Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi panic, kwa kipi??Umeshapanic 😂😂😂😂😂😄😄
Wabongo wanafiki sana Sasa kudanga ni neno la ajabu?sijui alitaka aseme wakato***e?sasa unataka waongeaje?
Ww ni Fala kabisa ukitoa EFd mwak huu mwaka unaokuja lazima ulie na kusaga meno
Akipata mtaji tena anafufuka upya!!!Fafanua vizuri
Mnduku kowaHaondolewi huyo niko paleeeeee.
We unahisi Mama Samia ni kama yule Mwehu MAGUFULI wa kusikiliza wapumbavu?
Ndio nani huyo mkuu?hahahahahahahahahahaha
madelu humjui kwani?Ndio nani huyo mkuu?
Hata umri wake tu anaonekana bado yupo sebuleni kwao anasubiri chakula kiive.Ila anaweza kuwa na hela kuliko ukoo wenu wote. Kwasababu wewe kama unaandika "kuxoma vixuri" wewe ndio zuzu.
Hearsay nyingiHakuna hoja kabisa...
FactWafanyabishara walipe kodi waache uswahili.
Wafanyabishara hawana hoja. Walipe kodi.
Huku ndiko kushindwa hoja kulivyo.Endelea kusubiri mshahara
Anaipenda nchi yupo je ,kama raisi angekuwa anafuata hizo sheria waziri wa fedha na yule ashantu wasingekuwa hapo walipoHapana,
Tuipende nchi yetu kwa kufuata sheria.
Kontena sio kibiri kwamba utaingiza kontena bila kulipia kodi hilo halipo , kinacholalamikiwa ni hayo makodi kuanzia manispaaSerikali iingie ubia na kampuni binafsi kutoka nje ili iisaidie kukusanya mapato pale bandarini. Hii kampuni ndio itashughulikia masuala yote ya ulinzi kuhakikisha hakuna kontena litakalotoka pasi na kulipiwa kodi.
Hakuna mfanyabiashara/mtu anayependa kulipa kodi kwa hiyari ndio maana hata watumishi wa serikali hukatwa kodi juu kwa juu kabla ya kupokea mishahara yao
Bila shaka utakua umenielewa sema unakaza shingo tu....wafanyabiashara wakubwa ndiyo mgongongo wa wafanyabiashara wadogo. Malalamiko yamekuwepo bila kutafutiwa suluhu ata la muda. Tunajua ukweli nikua malalamiko yote ayawezi kua sawa au sahihi lakini imekua too much sasa...Waziri wa Fedha na Uchumi kwa kiasi kikubwa amekua zuio la kutatua hayo malalamiko ya wafanyabiashara ila uishia kutoa majibu ya kejeli.IMETOSHA SASAMkuu sio kila mfanyabiashara ana malalamiko. Usipende kufanya ama kuingia kwenye ujinga ama matatizo ya akili yanayoitwa generalization syndrome.
Natamani sana Rais wetu Mama Samia Suluhu, angemchukulia hatua waziri wa Fedha.
Mama sema kitu,f unguka mama, wanakukaba kwa makusudi.
Kontena sio kibiri kwamba utaingiza kontena bila kulipia kodi hilo halipo , kinacholalamikiwa ni hayo makodi kuanzia manispaa
Huyu si ndo vilevile aliyependekeza bungeni mwaka Jana kuanzisha 'matozo' kwenye simu.... kaazi kwelikweli....