TANZIA Mfanyabiashara maarufu Velani Mkomba ajulikanae kama Vigu Co aka Kilimanjaro Lembeni Kwetu afariki dunia

TANZIA Mfanyabiashara maarufu Velani Mkomba ajulikanae kama Vigu Co aka Kilimanjaro Lembeni Kwetu afariki dunia

Hapo mwisho na kunukuu, "jamaa amepoteza Uhai kwa kukosa uduma, jana alizidiwa akapelekwa Aga khan akakosa mashine kumejaa, Regency kumejaa, nasikia walihangaika hospital kibao" , mwisho wa kunukuu....
Matajiri kuna wakati walitaka kusaidia lakini kilichowapata wanajua wao... bidhaa zote zinazohusinana na Matibau au kusaidia Corona TDFA wamepewa madaraka wavipime kwanza na kabla hujaagiza upate kibari hapo ndio changamoto utaiona.

Tokea siku ile aliyotangaza mweshimiwa kuwa barakoa kutoka nje zina vidudu vya corona so lazima kwanza vipimwe ndio kama ikawa vimezuiliwa hasara watu walikula na vilichukuliwa kupimwa kimoja ikawa ''G''
 
Vifaa vipi vinatumika kwa mgonjwa wa corona ambavyo ni vipya kwenye uduma ya afya? Vifaa vyote vilikuwepo tofauti sasa hivi vinaitajika kwa wingi mkubwa.

Kama wameweka hio sheria hili kuzuia wagonjwa wa corona kutibiwa basi kuna tatizo sehemu.
 
Matajiri kuna wakati walitaka kusaidia lakini kilichowapata wanajua wao... bidhaa zote zinazohusinana na Matibau au kusaidia Corona TDFA wamepewa madaraka wavipime kwanza na kabla hujaagiza upate kibari hapo ndio changamoto utaiona.. tokea siku ile aliyotangaza mweshimiwa kuwa barakoa kutoka nje zina vidudu vya corona so lazima kwanza vipimwe ndio kama ikawa vimezuiliwa hasara watu walikula na vilichukuliwa kupimwa kimoja ikawa ''G''
Vifaa vipi vinatumika kwa mgonjwa wa corona ambavyo ni vipya kwenye uduma ya afya? Vifaa vyote vilikuwepo tofauti sasa hivi vinaitajika kwa wingi mkubwa.

Kama wameweka hio sheria hili kuzuia wagonjwa wa corona kutibiwa basi kuna tatizo sehemu.
 
Cokoro linapoteza ajira hadi za wasiojulikana.
 
Kuna mtu anawatoa kafara watanzania wenzake kwa ukaidi wake
 
RIP we call it Ahdi ikifika hakuna anayeweza mzuia mja kufika kwa mola wake
 
Covid-19 ipo na inaua
Ila sishangai sana maana kuhaminishwa kuwa huo ugonjwa haupo kwakuwa kudanganywa hatujaanza leo.
Kinjeketile Ngwale aliwapiga fiksi wakina babu kuwa risasi itageuka maji......walikufa Sana!
Leo yupo mwingine anasema Corona ni mafua tu.
Ni Taifa la ovyo
 
Back
Top Bottom