Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,515
- 1,730
Nyie maccm ni wachawi Sana. Manina. Majengo yote ya ccm na viwanja vyote vilijengwa kwa michango na kodi za watz wote kwa utapeli wenu wakati wa chame kimoja.Hapo inatafutwa njia ya kuchangisha wanachama ili viongozi wapige Hela, walimpiga sabodo milioni 500, aliwapa za kujenga Ofisi, miaka nane iliyopita,mpaka Leo hakuna hata tripu ya mchanga.
Juzi Joni ze cheni wanasema wamechanga watu karibu milioni mbili,halafu eti makusanyo milioni 400, wakati hata hao wachangiaji wangetoa 1000 ilikuwa bilioni mbili.
Kwa hesabu rahisi, wanasema wachangiaji kwa wastani walichangia shilingi mia mbili (200) kwa Kila mmoja
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app