Ostrich eggs
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 638
- 453
Muulize Membe kwanza, democracy imo humo?😀Baada ya kusemwa sana
Bado jambo moja... kuwe na ukomo wa awamu ya uongozi.. maximum iwe vipindi viwili vya miaka 5 kwa 5
Siyo kiongozi anakuwa kiongozi wa milele halafu mnahubiri deomokrasia; demokrasia ianze ktk vyama kwanza