Mfano wa jengo la Chadema makao makuu

Mfano wa jengo la Chadema makao makuu

CCM walishajenga jengo gani.
images (10).jpeg
 
Hilo jengo likijengwa sasa itakuwa POA sana. Lakini lingejengwa kipindi Cha mwendazake lingevamiwa na kuchomwa moto.

Chadema jengeni kipindi hiki ambapo Tanzania kuna kiongozi Bora.

Kipindi kile Cha marehemu roho mbaya lingebomolewa na kikundi Cha wasiojulikana.

Soon nitajiunga rasmi chadema
Mbona hawakujenga kipindi cha kikwete wakati wana ruzuku na marupurupu kede kede zikiwemo safari za nje, posho za vikao kwenye mashirika ya uma na safari za ikulu?
 
Uzuri ni kwamba hata hao viongozi wao wanajua kama wafuasi wao ni mazamwamwa hawahoji..wao wanachojua ni kukandia tu serikali,sasa hivi washawaandalia vimada wao zile nafasi kule bungeni na ndio maana wanalazimisha.
Maccm nyie ni mataahira kabisa
 
😀Baada ya kusemwa sana

Bado jambo moja... kuwe na ukomo wa awamu ya uongozi.. maximum iwe vipindi viwili vya miaka 5 kwa 5

Siyo kiongozi anakuwa kiongozi wa milele halafu mnahubiri deomokrasia; demokrasia ianze ktk vyama kwanza
Ila mwenyekiti kupatikana kwa kushindana na kivuli ndio demokrasia
 
😀Baada ya kusemwa sana

Bado jambo moja... kuwe na ukomo wa awamu ya uongozi.. maximum iwe vipindi viwili vya miaka 5 kwa 5

Siyo kiongozi anakuwa kiongozi wa milele halafu mnahubiri deomokrasia; demokrasia ianze ktk vyama kwanza
Mtasubiri sana
 
Hilo jengo likijengwa sasa itakuwa POA sana. Lakini lingejengwa kipindi Cha mwendazake lingevamiwa na kuchomwa moto.

Chadema jengeni kipindi hiki ambapo Tanzania kuna kiongozi Bora.

Kipindi kile Cha marehemu roho mbaya lingebomolewa na kikundi Cha wasiojulikana.

Soon nitajiunga rasmi chadema
Hata mimi nimewaza hivyo hivyo🤣
 
Back
Top Bottom