Mfanyabiashara: Kiburi cha TRA kinasababishwa na Bosi wao Mwingulu Nchemba

Mfanyabiashara: Kiburi cha TRA kinasababishwa na Bosi wao Mwingulu Nchemba

Hayo makusanyo ya TRA ambayo chawa wanayaita record ni mwiba mkali kwa wafanyabiashara.

BTW:Siku hizi hakuna akina Said Mwamwindi wa kuwashughulikia hawa maafisa kodi wanaofuata watu majumbani kuwajazia nzi.
 
Swala la bulk shipping au sijui consolidation ni simple serikali imchukulie muagizaji kama supplier anaewauzia mzigo retailers wa kariakoo.

Yeye ndio atoe receipt za mauzo kwa hao retailers awatoze VAT ya mzigo wao, na yeye akadai VAT aliyolipia bandarini and value chain starts for him mzigo ukishaingia Tanzania.

Shida hapo sasa itakuja baadhi ya hao waagizaji kuna makontena wanayotoa bila ya kulipia ushuru na awataki kuwa traced.

Na VAT iishie hapo.
 
Serikali itawasikiliza, wewe baki hapo
iwasikilize tu ila serikali ijue inawadekeza watazoea, wengine nao wataanza kuisumbua serikali iwaondolee kero zao. Mchelea mwana hula na wakwao
 
We unafikiri hii changamoto haikuwepo kipindi cha Magufuli?

Utofauti unaofanya uone haikuwepo ni kwamba kile kipindi isingewezekana kufanya mgomo kutokana na udikteta wa Magufuli
Acha uongo. Magufuli alikuwa anafata watu. Kupokea , mabango na kusikiliza shida.

Siyo chief hangaya anapuyanga tu
 
Waziri wa Biashara ajiuzulu alileta siasa kwenye Jambo nyeti. Alitakiwa yeye ndio aende kuonana na wafanya biashara.
 
They are not serious at all.

Imagine wanapinga hadi enforcement za kuhakikisha EFD machines zinatumika ipasavyo kwa mujibu wa sheria.

Kukataa kutoa receipts za mashine maana yake wanataka kufanya udanganyifu wa mauzo yao.?
Ww ni Fala kabisa ukitoa EFd mwak huu mwaka unaokuja lazima ulie na kusaga meno
 
UKweli ni kwamba tatizo kodi ni nyingi, ni za kijamaa ambapo kundi dogo huishi kwa jasho la wenzao. Hasa wanasiasa.
Kodi mufilisi zinatoa mwanya mtu akwepe kwa kushirikiana na maafsa.
Akitaka kukwepa peke yake ndo hiyo vutana na task force.
Adui mkubwa wa wafanyabiashara ni serkali kuweka sheria za kodi mkomoo.
MAtokeo yake wanasiasa wafanyabiashara na genge lao la kukwepa kodi kupitia silent ocean wanashindwa kuuza bidhaa iliyokwepa kodi kwa uhuru. Hawatoi risit kubalance mahesab ya importation. Wanaleta tafran.
Nchi hii bila kuwatenga wanasiasa walaf na biashara tutazid kupoteza kodi nyingi
Wewe unalielewa tatizo.
 
Back
Top Bottom