Mfanyabiashara: Kiburi cha TRA kinasababishwa na Bosi wao Mwingulu Nchemba


Mwigulu leo akipona basi mama kaaamua kufa naye
 
Ni jambo jema sana tena mno!

Nafuatilia mubashara TBC kiukweli angekuwepo Shujaa Magufuli kwa haya maelezo ya Wafanyabiashara Waziri angeliwa kichwa fasta!
Wapumbavu hamuwezi kujificha ushujaa wake ni nini? Wakati wa shetani Mwigulu hakuwa waziri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…