The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Wafanyabishara walipe kodi waache uswahili.
Wafanyabishara hawana hoja. Walipe kodi.
Wafanyabishara hawana hoja. Walipe kodi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ipo !Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Kariakoo, leo Mei 17, 2023.
Wafanyabiashara hao wametoa malalamiko mbele ya Waziri Mkuu ambapo wameilaimu TRA kwa kutokufuata taratibu sahihi za utozaji kodi wakishirikiana na Jeshi la Polisi.
Mfanyabiashara mmoja akitoa malalamiko yake amesema kampuni yake imewahi kusumbuliwa na Askari wa Kituo cha Kamata akidaiwa kutokuwa na risiti halali za mizigo yake, jambo ambalo sio la kweli. Pia, amemtaja kwa jina moja Askari anayehusika na kashfa nyingi za hapo kuwa ni "Mpemba"
Aidha, mfanyabiashara mmoja aliyesimama kwa niaba ya wafanyabiashara wa Vitenge amemhoji Waziri Mkuu kama Serikali haitaki wanawake nchini wapendeze maana wamekuwa wanachukuliwa kama wanauza madawa ya kulevya.
Wamewalamumu pia watu wanaohusika na uzoaji wa taka kuwa wanadai pesa zisizotakiwa, kwani huenda hadi kwenye stoo zao. Pia, watu wa TRA wamekuwa wanawafata hadi majumbani wakitaka pesa. Mama huyo amehoji, "Kwa hiyo tukadange?, hapa sio mahali sahihi kwa kuongea, nitahatarisha maisha yangu. Nipe namba nije chemba tuzungumze"
Kuhusu sababu ya kufunga maduka, mfanyabiashara mmoja amesema walifanya hivyo kutokana na;
- Uwepo wa utitiri wa kodi usioendana na uhalisia
- Kuhamia kwa maduka barabarani kwa jina maarufu la machinga, watu ambao wamekuwa wanatumiwa na wafanyabiashara wakubwa hivyo kubana biashara zao (wafanyabiashara waliosajiliwa). Duniani kote hakuna machinga kwenye vituo halisi vya kibiashara
- Adhabu za makosa ya kutolipa kodi zisizolipika sababu ya ukali wake hivyo kuweka mianya ya rushwa
We Kaa usubiri mwisho wa mwezi uchukue mshahara wako ,mengine yaacheWafanyabishara walipe kodi waache uswahili.
Wafanyabishara hawana hoja. Walipe kodi.
Sio kila mtu anaweza kushusha points bila kuandika mahali.Huyu mchaga anayesoma matatizo ya wafanyabiashara kwenye daftari inaonesha kabisa sio mfanyabiashara wa kariakoo.
Usanii unaendelea katika maisha ya watu...yaani mtu anasoma kwenye daftari utafikiri ni mwanafunzi wa chekechea
Si kweli, labda una duka la peke yako.Wafanyabiashara wetu hawataki kabisa kutoa risiti, ukkidai risiti wanageuka kuwa wekundu, na wakitoa risiti basi wanaandika bei ndogo kuliko uhalisia. Kama hawataki wakae nyumbani walee watoto wao.
Ila anaweza kuwa na hela kuliko ukoo wenu wote. Kwasababu wewe kama unaandika "kuxoma vixuri" wewe ndio zuzu.Huyu darasa la ngapi ajui ata kuxoma vixuri
Wafanyabiashara wetu hawataki kabisa kutoa risiti, ukkidai risiti wanageuka kuwa wekundu, na wakitoa risiti basi wanaandika bei ndogo kuliko uhalisia. Kama hawataki wakae nyumbani walee watoto wao.
Acha porojo wewe. Wafanyabiashara Kariakoo wanafahamiana labda kama huo umati hapo nao sio wafanyabiashara wa kariakoo.Naona wafanyabiashara wa usalama wa taifa wakiwawakilisha wafanyabiashara halisi wa kariakoo
Yaani watu wamepangwa kabisa waje kuelezea kero za wafanyabiashara vile iwapendezavyo viongozi wa serikali.
Kwa UwaziPM amefanya kitu kizuri kusikiliza kero za wafanyabiashara....Naangalia hapa TBC na Channel 10.