Mfano wa jengo la Chadema makao makuu

Mfano wa jengo la Chadema makao makuu

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Mfano wa jengo la Chadema makao makuu linalotarajiwa kujengwa hivi karibuni.

Hoja ilipitishwa na Baraza Kuu.

Jengo hili litakuwa na kumbi za mikutano, ofisi za kurugenzi, ofisi za viongozi wakuu, swimming pool, Heliport (kutua helcopter), lactation room (chumba cha kunyonyeshea) na mengine mengi.

Hii ni Ramani ya Utakaokuwa
Muundo wa Ofisi ya Chadema
Makao Makuu, Itajengwa kibaha
Ofisi itajengwa Kwa nguvu ya umma.
40164A0D-E768-4BFD-8141-5D4E9470A179.jpeg

C0F78629-A8D4-4A5E-92F6-91F3E7F9626A.jpeg
7BA646FE-02DF-4909-9204-85B2AFE1C064.jpeg
496FD402-7822-4E6C-896E-B9D3DCC6E1AA.jpeg


D8A94A59-A40A-4C37-9B1F-336AC7504707.jpeg
 
Hapo inatafutwa njia ya kuchangisha wanachama ili viongozi wapige Hela, walimpiga sabodo milioni 500, aliwapa za kujenga Ofisi, miaka nane iliyopita,mpaka Leo hakuna hata tripu ya mchanga.

Juzi Joni ze cheni wanasema wamechanga watu karibu milioni mbili,halafu eti makusanyo milioni 400, wakati hata hao wachangiaji wangetoa 1000 ilikuwa bilioni mbili.

Kwa hesabu rahisi, wanasema wachangiaji kwa wastani walichangia shilingi mia mbili (200) kwa Kila mmoja
 
Hapo inatafutwa njia ya kuchangisha wanachama ili viongozi wapige Hela, walimpiga sabodo milioni 500, aliwapa za kujenga Ofisi, miaka nane iliyopita,mpaka Leo hakuna hata tripu ya mchanga
Uzuri ni kwamba hata hao viongozi wao wanajua kama wafuasi wao ni mazamwamwa hawahoji..wao wanachojua ni kukandia tu serikali,sasa hivi washawaandalia vimada wao zile nafasi kule bungeni na ndio maana wanalazimisha.
 
Mfano wa jengo la Chadema makao makuu linalotarajiwa kujengwa hivi karibuni.
View attachment 2225211
Hilo jengo likijengwa sasa itakuwa POA sana. Lakini lingejengwa kipindi Cha mwendazake lingevamiwa na kuchomwa moto.

Chadema jengeni kipindi hiki ambapo Tanzania kuna kiongozi Bora.

Kipindi kile Cha marehemu roho mbaya lingebomolewa na kikundi Cha wasiojulikana.

Soon nitajiunga rasmi chadema
 
Uzuri ni kwamba hata hao viongozi wao wanajua kama wafuasi wao ni mazamwamwa hawahoji..wao wanachojua ni kukandia tu serikali,sasa hivi washawaandalia vimada wao zile nafasi kule bungeni na ndio maana wanalazimisha.
Unajamba tu
 
Mfano wa jengo la Chadema makao makuu linalotarajiwa kujengwa hivi karibuni.
View attachment 2225211
😀Baada ya kusemwa sana

Bado jambo moja... kuwe na ukomo wa awamu ya uongozi.. maximum iwe vipindi viwili vya miaka 5 kwa 5

Siyo kiongozi anakuwa kiongozi wa milele halafu mnahubiri deomokrasia; demokrasia ianze ktk vyama kwanza
 
Back
Top Bottom