Mfano wa jengo la Chadema makao makuu

Mfano wa jengo la Chadema makao makuu

Hawajajenga mzee, huo ni mchoro tu wa 3D! Yaani wanaota kwamba watajenga jengo kama hilo.
Kumbeeee! Ni kama mchoro wa uwanja wa mpira wa wana jangwani wakati wa kampeni za kumpata muwekezaji@😂😂😂
 
Hii na ile nyingine mliyoitoa 2016 ina tofauti gani? Na mpaka leo hatujaona msingi wa plot location.
Kwani hujui jinsi Magu alivyokuwa anawahujumu na kuwaandama kwa kesi ili wakose focus?
 
Nimeona Majengo kadhaa yanayosemwa ndo Ofis za chadema ! Kuna Ofis ilioneshwa kuwa imegharimu Milion 80 na haijamaliziaka nilijiuliza sana Hivi nani anaratibu michango inayochangishwa na natumizi yake ?
Tujenge taasisi imara zenye uwezo wa kuhoji Alafu baadae tujenge Taifa imara !!

Chadema wote ni ndiyo mzee hakuna wa kuhoji mambo ya msingi!

Nawatakia kila la heri kwenye ujenzi wa ofisi


Britanicca
 
..hizo fedha zingeelekezwa kuimarisha chama mpaka ngazi ya chini.

..bado sijaona haja ya Chadema kuwa na makao makuu ya kifahari na gharama kiasi hicho.

..TEKNOLOJIA imebadilika kiasi kwamba hakuna ulazima wa makampuni kuwa na maofisi makubwakubwa.
 
Hakikisheni kuna uwazi kwenye umiliki wa hicho kiwanja otherwise mtajenga kwenye kiwanja cha Mwenyekiti.😁.
Angalizo zuri. Isijekuwa kama yale magari au gazeti letu pendwa.
 
😀Baada ya kusemwa sana

Bado jambo moja... kuwe na ukomo wa awamu ya uongozi.. maximum iwe vipindi viwili vya miaka 5 kwa 5

Siyo kiongozi anakuwa kiongozi wa milele halafu mnahubiri deomokrasia; demokrasia ianze ktk vyama kwanza
Hayakuhusu .....

Ndo jibu rahisi ninaloweza kukujibu maana nyie CCM mnachokitaka ni kuibomoa Chadema kwa kuwatumia mapandikizi ili yakagombee nafasi za uongozi ktk Chama na ndio target yenu, ila hayo mapandikizi yanapojitokeza tu yanakutana na Kiongozi makini mhe, Freeman A. Mbowe na jopo lake wanayatupilia mbali...

Mfano, kuna moja hilo hata ukiliangalia tu usoni unaona kuwa halikuwa na dhamira nzuri, eti likagombea ujumbe wa sijui pwani....🤔
Alichokutana nacho hatakaa asahau, ila zilisikika kelele tu kuwa Chama hakina demokrasia..... Kumbe dhamira yake iligundulika mapema tu na sasa karudi kwa waliokuwa wamemtuma na aibu juu.

Chezea Chadema wewe......✌🏽💪🏽👍🏽
 
mbona tulikubaliana kuwa na jengo zuri la makao makuu kwa chama chetu sio suala la msingi...sasa imekuaje tena tunajenga jengo zuri wakati tulikubaliana pale Ufipa panatosha japo hata tunayemlipa kodi hatumjui...
 
..hizo fedha zingeelekezwa kuimarisha chama mpaka ngazi ya chini.

..bado sijaona haja ya Chadema kuwa na makao makuu ya kifahari na gharama kiasi hicho.

..TEKNOLOJIA imebadilika kiasi kwamba hakuna ulazima wa makampuni kuwa na maofisi makubwakubwa.
Naunga mkono hoja
 
Naunga mkono hoja

..Chadema waepuke kuiga na kutamani kila kitu walichonacho Ccm.

..Ccm wana maofisi makubwakubwa kitu ambacho ni gharama.

..Ccm wana magari ya bei mbaya ya kifahari, ma-V8, ambayo ni gharama nyingine.

..Ccm ina watumishi wengi sana ambao wote wanahitaji kulipwa na kutunzwa.

..Chadema wajielekeze kuendesha chama kwa kutumia gharama ndogo, na watu wachache wanaofanya kazi kwa ufanisi.
 
..Chadema waepuke kuiga na kutamani kila kitu walichonacho Ccm.

..Ccm wana maofisi makubwakubwa kitu ambacho ni gharama.

..Ccm wana magari ya bei mbaya ya kifahari, ma-V8, ambayo ni gharama nyingine.

..Ccm ina watumishi wengi sana ambao wote wanahitaji kulipwa na kutunzwa.

..Chadema wajielekeze kuendesha chama kwa kutumia gharama ndogo, na watu wachache wanaofanya kazi kwa ufanisi.
Point Zimejaa hapa kwenye comment yako!

Wakati CCM wana wafadhili halali na wasio halali zaidi ya 100 chadema wana mmoja SABODO naye sijui Kama anaendelea,

Wakati CCM wanatumia pesa za Umma kinyemela kujenga ofisi bila kuhojiwa CHADEMA hawana pa kuchota hizo pesa Naomba wajikite kwenye uimarishaji wa wanachama siyo majengo!


Britanicca
 
Nimeona Majengo kadhaa yanayosemwa ndo Ofis za chadema ! Kuna Ofis ilioneshwa kuwa imegharimu Milion 80 na haijamaliziaka nilijiuliza sana Hivi nani anaratibu michango inayochangishwa na natumizi yake ?
Tujenge taasisi imara zenye uwezo wa kuhoji Alafu baadae tujenge Taifa imara !!

Chadema wote ni ndiyo mzee hakuna wa kuhoji mambo ya msingi!

Nawatakia kila la heri kwenye ujenzi wa ofisi


Britanicca

Uko hapa jukwaani unasubiri taarifa za uzushi ndio unatumia kujengea hoja zako! Kwa taarifa yako majengo yote unayoyaona huko mikoani yanajengwa na wananchi wenyewe kwa kujitolea, na sio pesa toka kwenye mfuko wa chama. Sasa watu wajitolee na kusimamia ujenzi wao wenyewe kisha useme wapigaji? Acha uzushi wa kitoto umeshazeeka sasa.
 
Back
Top Bottom