Acehood
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,653
- 2,792
Similar scenario imetokea huku kwetu mzee mstaafu aliagiza fuso kwa kumtumia mtoto wa rafiki yake 2018. Mzee kidogo adhulumiwe kabisa fuso imeletwa 2022 mwezi wa 8... Jamaa kamletea mzee baada ya kushinikizwa sana ase. Na fuso lenyewe kamletea namba AZ_.
Cha kusikitisha zaidi ni kwamba nyumba anapoishi mzee kumetokea attempts mbili za kuichoma. Mara ya kwanza walichoma nyumba ya jirani yake ambaye ni mstaafu pia na ana gari ya mizigo pia. Hii iliungua kabisa yani kila kitu, lakini mchomaji alikosea nadhani hakuwa mwenyeji wa haya maeneo yetu.
Baada ya siku moja kupita, Attempt ya pili ilikuwa kwenye target yenyewe lakini nyumba ya mzee ilipona miraculously. Walichoma milango lakini moto haukukolea hadi ndani walijaribu kuchoma mbao za kenchi lakini ilishindikana.
Matukio yote haya yalifanywa wakati wa usiku watu wakiwa wamelala.
Inasemekana huyo jamaa alipewa hela ya kununua fuso yenye ubora lakini ndo hivyo kamletea mzee wa watu garasa na kumpa presha za kuchomewa nyumba.
Cha kusikitisha zaidi ni kwamba nyumba anapoishi mzee kumetokea attempts mbili za kuichoma. Mara ya kwanza walichoma nyumba ya jirani yake ambaye ni mstaafu pia na ana gari ya mizigo pia. Hii iliungua kabisa yani kila kitu, lakini mchomaji alikosea nadhani hakuwa mwenyeji wa haya maeneo yetu.
Baada ya siku moja kupita, Attempt ya pili ilikuwa kwenye target yenyewe lakini nyumba ya mzee ilipona miraculously. Walichoma milango lakini moto haukukolea hadi ndani walijaribu kuchoma mbao za kenchi lakini ilishindikana.
Matukio yote haya yalifanywa wakati wa usiku watu wakiwa wamelala.
Inasemekana huyo jamaa alipewa hela ya kununua fuso yenye ubora lakini ndo hivyo kamletea mzee wa watu garasa na kumpa presha za kuchomewa nyumba.