Mfanyabiashara: Kiburi cha TRA kinasababishwa na Bosi wao Mwingulu Nchemba

Kazi ipo !

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Wafanyabiashara wetu hawataki kabisa kutoa risiti, ukkidai risiti wanageuka kuwa wekundu, na wakitoa risiti basi wanaandika bei ndogo kuliko uhalisia. Kama hawataki wakae nyumbani walee watoto wao.

Unajua kodi ngapi anazolipa mfanyabiashara hapa Tanzania?? Unajua kodi za forodha? Ungekua unafanya biashara usingeandika ujinga huu. Tokeni maofisini huko mje kwenye biashara ndo mjue kwanini tunapiga kelele.
 
Naona wafanyabiashara wa usalama wa taifa wakiwawakilisha wafanyabiashara halisi wa kariakoo

Yaani watu wamepangwa kabisa waje kuelezea kero za wafanyabiashara vile iwapendezavyo viongozi wa serikali.
Acha porojo wewe. Wafanyabiashara Kariakoo wanafahamiana labda kama huo umati hapo nao sio wafanyabiashara wa kariakoo.

Vitu vingine muwe mnakaa kimya kuficha ujinga wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…