Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Ulishawahi kufika kwenye jamii yetu mkuu?Jamii ilio elimika mna maendeleo yapi huko mna vitabu vingapi vipo mashuleni ambavyo mmeviandika wenyewe🤣🤣
Au mna viwanda vya maendeleo gani huko🤣
Pemba haijengwi sababu za kisiasa, na ndio maana wapemba wengi wapo nje ya Pemba kuliko Pemba yenyewe. Na nazungumzia wapemba sio waarabu, hapa Kkoo si wachaga wala si wakinga wanaowafikia wapemba kuanzia spea, Madera, vifaa vya umeme wamejaa wao, kila majengo makubwa makubwa ya biashara ni wao wanayamiliki.Hili nalikataa.
Unazungumzia wapemba ama waarabu walioloweya Pemba??
Kama ingelikua wapemba wana exposure Pemba isingekua masikini wa kutupwa kama ilivyo sasa.
Unlike wasukuma wa Mwanza na Shinyanga hujitahidi kujenga miji yao kama ilivyo wanyakyusa Mbeya.
Jipange vizuri uandike kinachoeleweka, nimesoma nikarudia nikasoma niliona ulikuwa na hamu tu ya kutumia neno "kafir" dhidi ya wasukuma.Nimeishi Pemba na nimeishi Simiyu hiki ndio nilikigundua,hawa watu kuna vitu vingi wanashare,hataukienda Zanzibar kuna wasukuma na wanyamwezi wengi japo usukumani wapemba ni wachache,Zamani pale mwanza kulikuwa na mgahawa maarufu kama Chakechake,wananzengo mnaukumbuka?
Twende sasa
1. Kuoa na kuolewa mapema
Kukuta binti wa miaka 15 kaolewa na kijana wa miaka 20 kaoa ni kawaida, kwa jamii zingine hicho kitu hakipo.
2. Mimba za utotoni
Uchagani ukimjaza mwanafunzi mimba au binti chini yamiska 18 awe anasoma au hasomi kimbia haraka miaka 30 inakusubiri, hali ni tofauti usukumani na upembani. Clinic kuna mabinti wanaenda kujifungua na miaka 14 na hakuna shida.
3. Kuoa wake wengi
Kwa pemba dini inaruhusu ila usukumani uwekafiri muislam au mkristo wake wengi ni jadi yao.
4. Kuzaa watoto wengi
Hizo pande bado watu wanazaa watoto 12 kama wana wa israel.
5. Ulozi
Watu wanaroga sana pande hizo Mpemba na majini msukuma kuruka na ungo, ila kwa ndumba msukuma yuko juu kidogo kwa mpemba.
Cha kushangaza Kanda ya Ziwa ina single mamas maarufu kama wasimbe wengi kuliko kuliko pemba, kukuta nyumba ina wasimbe wawili au watatu ni kawaida sana. Pemba ukiacha mke leo ikipita eda anaolewa fasta, usukumani ukiachwa kuolewa tena ngumu sana.
Itaendelra......
Nadhani hujatupata swala la maendeleo, kusoma, kuwa na exposure, utajiri, kuwa kama machinga, kuwa na magorofa kariakoo tena ya kizamani sidhani kama mpemba anawafikia wasukuma. Pemba Iko kama sumbawanga!Pemba haijengwi sababu za kisiasa, na ndio maana wapemba wengi wapo nje ya Pemba kuliko Pemba yenyewe. Na nazungumzia wapemba sio waarabu, hapa Kkoo si wachaga wala si wakinga wanaowafikia wapemba kuanzia spea, Madera, vifaa vya umeme wamejaa wao, kila majengo makubwa makubwa ya biashara ni wao wanayamiliki.
chakechake ni mgahawa ulitumia jina tu,ila mmiliki wake alikuwa msomali aliyezaliwa mwanza na kukulia mwanzaNimeishi Pemba na nimeishi Simiyu hiki ndio nilikigundua,hawa watu kuna vitu vingi wanashare,hataukienda Zanzibar kuna wasukuma na wanyamwezi wengi japo usukumani wapemba ni wachache,Zamani pale mwanza kulikuwa na mgahawa maarufu kama Chakechake,wananzengo mnaukumbuka?
Twende sasa
1. Kuoa na kuolewa mapema
Kukuta binti wa miaka 15 kaolewa na kijana wa miaka 20 kaoa ni kawaida, kwa jamii zingine hicho kitu hakipo.
2. Mimba za utotoni
Uchagani ukimjaza mwanafunzi mimba au binti chini yamiska 18 awe anasoma au hasomi kimbia haraka miaka 30 inakusubiri, hali ni tofauti usukumani na upembani. Clinic kuna mabinti wanaenda kujifungua na miaka 14 na hakuna shida.
3. Kuoa wake wengi
Kwa pemba dini inaruhusu ila usukumani uwekafiri muislam au mkristo wake wengi ni jadi yao.
4. Kuzaa watoto wengi
Hizo pande bado watu wanazaa watoto 12 kama wana wa israel.
5. Ulozi
Watu wanaroga sana pande hizo Mpemba na majini msukuma kuruka na ungo, ila kwa ndumba msukuma yuko juu kidogo kwa mpemba.
Cha kushangaza Kanda ya Ziwa ina single mamas maarufu kama wasimbe wengi kuliko kuliko pemba, kukuta nyumba ina wasimbe wawili au watatu ni kawaida sana. Pemba ukiacha mke leo ikipita eda anaolewa fasta, usukumani ukiachwa kuolewa tena ngumu sana.
Itaendelra......
Kinachofanya Pemba isiendelee wala sio sababu za kisiasa.Pemba haijengwi sababu za kisiasa, na ndio maana wapemba wengi wapo nje ya Pemba kuliko Pemba yenyewe. Na nazungumzia wapemba sio waarabu, hapa Kkoo si wachaga wala si wakinga wanaowafikia wapemba kuanzia spea, Madera, vifaa vya umeme wamejaa wao, kila majengo makubwa makubwa ya biashara ni wao wanayamiliki.
Kinachofanya Pemba isiendelee wala sio sababu za kisiasa.
HILO NAKATAA 1000%.
Jamii ya Kipemba ni jamii isiyo na uamko kielimu na kiupambanaji.
Hao jamaa hata waishi wapi maendeleo yao ni stagnant.
Huwa hawawazi nje ya box.
Mathalan Unguja ambayo imeendelea kuliko Pemba daladala zao hazijazi,basi sawa tuseme labda population inachangia,daladala mwisho saa 3 ukienda zako Forodhani ukachelewa shauri yako.
Duka mtu anafungua saa 3 asubuhi saa 6 kafunga anafungua tena saa 8 saa 12 kafunga ndio hadi kesho.
Ukimuuliza anakwambia nishapata hela ya kula nikae zaidi natafuta nini???
Mentality kama hii UNATARAJIA SEHEMU IKUE???
Kariakoo wamiliki wa hayo majengo wengi waarabu na wahindi wapemba WAKODISHA FREMU TU.
Nawajua hao watu wana akili mgando na wavivu sana hawana exposure yeyote akili inawaza duka ikifeli katika duka haina kitu kingine inawaza.
Halafu mtu anakwambia Zanzibar haiendelei kwa sababu ya kisiasa.True, umenikumbusha majuzi nimepanda daladala iliokuwa ikitokea uwanja wa ndege saa mbili usiku kuelekea mjini, baada ya kukaribia vituo vya mjini kuna wale abiria wanaokuwa wanarudi na daladala njiani, sasa konda na dereva hawakuwa wanawaruhusu kupanda, nikamuuliza kondakta mbona mapema tu chukua abiria, akanijibu nimeshapata pesa ya kula niangaike tena ya nini..
Ni athari za biashara ya utumwa ndio maana Zanzibar kuna wasukuma na wanyamwezi wengi.Wasukuma wengi walizamia pemba,hivyo si ajabu
UMASKINI HUO!! Huna kazi ya kufanya basi ni ulozi,kudinyana na kuoa.Nimeishi Pemba na nimeishi Simiyu hiki ndio nilikigundua,hawa watu kuna vitu vingi wanashare,hataukienda Zanzibar kuna wasukuma na wanyamwezi wengi japo usukumani wapemba ni wachache,Zamani pale mwanza kulikuwa na mgahawa maarufu kama Chakechake,wananzengo mnaukumbuka?
Twende sasa
1. Kuoa na kuolewa mapema
Kukuta binti wa miaka 15 kaolewa na kijana wa miaka 20 kaoa ni kawaida, kwa jamii zingine hicho kitu hakipo.
2. Mimba za utotoni
Uchagani ukimjaza mwanafunzi mimba au binti chini yamiska 18 awe anasoma au hasomi kimbia haraka miaka 30 inakusubiri, hali ni tofauti usukumani na upembani. Clinic kuna mabinti wanaenda kujifungua na miaka 14 na hakuna shida.
3. Kuoa wake wengi
Kwa pemba dini inaruhusu ila usukumani uwekafiri muislam au mkristo wake wengi ni jadi yao.
4. Kuzaa watoto wengi
Hizo pande bado watu wanazaa watoto 12 kama wana wa israel.
5. Ulozi
Watu wanaroga sana pande hizo Mpemba na majini msukuma kuruka na ungo, ila kwa ndumba msukuma yuko juu kidogo kwa mpemba.
Cha kushangaza Kanda ya Ziwa ina single mamas maarufu kama wasimbe wengi kuliko kuliko pemba, kukuta nyumba ina wasimbe wawili au watatu ni kawaida sana. Pemba ukiacha mke leo ikipita eda anaolewa fasta, usukumani ukiachwa kuolewa tena ngumu sana.
Itaendelra......
Hallo wewe ndiye utakuwa ulinidhulumu majaruba yangu ya mpunga pale Ndevelwa!😂😂😂Mimi mnyamwezi wa Ndevelwa.
Acha basi na wewe!Wasukuma wanajitahidi kwa usafi ila wapemba???hawana vyombo vya chooni walavya jikoni,kikombe kukikuta chooni asubuhi na mchana jikoni ni kawaida
Hiyo ikoje mkuu?Mkuu nipo mkoa wa songwe huku wasukuma bado wana tabia ya chagulaga,ni meona binti ana kimbizwa na wavulana kama 12.
Hii tabia ya chagulaga sio nzuri serikali ikataze haya mambo,kama ilivyo kataza ukeketaji maana naona kabisa ni kumu dhalilisha mtoto wa kike.
Chagulaga ni nini nipe elimu mkuu.Mkuu nipo mkoa wa songwe huku wasukuma bado wana tabia ya chagulaga,ni meona binti ana kimbizwa na wavulana kama 12.
Hii tabia ya chagulaga sio nzuri serikali ikataze haya mambo,kama ilivyo kataza ukeketaji maana naona kabisa ni kumu dhalilisha mtoto wa kike.
Sasa why washike uchumi mahala popote wanapotoka?Kinachofanya Pemba isiendelee wala sio sababu za kisiasa.
HILO NAKATAA 1000%.
Jamii ya Kipemba ni jamii isiyo na uamko kielimu na kiupambanaji.
Hao jamaa hata waishi wapi maendeleo yao ni stagnant.
Huwa hawawazi nje ya box.
Mathalan Unguja ambayo imeendelea kuliko Pemba daladala zao hazijazi,basi sawa tuseme labda population inachangia,daladala mwisho saa 3 ukienda zako Forodhani ukachelewa shauri yako.
Duka mtu anafungua saa 3 asubuhi saa 6 kafunga anafungua tena saa 8 saa 12 kafunga ndio hadi kesho.
Ukimuuliza anakwambia nishapata hela ya kula nikae zaidi natafuta nini???
Mentality kama hii UNATARAJIA SEHEMU IKUE???
Kariakoo wamiliki wa hayo majengo wengi waarabu na wahindi wapemba WAKODISHA FREMU TU.
Nawajua hao watu wana akili mgando na wavivu sana hawana exposure yeyote akili inawaza duka ikifeli katika duka haina kitu kingine inawaza.
Sijakuelewa huko juu mkuu ulipotaja watu wa Tanga,kama wa Tanga mmeshika uchumi Dar sehemu gani??Sasa why washike uchumi mahala popote wanapotoka?
Haya maneno pia tu naambiwa watu wa Tanga ila ukija dar sisi ndio tumeteka uchumi kwa kiasi kikubwa,
Eneo serikali inapolipuuza wale think tank wote wanaondoka na kutafuta maisha mahala pengine, wanaobakia lile eneo ni wachache, leo hii wakusanye Wapemba wote ni mamilioni ya watu, kuna Wapemba mpaka nafasi za juu majeshi ya nchi za Gulf, so huwezi ku judge kikundi kwa kuangalia tu maisha ya watu wachache waliobakia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌.Hallo wewe ndiye utakuwa ulinidhulumu majaruba yangu ya mpunga pale Ndevelwa!😂😂😂