Ni jambo jema sana tena mno!
Nafuatilia mubashara TBC kiukweli angekuwepo Shujaa Magufuli kwa haya maelezo ya Wafanyabiashara Waziri angeliwa kichwa fasta!
Si ulisema waziri anafanya Kazi? Umeshasahau mara hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jambo jema sana tena mno!
Nafuatilia mubashara TBC kiukweli angekuwepo Shujaa Magufuli kwa haya maelezo ya Wafanyabiashara Waziri angeliwa kichwa fasta!
Hadi Kasim kaamua kumuingiza kwenye kamati, na mama bonge hajasahaulika...🤣Jamaa kachafukwa hasa yani katema nyongo.
Hahaha wafanyabiashara ndio wamemchagua.Hadi Kasim kaamua kumuingiza kwenye kamati, na mama bonge hajasahaulika...🤣
Mawazo ya ufundishaji yaende sambamba na uadilifu wa kutumia hizo kodi.Somo la kodi lingeanzia chini kabisa primary huko.
Kama hujasoma mambo ya uhasibu na uchumi mambo ya kodi yanakupita kushoto, matokeo yake ukiingia uraiani mambo unakuta vururu kabisa yaani tofauti na mategemeo yako.
Wanalalamikia Kodi mpya ya store tu....labda hiyo Kodi ya store itazame...
Kama kuna kundi linatuangusha ni hili hasa la wafanyakazi wa umma kwasababu wao ndio wanaoshiriki kuzitapanya hizo kodi.Wafanyakazi mgome PAYE ipungue.
Mungu azidi kuzibariki kazi za mikono yake.Huyo mama ana pesa balaa
Mkigoma wengine wengi mnapewa.Kama kuna kundi linatuangusha ni hili hasa la wafanyakazi wa umma kwasababu wao ndio wanaoshiriki kuzitapanya hizo kodi.
Mtu wa bandari/TRA agome! Sio kweli 🤣
Wafanyabiashara wetu hawataki kabisa kutoa risiti, ukkidai risiti wanageuka kuwa wekundu, na wakitoa risiti basi wanaandika bei ndogo kuliko uhalisia. Kama hawataki wakae nyumbani walee watoto wao.
Ni kweli Sis! Huu mkutano ulete positive impact ikienda sambamba na sisi sote kulipa kodi kwa uaminifu.Ni mara ya kwanza nashuhudia mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo, soko letu pendwa (baadhi). Vilevile mkutano kama huu wakitema cheche mbele ya Serikali. Hakika, kodi ni msingi wa maendeleo.
Roving Journalist shukran kwa thread na link
Haya ndio maajabu ya taifa jirani...teh😜Kassimu bwana! Kwamba hamjui mama Bonge? 😂😝
Leo wamejua kumuweka wazi… kazi kwake Mama.Rais sijui anapewa nini na Mwigulu.
Mie nimejionea vituko mubashara mbele ya mkubwa namba tatu wa nchi....🤣🤣🤣 kwakweli nimecheka sana...😜😜😜[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilitamani ningeona live hizi mambo
Mhhhhh.....😜[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeona kwa Millard amemuomba PM Mawasiliano yake waongee kando asizidi kuhatarisha usalama wake...
Ndo utashangaa sasa na hapo mama hatamgusa ashantu .kwa kuwa ni mzanziba mwenzakeNi jambo jema sana tena mno!
Nafuatilia mubashara TBC kiukweli angekuwepo Shujaa Magufuli kwa haya maelezo ya Wafanyabiashara Waziri angeliwa kichwa fasta!
Na nyie kama mnataka zipunguzwe au ziboreshwe gomeni lijulikane moja siyo unadandia case ya wenzako kutaka kupenyeza hoja zako mfuMfanyakazi anaelipwa 3m TU anatozwa 800,000 kila mwezi. Zinachukuliwa juu kwa juu.