Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfanyakazi anaelipwa 3m TU anatozwa 800,000 kila mwezi. Zinachukuliwa juu kwa juu.Unajua kodi ngapi anazolipa mfanyabiashara hapa Tanzania?? Unajua kodi za forodha? Ungekua unafanya biashara usingeandika ujinga huu. Tokeni maofisini huko mje kwenye biashara ndo mjue kwanini tunapiga kelele.
Kuweni na akili kidiogo, kwani Massawe kashabikia mgomo.View attachment 2625114Mwenyekiti wa wafanya biashara😁
Watanzania wengi hatujui kujenga hoja. Wananchi wengi wanavyotendewa ndivyo sivyo huwa wanadhani kutishia kufanya uhalifu kama ujambazi au kudanga ndio kutafanya hawa watawala waogope.Muongeaji anasema au wakadange ?sasa hawa ndo waongeaji wao??
wewe unaona ni sahihi kukatwa kiasi chote icho mkuu?Mfanyakazi anaelipwa 3m TU anatozwa 800,000 kila mwezi. Zinachukuliwa juu kwa juu.
nimecheka kichizi dahNaona wafanyabiashara wa usalama wa taifa wakiwawakilisha wafanyabiashara halisi wa kariakoo
Yaani watu wamepangwa kabisa waje kuelezea kero za wafanyabiashara vile iwapendezavyo viongozi wa serikali.
🤣🤣🤣🤣Mwenyekiti wa wamiliki wadogo na wa kati wa malori amenifurahisha sana ...amemchana live mwigulu mchemba
Wafanyabiashara wamemsagia kunguni sana mwiguluNaangalia mubashara hapa Mwigulu anapigwa ndonga anakenua kenua tu kama.zwazwa.