Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Basi,nimekufutia dhambi zako zote.Enenda kwa amani!π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππ.
Kaka Ndevelwa nilienda mdogo sanaaaa aisee maana nimezaliwa Dar ila nilipelekwa kutambika kwa wazee na kurudi.
Ila Nzega ndio nimekaa sanaaa nikiwa mkubwa na ninaenda na kurudi toka Dar kila mara.
Ila kama unasikia familia ya KIPPAYA ndio kina sisi.
Kwa hiyo yeye anaishi kwa ajili ya kula?True, umenikumbusha majuzi nimepanda daladala iliokuwa ikitokea uwanja wa ndege saa mbili usiku kuelekea mjini, baada ya kukaribia vituo vya mjini kuna wale abiria wanaokuwa wanarudi na daladala njiani, sasa konda na dereva hawakuwa wanawaruhusu kupanda, nikamuuliza kondakta mbona mapema tu chukua abiria, akanijibu nimeshapata pesa ya kula niangaike tena ya nini..
Wazanzibari asilimia kubwa wanazingatia kula na kuvaa.Kwa hiyo yeye anaishi kwa ajili ya kula?
Watu kama hao wanafaa kwenye nafasi za uongozi?
Matajiri wengi wa dar utakuta asili zao ni Tanga, hao washihiri na wamahara si ndio wanamiliki vitega uchumi vingi dar? Kuanzia kina Gsm, Oil Com na wengineo? Ukitembea mjini ukiona shoppers, na masupermarket makubwa mengi ni watu wa Tanga. Project zilianzia Tanga sababu mji Umetelekezwa miundombinu zinahamia Dar.Sijakuelewa huko juu mkuu ulipotaja watu wa Tanga,kama wa Tanga mmeshika uchumi Dar sehemu gani??
Kwa Tanga kabila lililo na uamko ni WASAMBAA TUU.Labda na Wabondei.
Wasambaa nakubali wapambanaji,ukitembea ngamiani kufika dongwe kuja mpaka njia ya kwenda Mwanzange na mabanda ya papa kote unakuta wamama wa kisambaa ndio wanahangaika kuliko hata wanaume.Wasambaa nawapa heshima mkuu ila sio mdigo ama mzigua ama mshihiri hao hapana.
Na mkuu mji ukishakua watu hawajitambulishi kwa kabila, mfano Tanga mjini ile mixture ya watu wa mjini kabisa ngumu kukuta ana kabila, unakuta mtu kachanganya mwarabu, mgunya, Mdigo, mbulushi, mbondei, msambaa inatoka product nyengine mtoto wa kitanga that's it.Maana ukijaribu kuipima Dar maeneo mengi aisee watu wa kanda ya ziwa na kaskazini ndio wamepaendeleza ukiitoa CBD.
Ndio maana kaka nikakuuliza unazungumzia wapemba ama waarabu waliolowea Pemba??
Kama ni waarabu waliolowea pemba sawa ila sio wapemba hawa wa kina makame.
Na ukileta munajili huo aisee wasukuma wana wasomi bora kidunia na wanafanya kazi mataifa makubwa kuliko ya Gulf.
Hata madaktari bora Tz wengi ni wa kanda ya ziwa.
Sijapimia jamii ndogo kaka,hao watu nimeishi nao kaka na ndugu aina hiyo ninao.
Makafiri ni wale wote wanaoamini kuna miungu mingine zaidi ya Mungu mmoja muumba mbingu na nchi hata kama na yeye atajiita muislam.Makafiri ndiyo wakristo?
Mkuu chagulaga ni Nini elezea vizuri ili serikali Ichukue hatuaMkuu nipo mkoa wa songwe huku wasukuma bado wana tabia ya chagulaga,ni meona binti ana kimbizwa na wavulana kama 12.
Hii tabia ya chagulaga sio nzuri serikali ikataze haya mambo,kama ilivyo kataza ukeketaji maana naona kabisa ni kumu dhalilisha mtoto wa kike.
Waache sasa kuilaumu Tanganyika kudumaa kwao kiuchumi.Wazanzibari asilimia kubwa wanazingatia kula na kuvaa.
Kama amepata kibanda hata hakijaisha basi atahamia tu aishi na hatohangaika kukimalizia madame analala na anakula basi yatosha.
Kidogo wale waunguja wamepembuka ndio maana unaona Unguja imeendelea.
Unachanganya mambo mkuu.Matajiri wengi wa dar utakuta asili zao ni Tanga, hao washihiri na wamahara si ndio wanamiliki vitega uchumi vingi dar? Kuanzia kina Gsm, Oil Com na wengineo? Ukitembea mjini ukiona shoppers, na masupermarket makubwa mengi ni watu wa Tanga. Project zilianzia Tanga sababu mji Umetelekezwa miundombinu zinahamia Dar.
Na mkuu mji ukishakua watu hawajitambulishi kwa kabila, mfano Tanga mjini ile mixture ya watu wa mjini kabisa ngumu kukuta ana kabila, unakuta mtu kachanganya mwarabu, mgunya, Mdigo, mbulushi, mbondei, msambaa inatoka product nyengine mtoto wa kitanga that's it.
Hata Dar toka ianze kuwa mjini watu ambao wamekua dar miaka 100 iliopita leo hii ngumu kukuta wakijitambulisha kwa Makabila ni watoto tu wa mjini.
Mambo mengine siwezi toa siri za watu ila kkoo Wachaga na wakinga hata nusu hawafikii Wapemba na siongelei waarabu naongelea hao hao kina makame. Kukuta Mpemba ana Ghorofa 20-30 kariakoo ni kitu cha kawaida.
Wasukuma wananua uchawi,wazigua Wapemba waha sumbawanga haya makibila ayanunui uchawi bali mtu akizunguka nyuma ya nyumba tu anachimba mzizi anakulipuaKwenye ulozi Wasukuma hawana mshindani Tanzania.
Wachawi wa Pemba, Tanga na Sumbawanga waungane bado hawataufikia moto wa Wasukuma.
Kweli nimefika nyasa ni hatari mtu kujenga nyumba ya kisasa mpaka awe mlozi lakini kiboko yao waha wazigua Wapemba wafipa msukuma hana uchawi bali yuko tayali kuuza ng,ombe kwenda kununua uchawi kwa makabila yote ya tz hata kuvuka maji kwenda kongoUshawasahau wafipa eeeh!?
Umewasahau na waha wa Kigoma.
Ukawasahau na wangindo na wanyasa.
Kwani mwanamke anaishi peke yake?Ya watu au wanawake??
Maana umetaja sifa ambazo mara nyingi ama zote anazo mwanamke.
Hakika lakini wameanza kupitwa mbaliPemba haijengwi sababu za kisiasa, na ndio maana wapemba wengi wapo nje ya Pemba kuliko Pemba yenyewe. Na nazungumzia wapemba sio waarabu, hapa Kkoo si wachaga wala si wakinga wanaowafikia wapemba kuanzia spea, Madera, vifaa vya umeme wamejaa wao, kila majengo makubwa makubwa ya biashara ni wao wanayamiliki.
Tunawabeba sana
Mkuu Ubishi tu Hapa uishe, siku ukija kujua utakumbuka maneno yangu, ila kwa macho yangu Nawafahamu Wapemba weusi tii, hao kina makame u aowasema hapa sio mmoja sio wawili wenye Maghorofa ya kutosha, kuna Mpemba namjua by average anajenga Maghorofa mawili ama matatu kkoo na haja anza leo ama jana zaidi ya miaka 20 sasa, mtaa wa Vijora kkoo ile ni Biashara ambayo exclusive wameianzisha wao kuanzia majengo, mpaka hao wamiliki wa fremu, maeneo ya Wanyama Hotel kuja nyamwezi mpaka shimoni, Anzia spea ile lumumba mpaka unakuja msimbazi, then nenda Agrey kwenye simu, nenda mpaka China Plaza, nenda mpaka shauri moyo na lindi kuja tena hadi Msimbazi wamejaa wao, spea na simu, na Wengi hawana mitaji ya kubabaisha.Unachanganya mambo mkuu.
Wamahara sio asili ya hapa tena.
Hao ni yale yale sawa sawa useme Mpemba wa Kengeja huyo ni mwarabu tu kalowea kengeja.
NATAKA NIONE BLACK TANGAN BLACKISH MDIGO AMA BLACKISH MZIGUA amefanya uwekezaji mkubwa.
Wacheni kujificha nyuma ya hao waarabu koko.
Nenda Mwanza na Kilimanjaro wasukuma na wachaga wamejenga miji yao wenyewe aisee.
Nenda na Morogoro uone waluguru wanavyofosi kuikuza Morogoro aisee.
Narudia tena wapemba kariakoo wanapanga fremu hawamiliki maghorofa.
Ukija kuhusu vitega uchumi nitakutajia Kina Kairuki na wachaga na wahaya kibao wanaomiliki MAHOSPITALI,VITUO VYA AFYA ,VIWANDA VYA MADAWA YA HOSPITALI ,MASHULE NA VYUO VYA KATI NA VYA JUU HAPA DAR.
Pia ukizungumzia official works nyingi hao watu wa kanda ya ziwa na kaskazini ndio wameshikilia hatamu.
Na hata miji mingi Dar inayokua wao ndio wanaongoza kuikuza mathalan Mbweni,Mbezi makabe na Mbezi beach,Ununio,Tegeta,Kigamboni n.k n.k hata ukienda Oysterbay,Mikocheni na Masaki wao ndio wamejazana wahaya,wasukuma,wachaga n.k n.k.
Yes wakinga wanakuja kwa kasi, ila ni kwa baadhi ya biashara still kuna vitu kama simu, Nguo za kipwani, spea, vifaa vya umeme vya decoration, maduka ya dawa za asili, maduka ya jumla ya kula wana dominate wao.Hakika lakini wameanza kupitwa mbali
Aya huwenda ni kweli nisipinge maana hata wazaramo wapo wanaomiliki maghorofa kariakoo.Mkuu Ubishi tu Hapa uishe, siku ukija kujua utakumbuka maneno yangu, ila kwa macho yangu Nawafahamu Wapemba weusi tii, hao kina makame u aowasema hapa sio mmoja sio wawili wenye Maghorofa ya kutosha, kuna Mpemba namjua by average anajenga Maghorofa mawili ama matatu kkoo na haja anza leo ama jana zaidi ya miaka 20 sasa, mtaa wa Vijora kkoo ile ni Biashara ambayo exclusive wameianzisha wao kuanzia majengo, mpaka hao wamiliki wa fremu, maeneo ya Wanyama Hotel kuja nyamwezi mpaka shimoni, Anzia spea ile lumumba mpaka unakuja msimbazi, then nenda Agrey kwenye simu, nenda mpaka China Plaza, nenda mpaka shauri moyo na lindi kuja tena hadi Msimbazi wamejaa wao, spea na simu, na Wengi hawana mitaji ya kubabaisha.
Ndio maana nikakupa mfano Tanga, kama hakuna miundombinu hakuna mtu atakaefanya uwekezaji, leo hii kajenge hotel ya kisasa Pemba, kajenge kiwanda, kajenge chochote halafu barabara vumbi, hakuna Hospitali, hakuna maji ya uhakika, umeme wa uhakika etc utatoboaje?Aya huwenda ni kweli nisipinge maana hata wazaramo wapo wanaomiliki maghorofa kariakoo.
Ila ndio biashara zao hizo out of that ngumu kumeza.
Cha kujiuliza kwanini wasingeunda hizi biashara Pemba tumbatu wakaiendeleza Pemba?
Ili kuwe na miundombinu lazima kuwe na sababu ya kuweka hiyo miundombinu kaka.Ndio maana nikakupa mfano Tanga, kama hakuna miundombinu hakuna mtu atakaefanya uwekezaji, leo hii kajenge hotel ya kisasa Pemba, kajenge kiwanda, kajenge chochote halafu barabara vumbi, hakuna Hospitali, hakuna maji ya uhakika, umeme wa uhakika etc utatoboaje?