Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inafurahisha 𝐖𝐀𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀 𝐖𝐀𝐀𝐌𝐊𝐄 𝐊𝐔𝐓𝐎𝐊𝐀 𝐊𝐍𝐘 𝐁𝐎𝐗Kwa utamu wa hiki kikao hata mechi ya yanga ntaangalia marudio kwakweli.
Naona wafanyabiashara wa usalama wa taifa wakiwawakilisha wafanyabiashara halisi wa kariakoo
Yaani watu wamepangwa kabisa waje kuelezea kero za wafanyabiashara vile iwapendezavyo viongozi wa serikali.
Yaani tatizo lake ni hilo tu, anaimba mno pambio hadi anakera.Watu walitaka kumpopoa alipoanza kumsifu Madelu. Ikabidi abadili gear angani.
Wewe kweli huna akili hujasikia hapa Mwigulu anaongeza Kodi ovyoovyo bila kuongea na wafanyabiasha.wakati wa Magufuli kama kungekuwa na matatizo makubwa wafanyabiasha wangegoma Tu Kwa Sababu hakuna mwanasiasa anayeweza kuwazuia wafanyabiasha.alafu shetani ni wewe hapa unayesema uongouongo.yaani miaka 2 baada ya Magufuli kuondoka hawajagoma mpaka Leo Kwa Sababu ya Kodi za ovyoovyo zilizoongezwa na serikali yako ya ovyoovyo.
Kassimu bwana! Kwamba hamjui mama Bonge? 😂😝Mama bonge anafunguka na issue ya vitenge.....
Naona Kasim anauliza "ndio mama bonge wewe"
Ndiyo..mwenye mamlaka ya kutoza au kuongeza kodi ni RAISI.
..Waziri wa Fedha ni mtekelezaji wa maamuzi ya RAISI.
Ndiyo
Hakuna mfanyabiashara asiyetaka kulipa Kodi wakiwekewa Kodi inayolipika tatizo hii serikali inaongeza Kodi na tozo ovyoovyo.matatizo waliynayo TRA ni mengi na yanatokana na Serikali kuwa lelemama but Wafanyabiashara Tanzania hawalipi kodi wengi ni makanjanja njanja tu
Waziri Mkuu kasema mwanzoni kuwa, mkutano huo unawajumuisha wafanya Biashara wote nchini, na maamuzi yatakayotolewa yatatumika nchi nzima.Huyu mchaga anayesoma matatizo ya wafanyabiashara kwenye daftari inaonesha kabisa sio mfanyabiashara wa kariakoo.
Ndio mbona hili liko wazi sana nani unayemtegemea angethubutu?Kwamba wafanyabiasha wanaweza kuzuiwa na wanasiasa wasigome kweli huna akili?