?au kwenye baikoko? Utakuwa hauijui Tanga weweTanga,Kilimanjaro na Arusha wanafunzi au underage ni msala,dogo alimpa mimba underage huko Arusha akakimbilia Kenya kwa miaka miwili,miaka 30 ilikuwa inamsubiri
Acha uongo wewe mimi nimeishi sehemu zote hizoTanga,Kilimanjaro na Arusha wanafunzi au underage ni msala,dogo alimpa mimba underage huko Arusha akakimbilia Kenya kwa miaka miwili,miaka 30 ilikuwa inamsubiri
Jamii ilio elimika mna maendeleo yapi huko mna vitabu vingapi vipo mashuleni ambavyo mmeviandika wenyewe🤣🤣Hizo ni tabia za jamii ambazo hazijaelimika. Walikosa exposure mapema.
Kampe mimba binti wa huko baikoko halafu ikataekama hujaota busha,Tanga ya milimani,Lushoto na Korogwe bado wana muamko wa elimu jichanganyeTanga ipi unayosema? Hii hii ambayo wanafunzi kutwa jushinda jamvini?au kwenye baikoko? Utakuwa hauijui Tanga wewe
Wapemba ndio jamii yenye exposure kuliko jamii yoyote Tanzania, ndio walianza mapema kutoka nje ya Nchi wamejaa kibao Nchi za kiarabu na common wealth kama Uingereza, Canada etc.Hizo ni tabia za jamii ambazo hazijaelimika. Walikosa exposure mapema.
Kuhusu kumfunga alie mtia mimba mwanao haina mantiki bora amuoe tu hili amlee mwanaeNimeishi Pemba na nimeishi Simiyu hiki ndio nilikigundua,hawa watu kuna vitu vingi wanashare,hataukienda Zanzibar kuna wasukuma na wanyamwezi wengi japo usukumani wapemba ni wachache,Zamani pale mwanza kulikuwa na mgahawa maarufu kama Chakechake,wananzengo mnaukumbuka?
Twende sasa
1. Kuoa na kuolewa mapema
Kukuta binti wa miaka 15 kaolewa na kijana wa miaka 20 kaoa ni kawaida, kwa jamii zingine hicho kitu hakipo.
2. Mimba za utotoni
Uchagani ukimjaza mwanafunzi mimba au binti chini yamiska 18 awe anasoma au hasomi kimbia haraka miaka 30 inakusubiri, hali ni tofauti usukumani na upembani. Clinic kuna mabinti wanaenda kujifungua na miaka 14 na hakuna shida.
3. Kuoa wake wengi
Kwa pemba dini inaruhusu ila usukumani uwekafiri muislam au mkristo wake wengi ni jadi yao.
4. Kuzaa watoto wengi
Hizo pande bado watu wanazaa watoto 12 kama wana wa israel.
5. Ulozi
Watu wanaroga sana pande hizo Mpemba na majini msukuma kuruka na ungo, ila kwa ndumba msukuma yuko juu kidogo kwa mpemba.
Cha kushangaza Kanda ya Ziwa ina single mamas maarufu kama wasimbe wengi kuliko kuliko pemba, kukuta nyumba ina wasimbe wawili au watatu ni kawaida sana. Pemba ukiacha mke leo ikipita eda anaolewa fasta, usukumani ukiachwa kuolewa tena ngumu sana.
Itaendelra......
We umahelimika?kuzaa mtoto 1 ndio kuhelimika na kuoa mke 1 huku mtaani umjaza vimada na watoto bila utalatibu?Hizo ni tabia za jamii ambazo hazijaelimika. Walikosa exposure mapema.
Robo tatu ya watu ni wachafu kwa njia moja au nyingine kitendo cha mwanamke kuwa na mikucha kama bata iwe bandia au ya asili ni uchafu kuvaa mawigi ni uchafu tuVp kuhusu uchafu au usafi wa miili na mazingira yanayowazunguka,Hali ikoje?
Wewe kabila gani?Wasukuma wasafi wa mwili na mazingira ila wapemba usafi wa mwili na mazingira ni mtihani.
Raha mtoa mada atutajie kabila lake tulinganishe tabia na hayo alio yataja kama atakubali kutaja kibla lake niko hapa kijiweni na kunywa kahawa namgojaSifa ya kuwahi kuzaa ktk umri mdogo iko Karatu na Mbulu, inaonyesha hutembei na ukitembea unafika tu mahala unalala guest house na asbh unaondoka kurudi ulikotoka
Namba5 la ulozi limeenea karibu Africa yote na siyo nchi hii tu, achana na usukumani ulipo palenga, ni Africa yote.. wewe utakua ni mtoto mtoto hujaona mengi
Hapo kwenye uchawi nakataaa we mpemba hana mpinzani....
Kwenye ulozi Wasukuma hawana mshindani Tanzania.Mpemba mpaka umchokoze ndio utamjua yeye nani,au aroge kufanikisha jambo lake gumu lipate wepesi,ila bhangosha bhabha wanaloga sana kujifurahisha
Mimi mnyamwezi wa Ndevelwa.Wewe kabila gani?
Ushawasahau wafipa eeeh!?Kwenye ulozi Wasukuma hawana mshindani Tanzania.
Wachawi wa Pemba, Tanga na Sumbawanga waungane bado hawataufikia moto wa Wasukuma.
Ya watu au wanawake??Robo tatu ya watu ni wachafu kwa njia moja au nyingine kitendo cha mwanamke kuwa na mikucha kama bata iwe bandia au ya asili ni uchafu kuvaa mawigi ni uchafu tu
Hili nalikataa.Wapemba ndio jamii yenye exposure kuliko jamii yoyote Tanzania, ndio walianza mapema kutoka nje ya Nchi wamejaa kibao Nchi za kiarabu na common wealth kama Uingereza, Canada etc.
Hata hapa kwetu maeneo yenye biashara kama Kkoo wao ndio wame dominate, wao.
Hata ukienda Congo lubumbashi huko utawakuta Wapemba na Malori yao ya michanga, kifupi jamaa ni opportunists vibaya mno.
Tanga ukitia mimba asahivi ni mwendo wa ndoa za jamvi/mkeka.Kampe mimba binti wa huko baikoko halafu ikataekama hujaota busha,Tanga ya milimani,Lushoto na Korogwe bado wana muamko wa elimu jichanganye
Umegeuza hiyo mzee.Mpemba mpaka umchokoze ndio utamjua yeye nani,au aroge kufanikisha jambo lake gumu lipate wepesi,ila bhangosha bhabha wanaloga sana kujifurahisha